Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Nagu: Tekelezeni Kikamilifu Program ya Malezi ya Awali ya Mtoto

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Tumaini Nagu amewakumbusha Wadau, Makatibu Tawala Mikoa,Maafisa lishe na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Mikoa kwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE UHITAJI

Jamii imeaswa kujenga utamaduni wa kua na moyo wa kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji haswa Watoto wenye changamoto ya vichwa vikubwa na mgongo wazi kutokana na wazazi wengi kushindwa kumudu gharama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na...

 Dar es Salaam, Tanzania– Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili maendeleo, ustawi na mustakabali wa wanachama wake pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BI. MARIAM ABDALLA IBRAHIM AMERUDISHA FOMU YA UBUNGE VITI MAALUM, PWANI

Bi. Mariam Abdallah Ibrahim amerumedisha fomu ya kuwania ubunge wa viti maalum mkoa wa Pwani.Katibu wa Uwt Mkoa wa Pwani,Mwashamba Pashua amemkabidhi fomu hiyo leo Juni 29,2025.Bi. Mariam Abdallah...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtia nia ya Ubunge Kigamboni Aweka Mahitaji ya Wanakigamboni

Na Mwandishi Wetu KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kibada Wilaya ya Kigamboni Dkt.Nazar Kirama amerudisha fomu ya kuomba ridhaa ya chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AONGOZA JUKWAA LA BIASHARA LA TANZANIA NA WAFANYABISHARA WA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji mbalimbali wa Uhispania katika Jukwaa la Biashara la Tanzania na Wafanyabiashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt.Benjamin Awekea Matumaini Wanakigamboni

Dkt. Benjamini akiwa na familia yake wakati wa urudishaji fomu ya UbungeNa Mwandishi Wetu KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkufunzi wa Chuo cha Afya cha City College Dkt.Benjamin Mohamed amerudisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASANTENI WANA RUANGWA -MAJALIWA

WAZIRI Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya kulitumikia jimbo hilo kwa miaka 15.Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AHMED MISANGA ARUDISHA FORM YA UBUNGE JIMBO YA SINGIDA MAGHARIBI

  Ahmed Misanga arudisha form ya ubunge jimbo ya singida magharibihiyo leo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTENDAJI MKUU ADEM ASISITIZA UMUHIMU WA MAAFISA ELIMU KATA NCHINI KUJENGEWA...

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Maulid J. Maulid, ameeleza Maafisa Elimu Kata wanawajibika kusimamia shughuli za elimu kwenye ngazi ya Kata, hivyo ni muhimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. PALLANGYO AIPONGEZA PPAA KUANZA MATUMIZI YA MODULI

 Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Prof. William Pallangyo ameipongeza Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benard Mwakyembe ajitosa Ubunge Temeke

IKIWA leo ndiyo siku ya mwisho ya watia nia ya ubunge na udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu , Kada wa Chama Benard Mwakyembe, amerejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIVUTIO VIPYA NDIO MWELEKEO WA UTALII WA KISASA – DAUD LYON

Wakati mapato ya utalii nchini yakiongezeka kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wageni, wadau wa sekta hiyo wamehimiza umuhimu wa kupanua wigo wa vivutio vya utalii ili kuendelea kuvutia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WMA Yawaonya Wamiliki wa Vituo vya Mafuta: “Tutadhibiti Udanganyifu”

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVMENEJA wa Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) Kitengo cha Bandari, Alfred Shungu amesema kuwa wafanyabiashara wanaobainika kuhujumu vipimo vya mafuta, hasa kwa kutumia vifaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHIMBAJI WA MADINI WATAKIWA KUZINGATIA USALAMA MIGODINI

Bariadi, Julai 2, 2025Tume ya Madini imewataka wachimbaji wadogo wa madini kuhakikisha wanazingatia sheria, kanuni na miongozo ya usalama inayotolewa na wataalam wa sekta hiyo ili kukomesha ajali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REA YASAMBAZA MITUNGI, MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI 461 WA MAGEREZA MKOA WA MARA

Katika kuendelea kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imegawa jumla ya mitungi ya gesi ya kilogramu 15 pamoja na majiko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EWURA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONESHO SABASABA

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu yake na namna ya kushiriki katika ufuatiliaji wa huduma za nishati na maji nchini, kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATAMBI : BADO NINA NGUVU YA KUENDELEA KUWATUMIKIA WANANCHI UBUNGE SHINYANGA...

Mhe. Patrobas Katambi akitoa neno la shukrani baada ya kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania tena nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini.Mhe. Patrobas Katambi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU ZA KAKOLA NA NG'WASABUKA ZATINGA FAINALI LIGI YA MAHUSIANO YA BARRICK...

Wachezaji wa timu ya Ng'wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng'wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng'wasabuka na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAHAD AJITOSA UBUNGE SHINYANGA MJINI KUPITIA CCM

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Fahad Gulamhafiz Mukadam akionesha fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Shinyanga MjiniNa Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mtoto wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMBE AREJESHA FOMU YA UBUNGE SHINYANGA MJINI

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi James Jumbe Wiswa leo Julai 2, 2025 amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini katika uchaguzi mkuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TET YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVTAASISI ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki kikamilifu katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, yanayoendelea katika Viwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEVERE AREJESHA FOMU YA UBUNGE ARUMERU MAGHARIBI

Na Pamela Mollel, Arumeru Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arumeru, Noel Severe, amerejesha rasmi fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 2,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOTO LA UCHAGUZI LAPANDA ARUMERU MKOANI ARUSHA

Na Pamela Mollel, ArumeruJoto la uchaguzi katika Jimbo la Arumeru Magharibi, mkoani Arusha, limeendelea kupanda huku wagombea wakijitokeza kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uteuzi kupitia Chama Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA

NA EMMANUEL MBATILOTAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kaskazini. Kampasi hiyo inatajwa kuwa chachu ya...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>