MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI MIKOA YA MTWARA, LINDI NA RUVUMA YAFUNGULIWA LEO
Mwenyekiti wa tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani, Mhe. Jacobs Mwambegele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji...
View ArticleCoca-Cola Kwanza recognized as a Top Employer
 17 January, 2025 Dar es Salaam – Coca-Cola Beverages Africa (CCBA) in Tanzania is one of only eight companies in Tanzania to be certified as a Top Employers for 2025 based on the results of the Top...
View ArticleMUFTI MKUU TANZANIA AWASILI DODOMA KUUFUATA MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI
 Wageni waalikwa wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamewasili salama jijini Dodoma tayari kushiriki kikao cha ufunguzi kinachotarajiwa kufanyika kesho, tarehe 18 Januari.Akizungumza...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA DODOMA
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Januari 2025, ameongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC)...
View ArticleBUTUA NA MERIDIANBET IJUMAA YA LEO
Kama kawaida wakali wa Meridianbet Tanzania wanaendelea kukwambia bashiri mechi za leo uweze kujiweka kwenye nafasi ya wale Mamilionea ambao watatangazwa siku ya leo. ODDS KUBWA na Machaguo zaidi ya...
View ArticleRAIS SAMIA: CCM NI CHAMA KIKUBWA KULIKO CHAMA CHOCHOTE NCHINI, MSIWE NA MASHAKA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema wananchi hawana mashaka kuhusu CCM kwani ni Chama kikubwa kuliko chama chochote nchini...
View ArticleRAIS SAMIA AWAONYA WANAOJIPITISHA MAJIMBO NA KUANZA KUFANYA KAMPENI KABLA YA...
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-DodomaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaonya wanachama wa CCM wenye nia ya kugombea nafasi...
View ArticleRAIS SAMIA NA VIONGOZI WENGINE WA CCM WAKIPIGA KURA KUMCHAGUA MAKAMU...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kumchagua Makamu Mwenyekiti Mteule wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen...
View ArticleSERIKALI YAFANYA UTAFITI WA HALI YA UPATIKANAJI NA MATUMIZI YA NISHATI NCHINI
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inafanya utafiti wa tatu wa hali ya upatikanaji na matumizi ya nishati katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Hayo...
View ArticleTUNAMPONGEZA KINANA KWA UONGOZI WAKE THABITI ,TUNAMTAKIA MAPUMZIKO YALIYO...
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Abdulrahman Kinana anapumzika baada ya...
View ArticleSERIKALI YAOMBWA KUMALIZIA FEDHA ZA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 UNAOTEKELEZWA...
Na Mwandishi Wetu,RuvumaCHAMA cha Mapinduzi wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,kimempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Sh.bilioni 145.77 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji kwa wakazi wa...
View ArticleBUTUA NA MERIDIANBET JUMAMOSI YA LEO
  Jumamosi ya kusaka mapene na wakali wa ubashiri Meridianbet imefika ambapo mechi kibao kuanzia pale Uingereza, mpaka kule Italia zitapigwa. Weka dua ako dogo na ushindi Mamilioni hapa.Ligi pendwa...
View ArticleWADAU WASHAURI BAJETI YENYE MTAZAMO WA KIJINSIA KUSAIDIA WATOTO NJITI
Na Deogratius Temba, Dar es salaamMtandao wa Haki ya afya ya uzazi umeshauri Serikali kutenga bajeti yenye mtazamo wa Kijinsia katika sekta ya afya ili kupunguza mzigo wa gharama za matibabu na...
View ArticleWild Corrida Mchezo wa Expanse Kasino Rahisi Kucheza
WILD Corrida ni mchezo wa kasino unaonesha onyesho utamaduni wa mapigano ya ng'ombe na ni maarufu sana nchini Hispania na Ureno. Jisajili Meridianbet upate bonasi ya ukaribisho ya 300%Mchezo huu wa...
View ArticleKilimanjaro International Marathon 2025 yazinduliwa Moshi
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Kiseo Yusuf Nzowa,akipeperusha béndera kama ishara ya kuzindua mbio za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2025 katika hoteli ya Salinero-Kilimanjaro...
View ArticleNAFASI ZA UONGOZI WA SERIKALI ZA MASHEHA ZANZIBAR UNADAIWA KUTOZINGATIA USAWA...
Na Nihifadhi Abdulla, ZanzibarDIRA ya Maendeleo ya Zanzibar ya mwaka 2020-2025 katika maadhimio namba 2.5.1 mpaka 2.5.9 yameeleza jinsi gani masuala mbalimbali ya usawa wa jinisia na kuondoa...
View ArticleWADAU WA KODI KAGERA WAWASILISHA MAONI YAO MBELE YA TUME YA RAIS YA...
Wadau wa Kodi ambao ni wawakilishi wa Makundi mbalimbali ya Walipa Kodi Mkoani Kagera, wamekutana na Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi na kuwasilisha maoni, Kero changamoto na mapendekezo yenye lengo...
View ArticlePINDA,KINANA WATIA NENO KWA WASIRA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-DodomaWAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrahman Kinana wamemzungumzia Stephen Wasira ambaye amepitishwa...
View ArticleHUYU NDIYE STEPHEN WASIRA MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI
*Atangazwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Kinana,shangwe lalipuka kwa wana CCMNa Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma CHAMA Cha Mapunduzi(CCM) kimepitisha jina la Stephen Wasira kuwa Makamu Mwenyekiti wa...
View ArticleFunga Januari Kibabe kwa Kunyakua Milioni Moja ya Shindano la Expanse
NAJUA Januari sio nyepesi kabisa lakini shemu moja tu ndio inaweza kuifanya kumalizika kwa shangwe, Sio kwingine ni kushiriki shindano la Expanse kasino pale Meridianbet ambapo unaweza kujishindia...
View ArticleTANZANIA YAPONGEZWA KUWA KINARA WA MASUALA YA AMANI NA USALAMA UKANDA WA...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongezwa kwa kuwa kinara katika masuala mbalimbali yanayolenga kuleta amani na usalama katika Ukanda wa Maziwa Makuu.Pongezi hizo zimetolewa na Mwakilishi Maalum wa...
View ArticleKURUI ,KISARAWE KUMEKUCHA 'JAFO CUP'
Na Khadija Kalili Michuzi TvTimu za soka Kata ya Kisarawe na Kurui jana zimetoka sare ya goli moja moja ikiwa ni katika hatua ya kuwania kucheza mechi ya fainali ya michuano ya Jafo Cup itakayochezwa...
View ArticleRAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ANYOOSHA NJIA URAIS WA DK.SAMIA NA DK.MWINYI 2025
*Ashauri liandikwe Azimio kisha lipitishwe na Mkutano MkuuMaalum*Wajumbe wote wasema wanakwenda na Rais Ssmia,wanakwenda na Dk. Rais MwinyiNa Said Mwishehe,Michuzi TV-DodomaRAIS Mstaafu Jakaya Kikwete...
View ArticleKULEKEA UCHAGUZI 2025 UWEPO UTEKELEZAJI WA SHERIA NA SERA YA UCHAGUZI...
Sheria ya Uchaguzi ya Zanzibar no. 4 ya mwaka 2018 na Sera ya Jinsia na Ushirikishwaji wa Jamii ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar iliyoanzishwa mwaka 2015 ni miongoni mwa nyaraka muhimu za kisheria...
View ArticleBONANZA LA WAFANYAKAZI TRA NA WAFANYABIASHARA KARIAKOO LAFANA
Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mcha Hassan Mcha, akikabidhi kwa Nahodha wa timu ya Wafanyabiashara Kariakoo, Shafii Salimu, kombe baada ya kuifunga timu ya TRA, katika...
View Article