Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117375 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI: RAIS MALINZI AWAFARIJI RUVU SHOOTING

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko taarifa za kupata ajali kwa msafara wa timu ya Ruvu Shooting FC iliyotokea leo barabara ya Manyoni mkoani Singida wakati kikosi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PONGEZI UONGOZI MPYA SIREFA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ametuma salamu za pongezi kwa uongozi mpya wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Singida ulioingia madaraka jana Mei 20, 2017.Mbunge wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WASAINI TAMKO LA PAMOJA LA...

 Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUZO ZA LIGI KUU 2016/17

SHEREHE za Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inatarajiwa kufanyika Mei 24 mwaka huu ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam.Kamati Maalum iliyoundwa kusimamia tuzo hiyo imefanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella mgeni rsmi katika maulidi ya Mtume...

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuendeleza Quraan na Sunna Tanzania (JAQUSUTA) Sheikh Hassan Kabeke (kushoto aliyesimama) akizungumza kwenye Maulid iliyofanyika jijini Mwanza juzi. Waliokaa kushoto ni Katibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII AONGOZA...

 Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Mhandisi Atashasta  Ndetiye akiongoza semina ya Wabunge wote  inayohusu umuhimu wa uhifadhi wa Maliasili Malikale na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE DESK& CHAIR FOUNDATION YASAIDIA WALEMAVU MKOANI MWANZA

TAASISI isiyo ya kiserikali ya The Desk & Chair Foundation (TD&CF) tawi la Tanzania imekabidhi misaada ya baiskeli za miguu mitatu (wheel chair)  na visaidizi kwa watu mbalimbali wenye ulemavu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.MABODI - NITALINDA MALI ZA CCM KWA GHARAMA YOYOTE

Na Is-haka Omar, ZanzibarNAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,  Dkt. Abdalla Juma Saadala “ Mabodi” amesema atalinda na kusimamia kikamilifu mali na miradi mbali mbali inayomilikiwa na chama hicho ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MUFINDI ASISITIZA MPANGO WA CHAKULA CHA MCHANA KWA WANAFUNZI.

Na Ofisa Habari Mufindi  Serikali Wilayani Mufindi Imewataka wajumbe wa kamati za Shule na viongozi wa Serikali za vijiji kwa kushirikiana na wazazi, kutekeleza mpango wa utoaji chakula cha mchana kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa Sheikh Shariff Majini mjini Dodoma

 Sehemu ya umati uliohudhuria katika Mkutano wa Sheikh shariff Majini  katika ukumbi wa Kamanda Mbogo uliopo jirani na chuo cha CBE mjini Dodoma wikiendi hii Sheikh Shariff Majini  akiendesha mkutano...

View Article

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

SIMU.TV: Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa Abdallah Bulembo, amemsimamisha kazi katibu msaidizi wa CCM wilayani Mbulu kutokana na ubadhirifu wa fedha; https://youtu.be/5Cdji3IKmOUSIMU.TV: Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU ZUBERI SENZOTA NA BI. KHADIJA KHAMIS WAMEREMETA

Maharusi  Zuberi Senzota Msemo na mkewe Bi Khadija Khamis Lyoba  wakiyarudi magoma wakati walipokuwa wakiingia ukumbini katika tafrija maalum ya kuwapongeza kwa kuungana kwao iliyofanyika Jumamosi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AZINDUA KAMPENI YA MIMI NA WEWE MKOA WA MJINI MAGHARIBI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameunga mkono jitihada zinazofanywa na Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar za kusaidia wananchi wanaokabiliwa na hali duni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

shamba darasa la Yara katika kijiji cha Ihemi mkoani Iringa

 Wakulima wa mahindi katika kijiji cha Ihemi mkoani Iringa pamoja na Bwana Shamba wa Yara Tanzania Ltd, Andrew Ndundulu (kati-chini) katika picha ya pamoja baada ya mafunzo ya matumizi bora ya mbolea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA ZANTEL WASHIRIKI KUFANYA USAFI KATIKA SOKO LA SAMAKI LA...

Meneja Chapa na Mawasiliano Zantel, Rukia Mtingwa (mwenye kofia nyeusi kulia) na Meneja Mwajiri Zantel, Frank Jackson (mwenye kofia nyeusi kushoto) wakikabidhi vifaa vya kufanyia usafi kwa uongozi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MAY 22,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA (AQRB) YAWAPA ELIMU WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MAJANI YA CHAI...

  Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadriaji Majenzi (AQRB) , Dkt6543W2 Geraldine Kikwasi akizungumza na Wanafunzi wa kidato cha pili wa shule ya Sekondari Majani ya Chai...

View Article


WANTED: COMMISSION SALES REPRESENTATIVES

                        We are a group of companies currently looking to expand and now we are looking for Commission based sales representatives in Dar es salaam (30) all other regions 2.The ideal...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 14

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUKUA KWA UHALIFU MTANDAO

Na Yusuph KileoKumeendelea kukua kwa uhalifu mtandao maeneo mengi duniani – Huku baadhi wakitafsiri hili linatokana na wana usalama mtandao kuonekana kulemewa (Kuzidiwa) na wahalifu mtandao. Hili...

View Article
Browsing all 117375 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>