Benki ya Absa yaendeleza udhamini wake Absa Dar City Marathon
BENKI ya Absa Tanzania imeendeleza udhamini wake kwa mwaka wa nne mfululizo katika mbio za Absa Dar City Marathon , ikilenga kuifanya Tanzania kuwa Taifa lenye watu wenye afya njema.Akizungumza wakati...
View ArticleRais Samia Suluhu Hassan Atunuku Nishani Viongozi Mbalimbali
RAIS Samia Suluhu Hassan Atunuku Nishani Viongozi Mbalimbali katika shamrashamra za miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe....
View ArticleWANAFUNZI FANYENI VIZURI KATIKA ELIMU, MTUPE HESHIMA- KIKWETE
Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze, April 24NAIBU Waziri wa Utumishi na Utawala Bora ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amewataka wanafunzi na vijana kuacha matumizi mabaya ya...
View ArticleTAKUKURU PWANI YAONGEZA MAPATO MACHINJIO MTAKUJA
Na Khadija Kalili,Michuzi TVTAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani imefanya uchambuzi wa mfumo wa ukusanyaji wa mapato yatokanayo na machinjio ya Mtakuja...
View Article”KILA LA HERI, KAZI NJEMA”
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akipunga mkono kuwaaga mamia ya wananchi, walioongozwa na viongozi wa chama na Serikali Mkoa wa Ruvuma, waliofika Uwanja wa...
View ArticleWAKUU WA WILAYA TATU ZA MKOA WA KILIMANJARO WAKABIDHIWA MAGARI MAPYA...
Na WILLIUM PAUL, MOSHI. MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amekabidhi magari matatu kwa ajili ya wakuu wa wilaya za Rombo, Mwanga na Same ili kuongeza ufanisi wa utendaji na kuleta maendeleo ya...
View ArticleTHTU YATAKA HATUA KALI WANAOHUJUMU NHIF,YAIPA SERIKALI ANGALIZO KUHUSU KIKOKOTOO
Mwenyekiti wa Chama Cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), Dkt. Paul Loisulie,akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Uchambuzi na Mapendekezo ya hoja za NHIF na Pensheni nchini...
View ArticleWAFANYAKAZI WIZARA YA FEDHA WAPONGEZWA KWA KUJISIMAMIA VYEMA, KUTEKELEZA...
*Wakumbushwa kutekeleza majukumu yao bila kuathiri afya zaoNa Leandra Gabriel, Michuzi TVKATIBU Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu Mwamba amewapongeza wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Taasisi zake kwa...
View ArticleTOGABE MILLS, KISHINDO CHA MAMA WATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
WANACHAMA wa Kishindo cha Mama kwa kushirikiana na TOGABE Mills watoa Msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.Wametoa misaada mbalimbali ya kibinadamu vikiwemo Unga, Maharage,...
View ArticlePROF. MKENDA AZIPONGEZA SHULE BINAFSI KUSITISHA MASOMO KUTOKANA NA HALI YA...
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMWIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imewataka wazazi na walezi pindi wanapoona mvua kubwa zinanyesha kutowaruhusu watoto kwenda shule ili kuepuka athari ambazo...
View ArticleTBS YATOA WITO KUPIMA UBORA NA USALAMA WA MAJI YA KISIMA KWA MATUMIZI YA...
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewashauri wenye visima vya maji kuhakikisha maji yanapimwa ili kukidhi ubora na kulinda usalama wa afya zao.Hayo yamebainishwa Leo...
View ArticleMBUNGE MTATURU ACHANGIA MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA ELIMU
JITIHADA za Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe Miraji Mtaturu kwa kushirikiana na wanachi zimesaidia kukamilisha kazi ya upauaji wa madarasa mawili katika Shule Shikizi ya Mwitumi hatua...
View ArticleMADEREVA BODABODA JIJINI DODOMA WAPATIWA MAFUNZO YA ELIMU YA USALAMA BARABARANI
Na Mean Wetu,DodomaMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya elimu ya usalama barabarani yalivyo wafumbua macho na kuwafanya kufahamu sheria mbalimbali za barabarani na hivyo...
View ArticleSERIKALI YAZITAKA TAASISI ZA FEDHA ZA KUTOA MIKOPO KUFUATA UTARATIBU
Na. Josephine Majura, WF, DodomaSerikali imesema kuwa inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera, kiutawala na kisheria ili kudhibiti tabia ya baadhi ya taasisi za fedha kutoa mikopo kinyume na...
View ArticleWAZIRI JAFO AONGOZA VIONGOZI WA MKOA WA DODOMA MAPOKEZI YA VIONGOZI WA DINI...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewaongoza viongozi na wananchi wa Mkoa wa Dodoma katika mapokezi ya viongozi wa dini waliosafiri kwa treni ya...
View ArticleKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA ATUNUKIWA NA RAIS NISHANI YA KUMBUKUMBU YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemvalisha nishani ya Kumbukumbu ya miaka 60 ya Muungano Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Mzee Ramadhani Nyamka leo Aprili 24,...
View ArticleRAIS SAMIA AZINDUA KITABU CHA MIAKA 60 YA HISTORIA YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24...
View ArticleRAIS SAMIA ATUNUKU NISHANI VIONGOZI MBALIMBALI KATIKA SHAMRASHAMRA ZA MIAKA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mama Salma Kikwete Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambayo aliipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Jamhuri ya...
View ArticleKATIBU MKUU, CCM AWAPONGEZA MABALOZI WAKIKAMILISHA WARSHA YA SIKU 4 KIBAHA.
Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewatembelea Mabalozi wa Tanzania wanaoshiriki warsha ya siku 4 ambayo imekamilika mjini Kibaha leo Aprili 24, 2024 kwa kufikia makubaliano mbalimbali...
View ArticleJENERALI MKUNDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU KATIBU MKUU WA UN...
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda leo amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Operesheni za Ulinzi wa Amani ( UN Under Secretary...
View ArticleSHINDANO LA BINGWA MSIMU WA TATU KUWAFIKIA VIJANA MIKOANI
SHINDANO la Mtindo wa Maisha (Life style) Kwa Vijana wenye ushawishi Mitandaoni ( BINGWA ) Msimu wa tatu umezundiliwa rasmi Vijana Mikoani wapewa nafasi .Akizungumza na Wanahabari Leo Aprili 24,024...
View ArticleWANAGDSS WAICHAMBUA BAJETI YA OFISI YA RAIS (MIPANGO NA UWEKEZAJI) NA KUBAINI...
NA EMMANUEL MBATILO,MICHUZI TVWADAU mbalimbali wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wamekutana katika Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) na kuichambua bajeti ya Ofisi ya Rais (Mipango na uwekeshaji) na...
View ArticlePROFESA MALEBO: UHAMAJI WA HIARI KUTOKA NGORONGORO NI KWA LENGO LA KULINDA...
Na Mwandishi W doetuSerikali ya Tanzania imesema kuwa inatekeleza uhamaji wa hiari wa wananchi kutoka Ngorongoro ili kulinda haki za binadamu na uhifadhi.Hayo ameyasema Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa...
View ArticleNIDA yapata mafanikio katika miaka 60 ya Muungano
*Ni katika kutoa vitambulisho Kwa idadi kubwa ya wananchiNa Chalila Kibuda,Michuzi TV Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesema kuwa katika miaka 60 Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar...
View ArticleWAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu kupitia mikataba ya wakulima iliyoimarishwa.TBL walifanya...
View Article
More Pages to Explore .....