Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117151 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MV KAZI YASHUSHWA MAJINI

 Kivuko cha MV KAZI kikielea majini baada ya kushushwa kwa mara ya kwanza tayari kwa kufanyiwa ukaguzi wa mwisho kabla ya kuanza kazi. Kivuko hicho kitakua kikitoa huduma zake kati ya Magogoni na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA AFYA WA KENYA KUHUSU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu aliyefika Ikulu pamoja na ujumbe wake kwa ajili ya...

View Article


Introducing Dr. Asha- Rose Migiro by Wasanii Tanzania Uingereza (WASATU)

View Article

SIMU TV: YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO

Kwa taarifa zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONDOKA NCHINI KWENDA MOURITIUS KUMWAKILISHA JPM...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kwenye uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kabla ya kuondoka nchini kwenda Port Louis,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA WAKUU NCHI NA SERIKALI WA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo March 18,2017 amehudhuria mkutano wa dharura wa  Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI MICHUANO YA GOFU YA BRITAM WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

Zaidi ya wachezaji 100 walishiriki michuano hiyo ya gofu ya Britam huku Adam Ngamilo akiibuka mshindi wa jumla baada ya kupata pointi 39 katika mashimo 18 aliyocheza katika klabu ya Gymkhana Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

magazeti ya leo jumapili machi 19, 2017

Kupata magazeti yote BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANITE ONE WATOA MILIONI 20 KWA SACCOS YA MADALALI WANAWAKE WA MADINI ARUSHA

ANDREA NGOBOLE, PMT Kampuni ya Tanzanite One, imetoa msaada wa Sh 20 milioni kwa chama cha Madalali wanawake,wanaouza madini ya Tanzanite mkoani Arusha .Wakurugenzi wa kampuni hiyo, inayomilikiwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

mgogoro wa ardhi wa mipaka uliodumu kwa takribani miaka 33 watatuliwa...

MKUU wa Wilaya ya Ikungi Miraji Mtaturu (mwenye miwani) amefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi wa mipaka uliodumu kwa takribani miaka 33 sasa kati ya wananchi,kituo cha kufundishia wanyama kazi(OTC) na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA WA JIJI LA DAR KUCHANGIA MABATI NA MIFUKO YA SARUJI 100 UJENZI WA...

MEYA wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita ameahidi kuchangia mifuko 100 ya Saruji pamoja na Mabati 100 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi Maweni iliyopo Kata ya Mjimwema wilayani Kigamboni. Shule...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani Amvisha Cheo Kanali wa JWTZ

Katika hali ambayo haijazoeleka na iliyoonekana kuwa ngeni, Balozi wa Tanzania Mhe. Philip Marmo alimvisha Cheo Kanali Joseph Bakari aliyepandishwa Cheo hivi karibuni kutoka Luteni kanali.Hafla hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA MJI WA KIBAHA WATAKIWA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA MIRADI YA MAJI

Na Mwamvua Mwinyi,KibahaMHANDISI wa maji katika halmashauri ya Mji wa Kibaha,Grace Lyimo,amewataka wakazi wa mji huo kulinda na kuitunza miundombinu na mifumo ya miradi mbalimbali ya maji safi kwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKADA WA CCM WACHUKUA FOMU KUWANIA NAFASI YA UBUNGE, BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI.

 Katibu Msaidizi Idara ya Organizeshen CCM Ofisi ndogo Dar es Salaam, Said Bakari Is-hak (kulia) akimkabidhi fomu za kugombea nafasi ya Ubunge, Bunge la Afrika Mashariki, Kada wa CCM, Daktari Bingwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA JIMBO LA TANGA AENDELEA KUTATUA KERO ZA WANANCHI JIMBONI...

Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF),Alhaj Mussa Mbaruku akiendeseha baiskeli hiyo kabla ya kumkabidhi mkazi wa Makorora Mbwana Hamisi leo kwa ajili ya matumizi yake kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA MISS PENDO KISAKA NA MWANAHABARI GEORGE BINAGI WAFANA

Ijumaa March 17, 2017 kuamkia  ilikuwa ni siku muhimu kwa Malikia wa nguvu, Pendo Kisaka, ambapo ndugu, jamaa na marafiki zake walijumuika naye kwenye Sendoff yake kuelekea kwenye ndoa anayotarajiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAULID YA KUMSALIA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) YAFANA SEGEREA MWISHO, DAR ES SALAAM

 Siku ya jumamosi ya 11 Machi 2017 katika viwanja vya Madrasat Rahman iliyopo Segerea Mwisho  jijini Dar-es-salaam palikuwa hapatoshi kwa mkusanyiko wa waumini wa dini ya Kiislam waliokusanyika katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MHE. MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGUA KITUO CHA AFYA NUNGWI

 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akisalimiana na Dk,Ameesh Mehta mara baada ya kuwasili katika Ufunguzi wa Hospitali ya Dk,MEHTA(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA RODRICK MPOGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA...

  Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akizungumza na Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Youqing, nyumbani kwa Balozi huyo, jijini Dar es Salaam, leo, Machi 19, 2017. Mazungumzo hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AWASILI MAURITIUS KUMWAKILISHA RAIS DKT. MAGUFULI KATIKA...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasili nchini Mauritius leo (Jumapili, Machi 19, 2017) kwa ajili ya kumuwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli katika mkutano wa kuzindua Jukwaa la Uchumi Barani...

View Article
Browsing all 117151 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>