Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117395 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAADA:NIMEFANYIWA UPASUAJI MARA TISA (9) LAKINI BADO,WATANZANIA NISAIDIENI.

HUU NI UJUMBE WA MWALIMU HUYO.HABARI KAKA-Kuna mwanafunzi wangu anaitwa Mariam Ibrahimu Mwema wa shule ya sekondari Kawe ukwamani kidato cha 4 mwenye umri wa miaka 16 tu ana matatizo makubwa ya tumbo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEKUWA MKURUGENZI WA KURUGENZI YA FEDHA, UTAWALA NA MASOKO YA OFISI YA...

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Fedha, Utawala na Masoko ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bw. Stanley Mahembe akiwaaga wafanyakazi wa kurugenzi yake leo akielekea katika kituo chake kipya cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMISSETA ARUSHA YAPAMBA MOTO BAADA YA UZINDUZI

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (Mbele) akihutubia maelfu ya wanafunzi wa shule za sekondari za jijini Arusha zinazoshiriki michuano ya Copa/UMISSETA, katika ufunguzi wa mashindano hiyo mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC TABORA APIGA MARUFUKU USAFISHAJI WA TUMBAKU NJE YA WILAYA

  NI BAADA YA WAKULIMA 18 KUKAIDI AGIZO LA WAZIRI MKUU.·        ATAKAYEKAMATWA TUMBAKU YAKE KUTAIFISHWA Na Tiganya Vincent RS-Tabora Mkuu wa  Mkoa wa Tabora Bw. Aggrey Mwanri amepiga marufuku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKUMBUSHWA KULIPA KODI YA MAJENGO MWISHO JUNI 30

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZAKAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Charles Kichere amewahamasisha wananchi wenye majengo katika Jiji la Mwanza kuhakikisha wanalipa kodi ya majengo kwa wakati...

View Article


Makala Maalum Ziara ya Katibu Mkuu Wizara ya Afya Sihaba Nkinga Mikoa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMUN YAAGIZWA KUANGALIA MUSTAKABALI WA DUNIA

Vijana kutoka mataifa mbalimbali waliokusanyika katika Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Baraza Kivuli la Vijana la Umoja wa Mataifa (TIMUN), mjini Arusha wametakiwa kuchambua masuala yaliyopo mbele yao kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli kupokea taarifa ya mchanga wa madini kesho 24 Mei, 2017

View Article


KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA CCM MKURANGA YAPOKEA VIFAA KUTOKA KWA MKE WA MBUNGE WA MKURANGA BI...

Mke wa Mbunge wa Mkuranga Bi Mariam Abdallah Kwa niaba ya mume wake Ndugu Abdallah Ulega akikabidhi vifaa vya ofisi,'Photocopy machine' na 'Rim papers' Kwa ajili ya matumizi ya ofisi ya CCM Mkuranga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONANZA LA KWAYA ZA VIJANA KUTOKA SHARIKA MBALIMBALI ZA KANISA LA MORAVIAN...

Kikosi cha kwaya ya Usharika wa Mabibo (waliovaa jezi za Dark Blue) na kwaya ya Usharika wa Kinondoni (waliovaa jezi nyekundu) wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mechi kuanzaMpira ukiwa unaendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MJEMA:MWENGE WA UHURU UTAKESHA MITAA YA KARIAKOO.

Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Sophia Mjema amewaomba wananchi hasa wa wilaya ya Ilala kujitokeza kwa wingi siku ya tarehe 29 mwezi huu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATMBELEA KIWANDA CHA KUUNGANISHA MATREKTA YA...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama moja kati ya mtrekta aina URSUS yanayounganishwa kwenye karakana ya TAMCO mjini Kibaha Mei 23, 2017.Kulia kwake ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDINGA ZAKABIDHIWA RASMI KWA WASHINDI

  Mstahiki meya wa Jiji la Dar es salaam Mheshimiwa Isaya Mwita Charles leo amekabidhi rasmi magari mawili aina ya Suzuki Carry maarufu kama (Kirikuu) kwa washindi wa shindano la shika ndinga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAS TABORA AAGIZA JENGO LA UPASUAJI LA ZAHANATI YA ILOLANGURU WILAYANI UYUI...

Na Tiganya Vincent-RS-TaboraKatibu Tawala Mkoa wa Tabora Dkt. Thea Ntara ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tabora kuhakikisha wanakarabati upya Jengo la utoaji wa huduma ya Upasuaji katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PROF. JUMANNE MAGHEMBE LEO AMEWASILISHA...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya Wizara hiyo kwa mwaka 2017/2018 leo  mjini Dodoma. UNAWEZA KUSOMA HOTUBA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA CNMIF, BALOZI WA UFARANSA,...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na  Bw. Zhang Xin, Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya China National Machinery Industry Federation (CBMIF) na mjumbe wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONI YA MDAU MAC TEMBA KUONDOKA KWA YUSUF MANJI NDANI YA YANGA SC..

Nenda Yusuf,Imetosha na ahsante sana,najua ni maamuzi magumu lakini naamini sasa ni wakati wa akili kubwa kufanya kazi kwa bidii na nina wakati wa kumrudisha kundini Dr Jonas Tiboroha na kuja kuongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA UGANI WATAKIWA KUWA NA MASHAMBA YA MFANO

Na Dotto MwaibaleMAOFISA Ugani wametakiwa kuwa na mashamba ya mfano ili kutoa fursa kwa wakulima kujifunza masuala ya kilimo kutoka kwao.Mwito huo umetolewa na Mtaalamu wa magonjwa ya pamba kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO NDG JOHN L. KAYOMBO AFANYA KIKAO CHA MARIDHIANO...

Na Mathias Canal, Dar essalaamMkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo Leo tarehe 23, Mei 2017 amefanya mazungumzo na Uongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Usharika...

View Article
Browsing all 117395 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>