Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond kumtambulisha msanii mpya wa WCB leo

Rais label ya WCB, Diamond Platnumz Jumatatu hii atamtambulisha msanii mpya wa label hiyo.Msanii huyo atakuwa msanii wa 5 kutoka ndani wa label hiyo ambayo ina wasanii 4 akiwemo Rich Mavoko, Harmonize,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATOA SEMINA KWA WABUNGE JUU YA UMUHIMU WA...

Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Mhandisi Atashasta  Ndetiye (kushoto) akizungumza wakati wa semina hiyo iliyoandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUKRANI

Bi. Vicky Joan Msina wa Benki Kuu Dar es Salaam, kwa niaba ya ndugu zake wote na familia za Msina, Lyimo, Kiiza na Mbuya wa Dar es Salaam, Kilema, Moshi, na Tabora; wanapenda kutoa shukrani za dhati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashine za Discovery , Defender na Range Rover zinauzwa

Pia tunaweza kukupatiya Spare ya aina yoyote kutoka Europe kwa bei nafuu.Bei ya hiyo Land Rover Discocery  Engine Td5 ni T.sh.4.7 Milion, tunaleta kutoka U.K. zipo Dar es Salaam kwa maelezo zaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAFITI INAONYESHA SERIKALI INAPOTEZA MABILIONI KUTOKANA RUSHWA NA UFISADI...

Kamati ya Viongozi wa dini ya Masuala ya haki za Binadamu, Kiuchumi na uadilifu katika Uumbaji wakizindua Mapitio ya Ripoti ya Swali la Dola Bilioni moja ,Tanzania inaendelea kupoteza fedha kiasi gani?...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Her Initiative yawakutanisha pamoja wasichana katika Tamasha la ujasiriamali,...

Her Initiative iliyojulikana hapo awali kama Teen Girls Supportive Initiative (TGSI) iliandaa mkutano ujulikanao kama Panda, uliowakutanisha pamoja wanafunzi wakike kutoka vyuo mbalimbali nchini pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MV KAZI YAFANYIWA MAJARIBIO

Na Alfred Mgweno, TEMESA  Kivuko cha MV KAZI hatimaye kimefanyiwa majaribio ya kubeba abiria na magari kwa mara ya kwanza baada ya kukamilika kwa matengenezo yake. Majaribio hayo yalifanyika kulingana...

View Article

Star TV - Tuongee Asubuhi: Mahojiano na RC Makonda

View Article


Nafasi Art Space Preview

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom kumwaga zawadi kwa washindi ligi kuu

Na Mwandishi WetuWadhamini wa kuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC inatarajia kutoa zawadi kwa washindi wa ligi kuu ya Tanzania Bara kwa msimu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Emirates Offers Special Fare and Free Visa to Dubai for Tanzanian Travellers

Dar es Salaam, Tanzania, 22 May 2017 – Award-winning Emirates is offering travellers in Tanzania a limited time only fare of just USD399 for an Economy Class ticket to Dubai including a visa.The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom kumwaga zawadi kwa washindi ligi kuu

Wadhamini wa kuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC inatarajia kutoa zawadi kwa washindi wa ligi kuu ya Tanzania Bara kwa msimu wa 2016/2017 siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU UNAENDELEA MKOANI...

Menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ikikagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya ofisi hiyo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo iliyofanyika hivi karibuni mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOLEA UFAFANUZI VIWANGO VYA RIBA KATIKA TAASISI ZA FEDHAWa

Naibu Waziri wa Fedha na MipangoDkt. Ashatu KijajiBenny Mwaipaja, WFM-DodomaSerikali imesema kuwa mabadiliko ya sekta ya fedha ya mwaka 1991 yalipelekea Serikali kujitoa katika uendeshaji wa  moja kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEEC, UN, HDIF wazindua mafunzo kwa wajasiriamali

Baraza la Taifa la Uwezeshaji, Umoja wa Mataifa (UN) na shirika la Human Development Innovation Fund (HDIF) leo wameungana na kuzindua mafunzo ya aina tano za ujuzi kwa lengo la kuwawezesha vijana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASAF NA WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA JIJINI DAR KUTATHIMINI UTEKELEZAJI WA...

NA ESTOM SANGA-TASAF.Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF- na wadau wa maendeleo wameanza mkutano wa kutathimini utekelezaji wa shughuli za Mfuko huo kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kwa kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE LUSHOTO AWAPA POLE WAKULIMA WA MBOGAMBOGA NA KUWATAKA KUONGEZA UZALISHAJI

  Mbunge wa Jimbo la Lushoto Mkoani Tanga (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia katika  akizungumza na wakulima wa mbogamboga kwenye Jimbo lake  hivi karibuni ambao bidhaa zao ziliharibika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANGULA AKUTANA NA MKURUGENZI WA TAASISI YA KIMAREKANI INAYOSHUGHULIKIA...

Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Phili Mangula akikmkaribisha Mkurugenzi wa Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“SERIKALI KUSAMBAZA VIFUKO VYENYE VIFAA MAALUM VYA KUJIFUNGULIA KWA WANAWAKE...

Na Daudi Manongi-MAELEZO, DODOMA.Serikali kupitia Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto imesema kuwa inategemea kusambaza  vifuko maalum vya kujifungulia vyenye vifaa vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAWAASA MAWAKILI KESI YA 'MALKIA WA MENO YA TEMBO'

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imewaasa mawakili wa upande wa utetezi katika kesi ya kukutwa na meno ya tembo ya bilioni 5.4 inayomkabili Raia wa China maarufu kama 'malkia wa tembo' Feng Glan...

View Article
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>