Maandalizi ya Siku ya wanawake Yanoga Mkoani Arusha,Wizara ya ujenzi yatoa...
 Na Jane Edward, Arusha Waziri wa wizara ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalum Dkt. Doroth Gwajima amesema maandalizi kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani...
View ArticleDKT.MWINYI AZIHAMASISHA NCHI ZA EAC KUANZISHA MIFUKO YA MAENDELEO YA PETROLI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi amezihamasisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa na Mifuko ya Maendeleo ya Petroli (Petroleum Fund) ambayo...
View ArticleSERIKALI YAKEMEA UBAGUA WATOTO WA KIKE KWENYE URITHI
Na Seif Mangwangi, ArushaSERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekemea tabia ya jamii katika maeneo mbalimbali nchini kuwabagua watoto wa kike kwa kutowapatia urithi wa ardhi...
View ArticleKAMPENI YA SAMIA LEGAL AID YAVUNJA REKODI, YATATUA MIGOGORO ZAIDI YA 1800
Na Seif Mangwangi, ArushaKAMPENI ya msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Samia Legal Aid), imevunja rekodi baada ya kufanikiwa kuhudumia zaidi ya wananchi 1800 katika mikoa 22 nchini ambayo...
View ArticleWAWEKEZAJI WALIOKIUKA MKATABA RANCHI YA USANGU KUONDOLEWA
Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu wakati wa Ziara yake Machi 7, 2025 Wilayani Mbarali mkoani...
View ArticleNEWZ ALERT : MCHEZO WA SIMBA NA YANGA 'WAOTA MBAWA', KUPANGWA TENA HAPO BAADAYE.
 Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Simba umeahirishwa na Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania ili kutoa nafasi ya kupata taarifa zaidi zitakazosaidia kufanya maamuzi ya haki.Aidha , Bodi...
View ArticleMKURUGENZI MKUU WA NSSF: DHAMIRA YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA NI KUHAKIKISHA...
*Awapongeza wananchi kwa muitikio wa kujiunga na kuchangia ili kujiwekea akiba kwa maisha bora ya sasa na ya baadaye kupitia kampeni ya NSSF Star MchezoNa MWANDISHI WETU,Arusha. Mkurugenzi Mkuu wa...
View ArticleRAIS SAMIA: TANZANIA IMEPIGA HATUA KUBWA KATIKA USAWA WA KIJINSIA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kupitia utekelezaji wa Ilani ya CCM, Serikali imepiga hatua...
View ArticleWATUMISHI WANAWAKE TCAA WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE KUADHIMISHA SIKU YA...
 Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, watumishi wanawake wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameshiriki maadhimisho hayo yaliyofanyika kitaifa mkoani Arusha Machi 08, 2025,...
View ArticleNBAA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KIMATAIFA
 Katika kuadhimisha siku ya Wanawake Kimataifa, wanawake wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wameshiriki maadhimisho hayo yaliyofanyika Machi 08, 2025 na kuadhimishwa...
View ArticleWajane wa Wanamuziki wa Rumba Tanzania: Walinzi wa Urithi wa Muziki wa...
Katika historia ya muziki wa Tanzania, majina ya wanamuziki wakubwa wa rumba hayajawahi kufutika kwenye kumbukumbu za mashabiki wa muziki. Lakini nyuma ya kila mwanamuziki shupavu aliyewasha moto wa...
View ArticleMOIL YAJIPANGA KUCHANGIA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI TANZANIA
 Kampuni ya MOIL imeonesha dhamira yake ya kuunga mkono mkakati wa Taifa wa nishati safi kwa vitendo, ikitazama fursa za kuwekeza katika uzalishaji wa Gesi Asilia iliyoshindikizwa (CNG) hapa...
View ArticleRais Samia afuturisha Viongozi mbalimbali Mkoani Arusha
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na viongozi kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini, wazee wa Mkoa wa Arusha pamoja na makundi mbalimbali katika...
View ArticleWikendi ya Kutusua Kijanja Imefika
HATIMAYE leo hii ni siku ya wewe kuondoka na kitita cha mkwanja ndani ya Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zipo uwanjani kukupatia maokoto. Ingia Meridianbet na ubashiri sasa.Tukianza na ligi kuuu...
View ArticleAirtel Tanzania yazindua chumba cha kuhudumia wakina mama na Watoto wakati wa...
Dar es Salaam, Machi 07, 2025 - Airtel Tanzania imezindua chumba maalum cha kuhudumia wakina mama na Watoto wakati wa kazi kwenye makao makuu yake jijini Dar es Salaam kwa lengo la kudhihirisha dhamira...
View ArticleAzimio la Addis Ababa: Wito wa Malipo ya Kijamii na Kiuchumi kwa Unyonyaji wa...
Addis Ababa, Machi 2025 – Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) iliandaa semina ya kimataifa ya siku mbili, Februari 27-28, 2025, iliyolenga jukumu la jumuiya za imani na mashirika ya maadili katika kuendeleza...
View ArticleUDSM Yasherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa Kutoa Msaada kwa Makundi...
Na Tumaini Kibangara, CMUKatika kuadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2025, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeadhimisha siku hii kwa kutekeleza jukumu lake la kuhudumia jamii kwa...
View ArticleDHAMIRA YA RAIS SAMIA KUJENGA CHUO KIKUU SONGEA KUANZA KUTEKELEZWA
  Na Albano Midelo,SongeaMeneja wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Kampasi ya Songea, Dkt. Bakari Mashaka, amesema wanatarajia kuanza mradi mkubwa wa ujenzi wa chuo kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua...
View ArticleWAFANYAKAZI WANAWAKE BARRICK WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA...
Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Barrick nchini na wakandarasi wake wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa kujikita kutoa msaada kwenye jamii sambamba na kujitolea muda wao kusaidia...
View ArticleETDCO yashiriki Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani
  Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa...
View ArticleMERIDIANBET KUKUPATIA MKWANJA MNONO LEO
BAADA ya jana kushuhudia mitanange kibao kwenye ligi mbalimbali, leo hii pia mechi kibao zinaendelea huku nafasi ya wewe kuibuka bingwa ikiwa kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.EPL pale...
View ArticleJe Unapenda Salad ya Aina Gani? Meridianbet Kasino Fruit Salad 100 Ushindi...
Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Meridianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za...
View ArticleKARAGWE MARKETING WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KURUDISHA TABASAMU KWA...
Kampuni ya Karagwe Marketing ya Wilayani ya Mkoani Kagera inayojihusisha na Ukoboaji wa zao la Kahawa, imeendelea na kurejesha Tabasamu kwa mabinti wa Shule tofauti za Mkoani Kagera, kwa kuwapatia...
View ArticleWANAWAKE WA SF GROUP WAFANYA MATENDO YA HURUMA KWA WATOTO YATIMA KIBAHA MJI
NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWafanyakazi wanawake wa kampuni ya Sf Group ya Jijiji Dar es Salaam wameungana kwa pamoja na baadhi ya wanawake wa CCM katika jimbo la Kibaha mji na kutoa msaada wa mahitaji...
View Article