Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117380

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella mgeni rsmi katika maulidi ya Mtume Muhammad SAW

$
0
0
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuendeleza Quraan na Sunna Tanzania (JAQUSUTA) Sheikh Hassan Kabeke (kushoto aliyesimama) akizungumza kwenye Maulid iliyofanyika jijini Mwanza juzi. Waliokaa kushoto ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania Mkoa wa Mwanza (BAKWATA) Sheikh Salum Mohamed Balla, Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella, kulia wa kwanza ni Sheikh Khatm kutoka Malindi Kenya na wa pili ni Kaimu Mufti Othman Issa Othman.
 Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania Mkoa wa Mwanza (BAKWATA) aSheikh Salum Mohamed Balla na Mkuu wa mkoa huo  Mhe. John Mongella (wa pili kutoka kushoto) wakifuatilia mawaidha kwenye Maulid iliyofanyika jijijni Mwanza  juzi.Kulia wa kwanza ni Sheikh Khatm kutoka Malindi Kenya na wa pili ni Kaimu Mufti Othman Issa Othman.
Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania Mkoa wa Mwanza (BAKWATA) Sheikh Salum Mohamed Balla na Mkuu wa mkoa huo  Mhe. John Mongella (wa pili kutoka kushoto) wakifuatilia mawaida kwenye Maulid iliyofanyika jijijni Mwanza.Kulia wa kwanza ni Sheikh Khatm kutoka Malindi Kenya na wa pili ni Kaimu Mufti Othman Issa Othman. Picha na Baltazar Mashaka.
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117380

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>