Meridianbet Bonanza, Kasino ya Ndoto Zako Sasa Ipo Kiganjani Mwako
JE, umewahi kutamani msisimko wa kasino halisi bila ya kusafiri popote? Au kutaka mchezo unaokupa pesa huku ukiburudika kwa kiwango cha juu? Sasa ndoto hizo si tu zinasikika ila ni zinatimia kupitia...
View ArticleJAJI MWAMBEGELE AFANYA UKAGUZI WA VIFAA VYA UCHAGUZI MBEYA
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele Septemba 19, 2025 ametembelea Halmashauri ya Jiji la Mbeya katika Majimbo ya Uchaguzi ya Mbeya Mjini na Uyole na...
View ArticlePigeni Kura kwa CCM kwa Maendeleo ya Kibaha Vijijini” – Mariam Ibrahim
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba 19, amemuombea kura Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi jimbo la Kibaha Vijijini,...
View ArticleSERIALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KUENDELEZA SAYANSI,TEKNOLOJIA NA...
Na Mwandishi WetuKATIBU Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Nombo amesema kuwa Serikali itaendeleza msimamo thabiti wa kujenga mazingira wezeshi kwa sayansi, teknolojia na...
View ArticleALLY HAPI ATUA JIMBO LA KIBAHA VIJIJINI KUMNADI HAMOUD JUMAA NAFASI YA...
VICTOR MASANGU, KIBAHAKatibu mkuu wa jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi (CCM) ndugu Ally Hapi (MNEC) amezindua rasmi kampeni katika Jimbo la Kibaha vijini na kuwaomba wanachama na wananchi...
View ArticleMRATIBU KAMPENI ZA CCM ZANZIBAR ATAJA SABABU ZA MSINGI ZINAZOTOSHA DK.SAMIA...
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMRATIBU wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho Mohamed Abood Mohamed ameeleza hatua kwa hatua sababu za Watanzania...
View ArticleEquity yazindua tawi Geita
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela, amezindua rasmi tawi jipya la Benki ya Equity mjini Geita na kutoa wito kwa benki hiyo kuhakikisha inatoa mikopo kwa wanunuzi wa dhahabu ili kupunguza utegemezi...
View ArticleDK.SAMIA ASISITIZA UCHAGUZI KUFANYIKA KWA AMANI NA UTULIVU, WANANCHI...
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupigakura katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia...
View ArticleUFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI NI FURSA MPYA YA VIJANA KUINUKA
Na Pamela Mollel, Arusha.Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekezaji katika ufugaji wa kuku wa kienyeji, kwa kuwa ni biashara yenye faida kubwa na soko pana linalokua kila siku.Akizungumza...
View ArticleBULALA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KWIMBA KWA NDEREMO NA VIFIJO VYA...
Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi katika Jimbo la Kwimba zimeacha alama yankudumu baada vya kuzinduliwa kwa nguvu na hamasa kubwa atika Kata ya Hungumalwa, ambapo wananchi zaidi ya 7,000 walihudhuria...
View ArticleJumamosi ya Ushindi Imefika na Meridianbet Leo
SIKU ya kutusua na Meridianbet imefika kwani Jumamosi ya leo ligi kuu mbalimbali Duniani zinaendelea ambapo tayari wakali wa ubashiri wamekuweka machaguo yako uyapendayo leo. Tandika jamvi lako na...
View ArticleKumbilamoto ataja sababu za Dkt. Samia kupata kura za kishindo Vingunguti.
Mgombea udiwani wa Kata ya Vingunguti kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Omary Kumbilamoto, leo ameendelea na kampeni zake kwa kufanya mkutano wa hadhara katika Mtaa wa Kombo. Katika mkutano huo,...
View ArticlePIKU Afrika yakabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya nne ya mnada wa kidijitali
Na Mwandishi WetuJUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandao, leo Septemba 20, 2025, limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya nne ya promosheni...
View ArticleVIBE LA WANA MBINGA KWA DK.SAMIA SI MCHEZO
Na Said Mwishehe,Michuzi TVHAKIKA wana Mbinga wana Vibe sio mchezo!Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na wingi wa wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni za mgombea urais Dk.Samia Suluhu...
View ArticleMWH yapongezwa kwa kuunga mkono serikali kuboresha afya za wananchi
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMWananchi wamejitokeza kwa wingi katika Maonesho ya pili ya Afya ya Masaki (Masaki Health Expo) yaliyofanyika leo Septemba 21, 2025 katika mtaa wa Twiga 06, Masaki...
View ArticleMGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU PEMBEJEO ZA...
*Azungumzia kuhusu kutatua changamoto ya uhaba wa maji, agusia miundombinu ya barabara Na Said Mwishehe,Michuzi TV-RuvumaMGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan...
View ArticleGCLA YAWAFIKIA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA
Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Maabara za Sayansi Jinai na Vinasaba vya Binadamu, Fidelis Segumba (kushoto), akimsikiliza mdau aliyetembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali...
View ArticleDK SAMIA AACHA KICHEKO WILAYANI NYASA AKIAHIDI MPANGO UJENZI RELI YA KISASA
*Pia imo miradi ya ujenzi wa bandari mbili, barabara na Liganga, MchuchumaNa Said Mwishehe,Michuzi TVMGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Samia Suluhu Hassan amehutubia maelfu ya...
View ArticleDK.NCHIMBI AMPA SALAMU ZA USHINDI WA KISHINDO DK.SAMIA BAADA YA KUPITA MIKOA...
*Ampongeza kwa uwezo wake wa kutafuta na kusimamia vizuri mgawanyo wa rasilimali fedha *Asema heshima ya kumfanya kuwa msaidizi wake ni heshima ya wana Ruvuma wote.Na Said Mwishehe,Michuzi TVMGOMBEA...
View ArticleDK SAMIA AACHA TABASAMU KWA WANANCHI NYASA … AHIDI MTAMBO KUKAUSHA SAMAKI...
Na Said Mwishehe,Michuzi TV- RuvumaMGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kwa uzalishaji mzuri wa mazao ya biashara na...
View ArticleMHE. MCHENGERWA AZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI MSASANI, MWANANYAMALA. AMWOMBEA...
Na Mwandishi WetuMjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM kuipitia Mkoa wa Pwani, na Waziri wa TAMISEMI, Mhe Mohamed Mchengerwa amewaomba watanzania kumpigia kura zote za ndiyo Rais Samia Suluhu Hassan kwa...
View ArticleNMB Yapokea Tuzo ya Uwajibikaji wa Kijamii Katika Elimu kwenye Tuzo za Mufti...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo BAKWATA na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza...
View ArticleEY Tanzania Ripoti ya Sekta ndogo ya Benki nchini
Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof. Josephat Lotto akizindua Ripoti ya Sekta ndogo ya Benki "EY Tanzania Banking Sub-Sector Report 2024," iliyoandaliwa na Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu...
View ArticleMASHIMBA AZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO KATA YA MABWEPANDE
Mgombea udiwani wa Kata ya Mabwepande kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Andrew Mashimba, leo amezindua rasmi kampeni zake kwa kufanya mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mtaa wa...
View ArticleTUME YAKAGUA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU MAFINGA MJI, WASISITIZWA WELEDI
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Septemba 21, 2025 ametembelea Halmashauri ya Mji wa Mafinga Wilayani Mufindi Mkoani Iringa ikiwa ni mwendelezo...
View Article