Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NELSON MANDELA KUTATUA CHANGAMOTO YA UFANISI KATIKA UFUGAJI

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na ya Teknolojia ya Nelson Mandela,Prof. Maulilio Kipanyula, akizindua rasmi Kituo cha Teknolojia ya kisasa ya ufugaji Fanisi kwa kumuingiza ng'ombe katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASAC YAPOKEA BOTI YA ‘AMBULANCE’ KWA AJILI YA SHUGHULI ZA UOKOAJI

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limepokea rasmi boti ya kisasa ya 'ambulance' kwa ajili ya shughuli za utafutaji na uokoaji (Search and Rescue - SAR), hatua inayolenga kuboresha usalama wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAWIFA YAJA NA KAMPENI YA MTI PESA MASHULENI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Hamasa yatolewa kwa Wadau wa Maendeleo ikiwemo Sekta ya Kilimo,Sekta ya Misitu na Mazingira kuungana Rais Dkt Samia kupitia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. YONAZI AKUTANA NA UJUMBE WA IFAD NA TIMU YA WATAALAM NA WATEKELEZAJI WA...

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonaz akizungumza wakati wa kikao cha majumuisho (Wrap-Up Meeting) kilichohusisha Ujumbe Kutoka Mfuko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI NCHIMBI AKUTANA NA MWENYEKITI WA WABUNGE WA CCM, SPIKA WA BUNGE

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), ambaye ni Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT KIKWETE- MIMI MWANACCM NATAMANI RAIS SAMIA AENDELEE BAADA YA UCHAGUZI...

  Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze Aprili 11, 2025Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, anatamani kuona Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea kuliongoza Taifa baada ya Uchaguzi Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME, SERIKALI NA VYAMA VYA SIASA KUSAINI MAADILI YA UCHAGUZI

  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndg. Kailima, R. K akifafanua jambo.  Na. Mwandishi Wetu DodomaTume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU NYERERE NA ADEM WAJA NA MKAKATI KWA WAALIMU NCHINI

 Na Khadija  Kalili Michuzi TV Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere Kibaha na Chuo Cha Uongozi wa Elimu ADEM wanatarajia kuja na mpango wa pamoja wa kutoa mafunzo kwa walimu nchi nzima ili kuboresha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUWASA YAJIBU KILIO CHA UKOSEFU WA MAJI MKOANI PWANI

 Mwamvua Mwinyi, ChalinzeApril 10,2025Wafugaji wa mifugo mbalimbali ,wametakiwa kuchangamkia fursa ya soko la ndani na nje ya nchi kupitia machinjio ya kisasa ya Union Meat Abattoirs Ltd, yaliyopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PPAA yawanoa wazabuni Kanda ya Kaskazini

Na Mwandishi wetu, ArushaMamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea na zoezi la kuwajengea uwezo wazabuni kuhusu matumizi ya Moduli ya kuwasilisha na kushughulikia malalamiko na rufaa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AfCFTA IHAKIKISHE INAAKISI MATARAJIO YA WANANCHI NA MALENGO YA AJENDA 2063 YA...

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara,Dkt Hashil Abdallah,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa 20 wa Makatibu Wakuu wa Biashara wa Mkataba wa eneo Huru la Biashara Barani Afrika (AfCFTA)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAO LA MWANI,KATANI NA KOROSHO KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameiagiza Bodi ya Stakabadhi za Ghala kuhakikisha zao la Mwani, linakuwa zao la kwanza kuingizwa kwenye Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MVUA - TANROAD KAGERA

Na Diana Byera Bukoba,Wakala wa Barabara TANROAD mkoani Kagera wamejipanga kukabiliana na athari za mvua ili kuhakikisha wanarejesha hali ya usalama wa Barabara mkoani Kagera kwa saa 24Meneja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AISHUKURU SERIKALI KUENDELEA KUITANGAZA LUGHA YA KISWAHILI DUNIANI KOTE

Mhadhiri, Mwandishi wa vitabu na Mchoraji Maarufu  wa Chuo Kikuu cha Sultan Quaboos  cha nchini Oman, Prof. Ibrahim Noor ameishukuru serikali kuendelea na jitihada za  kuitangaza Lugha ya Kiswahili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampeni Msaada wa Kisheria Mama Samia kuzinduliwa Aprili14 Kagera

Na Diana Byera - BukobaKAMPENI ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inatarajiwa kuzinduliwa na Waziri wa Katiba na Sheria Damas Ndumbalo Aprili 14 mkoani Kagera na kudumu kwa siku tisa mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyama 18 vya siasa, Serikali na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wasaini Kanuni...

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akisaini maadili ya Uchaguzi kwa niaba ya Tume. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YAJIONDOA ‘KIAINA’ KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU KWA KUGOMEA KUSAINI...

Na Said Mwishehe,Michuzi TVCHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kimegoma kusaini Kanuni za maadili ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani za mwaka 2025 na hivyo Chama hicho kitakuwa kimekosa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUGHE TCAA YAPONGEZWA KWA USHIRIKIANO IMARA; YASISITIZWA KUHAMASISHA...

Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa, Ndg. Amani Msuya akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka wa cha Chama cha Wafanyakazi wa Serikali kuu na Afya (TUGHE) Tawi la Mamlaka ya Usafiri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KATIKA PICHA MAFUNZO NA KUPIMA AFYA KWA WATUMISHI WA OFISI YA WAKILI...

Kaimu Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Vivin Method akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati akifungua Mafunzo kuhusu Upimaji wa Afya yaliyofanyika jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI NCHIMBI ASAINI KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU 2025

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameshiriki katika utiaji saini wa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025. Shughuli hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA WA MWANI, WAVUVI MKINGA WALISHUKURU SHIRIKA LA TAWSEI KUWAPATIA ELIMU

Na Oscar Assenga, MKINGAWAKULIMA wa Kilimo cha Mwani na Wavuvi kata ya Manza na Mayomboni wilayani Mkinga Mkoani Tanga wamelishukuru Shirika la Tanzania Women For Self Initiatives (TAWSEI) kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. GWAJIMA AHIMIZA SERIKALI ZA MITAA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Dkt. Dorothy Gwajima amesema serikali za mitaa ni kitovu cha utekelezaji wa mikakati ya ulinzi na usalama wa mtoto iwapo jamii itatoa taarifa kwa wakati kuhusu changamoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA MAZINGIRA WAJENGEWA UWEZO WA UHIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Serikali Kupitia ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imepokea taarifa kutoka sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za mitaa juu ya uhifadhi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA DABALO KUNUFAIKA NA UJENZI WA MAKAZI BORA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la kiserikali la Habitat Humanity of Tanzania linatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa kijiji cha Dabalo,kilichopo Halimashauri ya Wilaya ya Chamwino,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOA WITO KWA DIASPORA KUWEKEZA NYUMBANI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. David Cosato Chumi (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>