Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maandalizi ya Siku ya wanawake Yanoga Mkoani Arusha,Wizara ya ujenzi yatoa...

 Na Jane Edward, Arusha Waziri wa wizara ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalum Dkt. Doroth Gwajima amesema maandalizi kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.MWINYI AZIHAMASISHA NCHI ZA EAC KUANZISHA MIFUKO YA MAENDELEO YA PETROLI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi amezihamasisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa na Mifuko ya Maendeleo ya Petroli (Petroleum Fund) ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAKEMEA UBAGUA WATOTO WA KIKE KWENYE URITHI

Na Seif Mangwangi, ArushaSERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekemea tabia ya jamii katika maeneo mbalimbali nchini kuwabagua watoto wa kike kwa kutowapatia urithi wa ardhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI YA SAMIA LEGAL AID YAVUNJA REKODI, YATATUA MIGOGORO ZAIDI YA 1800

Na Seif Mangwangi, ArushaKAMPENI ya msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Samia Legal Aid), imevunja rekodi baada ya kufanikiwa kuhudumia zaidi ya wananchi 1800 katika mikoa 22 nchini ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWEKEZAJI WALIOKIUKA MKATABA RANCHI YA USANGU KUONDOLEWA

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu wakati wa Ziara yake Machi 7, 2025 Wilayani Mbarali mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT : MCHEZO WA SIMBA NA YANGA 'WAOTA MBAWA', KUPANGWA TENA HAPO BAADAYE.

 Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Simba umeahirishwa na Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania ili kutoa nafasi ya kupata taarifa zaidi zitakazosaidia kufanya maamuzi ya haki.Aidha , Bodi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKUU WA NSSF: DHAMIRA YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA NI KUHAKIKISHA...

*Awapongeza wananchi kwa muitikio wa kujiunga na kuchangia ili kujiwekea akiba kwa maisha bora ya sasa na ya baadaye kupitia kampeni ya NSSF Star MchezoNa MWANDISHI WETU,Arusha. Mkurugenzi Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA: TANZANIA IMEPIGA HATUA KUBWA KATIKA USAWA WA KIJINSIA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kupitia utekelezaji wa Ilani ya CCM, Serikali imepiga hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUMISHI WANAWAKE TCAA WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE KUADHIMISHA SIKU YA...

 Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, watumishi wanawake wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameshiriki maadhimisho hayo yaliyofanyika kitaifa mkoani Arusha Machi 08, 2025,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBAA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KIMATAIFA

 Katika kuadhimisha siku ya Wanawake Kimataifa, wanawake wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wameshiriki maadhimisho hayo yaliyofanyika Machi 08, 2025 na kuadhimishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajane wa Wanamuziki wa Rumba Tanzania: Walinzi wa Urithi wa Muziki wa...

Katika historia ya muziki wa Tanzania, majina ya wanamuziki wakubwa wa rumba hayajawahi kufutika kwenye kumbukumbu za mashabiki wa muziki. Lakini nyuma ya kila mwanamuziki shupavu aliyewasha moto wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOIL YAJIPANGA KUCHANGIA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI TANZANIA

 Kampuni ya MOIL imeonesha dhamira yake ya kuunga mkono mkakati wa Taifa wa nishati safi kwa vitendo, ikitazama fursa za kuwekeza katika uzalishaji wa Gesi Asilia iliyoshindikizwa (CNG) hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia afuturisha Viongozi mbalimbali Mkoani Arusha

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na viongozi kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini, wazee wa Mkoa wa Arusha pamoja na  makundi mbalimbali katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wikendi ya Kutusua Kijanja Imefika

HATIMAYE leo hii ni siku ya wewe kuondoka na kitita cha mkwanja ndani ya Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zipo uwanjani kukupatia maokoto. Ingia Meridianbet na ubashiri sasa.Tukianza na ligi kuuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel Tanzania yazindua chumba cha kuhudumia wakina mama na Watoto wakati wa...

Dar es Salaam, Machi 07, 2025 - Airtel Tanzania imezindua chumba maalum cha kuhudumia wakina mama na Watoto wakati wa kazi kwenye makao makuu yake jijini Dar es Salaam kwa lengo la kudhihirisha dhamira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Azimio la Addis Ababa: Wito wa Malipo ya Kijamii na Kiuchumi kwa Unyonyaji wa...

Addis Ababa, Machi 2025 – Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) iliandaa semina ya kimataifa ya siku mbili, Februari 27-28, 2025, iliyolenga jukumu la jumuiya za imani na mashirika ya maadili katika kuendeleza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDSM Yasherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa Kutoa Msaada kwa Makundi...

Na Tumaini Kibangara, CMUKatika kuadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2025, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeadhimisha siku hii kwa kutekeleza jukumu lake la kuhudumia jamii kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DHAMIRA YA RAIS SAMIA KUJENGA CHUO KIKUU SONGEA KUANZA KUTEKELEZWA

  Na Albano Midelo,SongeaMeneja wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Kampasi ya Songea, Dkt. Bakari Mashaka, amesema wanatarajia kuanza mradi mkubwa wa ujenzi wa chuo kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WANAWAKE BARRICK WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA...

Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Barrick nchini na wakandarasi wake wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa kujikita kutoa msaada kwenye jamii sambamba na kujitolea muda wao kusaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ETDCO yashiriki Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani

  Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MERIDIANBET KUKUPATIA MKWANJA MNONO LEO

BAADA ya jana kushuhudia mitanange kibao kwenye ligi mbalimbali, leo hii pia mechi kibao zinaendelea huku nafasi ya wewe kuibuka bingwa ikiwa kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.EPL pale...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Unapenda Salad ya Aina Gani? Meridianbet Kasino Fruit Salad 100 Ushindi...

Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Meridianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARAGWE MARKETING WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KURUDISHA TABASAMU KWA...

Kampuni ya Karagwe Marketing ya Wilayani ya Mkoani Kagera inayojihusisha na Ukoboaji wa zao la Kahawa, imeendelea na kurejesha Tabasamu kwa mabinti wa Shule tofauti za Mkoani Kagera, kwa kuwapatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia azindua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe Wilayani Mwanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WA SF GROUP WAFANYA MATENDO YA HURUMA KWA WATOTO YATIMA KIBAHA MJI

NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWafanyakazi wanawake wa kampuni ya Sf Group ya Jijiji Dar es Salaam wameungana kwa pamoja na baadhi ya wanawake wa CCM katika jimbo la Kibaha mji na kutoa msaada wa mahitaji...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>