Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA YA WAKAZI WA KIGOMA WAJITOKEZA KUPATA MATIBABU YA MADAKTARI BINGWA.

 Na Editha Karlo wa blog ya jamii,Kigoma.MAMIA ya wananchi wa mkoa Kigoma wamejitokeza katika kupata matibabu kutoka kwa madaktari bingwa katika mpango unaoratibiwa na Mfuko wa Taifa wa bima ya afya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA Yatoa siku 39 kodi ya majengo iwe imelipwa Mwanza

Na Atley Kuni- Afisa habari Mwanza.Mamlaka ya mapato nchini imetoa muda hadi kufikia  Juni 30, mwaka huu wananchi wote wanaodaiwa kodi ya majengo kuhakikisha wanailipa kodi hiyo ilikuepuka kufikishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHALIFU UNAOVUKA MIPAKA KUJADILIWA ARUSHA.

Na. Frank Geofray-Jeshi la Polisi, Arusha.Mkutano mkuu wa  mwaka wa Shirikisho la wakuu wa Polisi kwa nchi za Kusini mwa Afrika (SARPCCO) unatarajia kufanyika Jumatano Mei 24, 2017 mkoani Arusha chini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTULE AMCOS WAJIPANGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TADB

Na mwandishi wetu, Zanzibar.Chama cha Ushirika cha Msingi cha Masoko cha Mtule (Mtule AMCOS) kinachojishughulisha na kilimo cha mbogamboga na matunda  kimeweka bayana nia yake ya kuchangamkia fursa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake na Vijana wapewe Zabuni – Dc Daqaro

Na Nteghenjwa Hosseah – ArushaMkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqaro amesema wanawake na vijana wanaokidhi vigezo wapewe Zabuni za Halmashauri ya Jiji ili kuweza kuwainua kiuchumi na kuboresha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC UBUNGO MHE KISARE MAKORI AAGIZA KUJENGWA DARAJA LA MBEZI MSUMI

Na Nasri Bakari, Dar es salaamMkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori Leo Jumamosi, Mei 20, 2017 ameagiza kujengwa kwa daraja  jipya kutokana na kuharibika kwa daraja la awali katika eneo la Msumi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marriott International to Debut The Ritz-Carlton in the Zanzibar Archipelago

DUBAI, United Arab Emirates, May 22, 2017/ -- Marriott International (NASDAQ: MAR) (www.Marriott.com) today announced the signing of an agreement with Pennyroyal Gibraltar Limited, to debut The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTEUZI: ADOLF HYASINTH MOHONDELA NDUNGURU TEULIWA KUWA NAIBU KAMISHNA MKUU TRA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA WA NDIMU BWEJUU, ZANZIBAR, WALILIA SOKO

Umoja wa Wakulima wa Ndimu wa Kikundi cha Juhudi Zetu kilichopo Bwejuu, mjini Unguja wametoa kilio chao cha kukosa soko la ndimu wanazozalisha kwa uongozi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania...

View Article


SERIKALI KUFUTA TOZO 108 KATIKA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI - MHE.WILLIAM OLE NASHA

View Article

SERIKALI YAIHAKIKISHIA SEKTA BINAFSI KUENDELEA KUPATA MIKOPO

View Article

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LEO TAREHE 22.05.2017

View Article

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Kwa taarifa zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 31, MKUTANO WA SABA BUNGE...

 Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akiongoza  kikao cha thelathini na Moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 22, 2017. Waziri wa Mambo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CANDY IMAX KURUDISHA HADHI YA BONGO MOVIE

BAADA ya kuonekana hali ya kuashiria kupoteza mvuto kwenye tasnia ya filamu hapa Bongo, hatimaye Candyimax imekuja kwa kasi ya kurudisha hadhi ya filamu za hapa nchini na Afrika Mashariki kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATUA ZA KUFUATA BAADA YA KUACHWA NA NDEGE

Na Jumia Travel TanzaniaNi jambo la kawaida kuachwa na usafiri kama vile basi, boti, treni au ndege licha ya kufanya maandalizi ya kutosha. Baadhi ya sababu zinazoweza kuchangia mtu mpaka kuachwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

wateja wote wa Airtel money kaeni tayari kupokea gawio kwa kutumia Airtel money!

Mambo vipi! Mr. Money anarejesha gawio la Tshs billioni 3.1 kwa wateja wote wa Airtel money. Hivyo basi kaa tayari kupokea gawio lako kwa kutumia Airtel money. Endelea kutumia na kufurahia huduma za...

View Article


UJUMBE KUTOKA KWA OFIS YA MAKAMU WA RAIS

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE MAY 23,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muchunguzi: Kuogopa kucheza Biko ni dalili ya kukaribisha umasikini

MSHINDI wa droo ya saba ya Sh Milioni 10 kutoka kwenye Bahati Nasibu ya Biko 'Ijue Nguvu ya Buku', Sospeter Muchunguzi, amekabidhiwa fedha zake huku akisema kuwa kuogopa kucheza Biko ni dalili ya...

View Article
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>