Prof. Nagu: Tekelezeni Kikamilifu Program ya Malezi ya Awali ya Mtoto
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Tumaini Nagu amewakumbusha Wadau, Makatibu Tawala Mikoa,Maafisa lishe na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Mikoa kwenda...
View ArticleJAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE UHITAJI
Jamii imeaswa kujenga utamaduni wa kua na moyo wa kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji haswa Watoto wenye changamoto ya vichwa vikubwa na mgongo wazi kutokana na wazazi wengi kushindwa kumudu gharama...
View ArticleBOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na...
Dar es Salaam, Tanzania– Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili maendeleo, ustawi na mustakabali wa wanachama wake pamoja...
View ArticleBI. MARIAM ABDALLA IBRAHIM AMERUDISHA FOMU YA UBUNGE VITI MAALUM, PWANI
Bi. Mariam Abdallah Ibrahim amerumedisha fomu ya kuwania ubunge wa viti maalum mkoa wa Pwani.Katibu wa Uwt Mkoa wa Pwani,Mwashamba Pashua amemkabidhi fomu hiyo leo Juni 29,2025.Bi. Mariam Abdallah...
View ArticleMtia nia ya Ubunge Kigamboni Aweka Mahitaji ya Wanakigamboni
Na Mwandishi Wetu KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kibada Wilaya ya Kigamboni Dkt.Nazar Kirama amerudisha fomu ya kuomba ridhaa ya chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AONGOZA JUKWAA LA BIASHARA LA TANZANIA NA WAFANYABISHARA WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji mbalimbali wa Uhispania katika Jukwaa la Biashara la Tanzania na Wafanyabiashara...
View ArticleDkt.Benjamin Awekea Matumaini Wanakigamboni
Dkt. Benjamini akiwa na familia yake wakati wa urudishaji fomu ya UbungeNa Mwandishi Wetu KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkufunzi wa Chuo cha Afya cha City College Dkt.Benjamin Mohamed amerudisha...
View ArticleASANTENI WANA RUANGWA -MAJALIWA
WAZIRI Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya kulitumikia jimbo hilo kwa miaka 15.Akizungumza na...
View ArticleAHMED MISANGA ARUDISHA FORM YA UBUNGE JIMBO YA SINGIDA MAGHARIBI
Ahmed Misanga arudisha form ya ubunge jimbo ya singida magharibihiyo leo.
View ArticleMTENDAJI MKUU ADEM ASISITIZA UMUHIMU WA MAAFISA ELIMU KATA NCHINI KUJENGEWA...
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Maulid J. Maulid, ameeleza Maafisa Elimu Kata wanawajibika kusimamia shughuli za elimu kwenye ngazi ya Kata, hivyo ni muhimu...
View ArticlePROF. PALLANGYO AIPONGEZA PPAA KUANZA MATUMIZI YA MODULI
Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Prof. William Pallangyo ameipongeza Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika...
View ArticleBenard Mwakyembe ajitosa Ubunge Temeke
IKIWA leo ndiyo siku ya mwisho ya watia nia ya ubunge na udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu , Kada wa Chama Benard Mwakyembe, amerejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge...
View ArticleVIVUTIO VIPYA NDIO MWELEKEO WA UTALII WA KISASA – DAUD LYON
Wakati mapato ya utalii nchini yakiongezeka kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wageni, wadau wa sekta hiyo wamehimiza umuhimu wa kupanua wigo wa vivutio vya utalii ili kuendelea kuvutia...
View ArticleWMA Yawaonya Wamiliki wa Vituo vya Mafuta: “Tutadhibiti Udanganyifu”
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVMENEJA wa Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) Kitengo cha Bandari, Alfred Shungu amesema kuwa wafanyabiashara wanaobainika kuhujumu vipimo vya mafuta, hasa kwa kutumia vifaa...
View ArticleWACHIMBAJI WA MADINI WATAKIWA KUZINGATIA USALAMA MIGODINI
Bariadi, Julai 2, 2025Tume ya Madini imewataka wachimbaji wadogo wa madini kuhakikisha wanazingatia sheria, kanuni na miongozo ya usalama inayotolewa na wataalam wa sekta hiyo ili kukomesha ajali...
View ArticleREA YASAMBAZA MITUNGI, MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI 461 WA MAGEREZA MKOA WA MARA
Katika kuendelea kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imegawa jumla ya mitungi ya gesi ya kilogramu 15 pamoja na majiko...
View ArticleEWURA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONESHO SABASABA
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu yake na namna ya kushiriki katika ufuatiliaji wa huduma za nishati na maji nchini, kupitia...
View ArticleKATAMBI : BADO NINA NGUVU YA KUENDELEA KUWATUMIKIA WANANCHI UBUNGE SHINYANGA...
Mhe. Patrobas Katambi akitoa neno la shukrani baada ya kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania tena nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini.Mhe. Patrobas Katambi...
View ArticleTIMU ZA KAKOLA NA NG'WASABUKA ZATINGA FAINALI LIGI YA MAHUSIANO YA BARRICK...
Wachezaji wa timu ya Ng'wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng'wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng'wasabuka na...
View ArticleFAHAD AJITOSA UBUNGE SHINYANGA MJINI KUPITIA CCM
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Fahad Gulamhafiz Mukadam akionesha fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Shinyanga MjiniNa Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mtoto wa...
View ArticleJUMBE AREJESHA FOMU YA UBUNGE SHINYANGA MJINI
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi James Jumbe Wiswa leo Julai 2, 2025 amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini katika uchaguzi mkuu...
View ArticleTET YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVTAASISI ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki kikamilifu katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, yanayoendelea katika Viwanja...
View ArticleSEVERE AREJESHA FOMU YA UBUNGE ARUMERU MAGHARIBI
Na Pamela Mollel, Arumeru Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arumeru, Noel Severe, amerejesha rasmi fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 2,...
View ArticleJOTO LA UCHAGUZI LAPANDA ARUMERU MKOANI ARUSHA
Na Pamela Mollel, ArumeruJoto la uchaguzi katika Jimbo la Arumeru Magharibi, mkoani Arusha, limeendelea kupanda huku wagombea wakijitokeza kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uteuzi kupitia Chama Cha...
View ArticleTIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
NA EMMANUEL MBATILOTAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kaskazini. Kampasi hiyo inatajwa kuwa chachu ya...
View Article