Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117151 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUZI TV: RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN IKULU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimlaki Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein alipowasili Ikulu jijini Dar es salaam leo Machi 19,...

View Article


mambo ya wasafi dot com

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI ZATAKIWA KUVITAZAMA VIKUNDI VYA JOGGING

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiNaibu meya wa Manispaa ya Ilala , Omary Kumbilamoto ameviomba vikundi vya Jogging kuanza kujisajiri hili waweze kupata fursa za mikopo kutoka Halmashauri zao.Kumbilamoto...

View Article

introducing "Stress" by Khadifa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUANZA KUJIFUA KESHO, KUSUBIRI DROO YA CAF

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiBAADA ya kurejea kutoka nchini Zambia kwenye mchezo wa  kombe la Klabu Bingwa Afrika na kuondolewa kwenye michuano hiyo, kikosi cha Yanga kinatarajiwa kesho kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA MAADILI KUFANYIKA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM KESHO

Na Dotto MwaibaleWizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo inatarajia kufanya kongamano linalolenga maadili kwa Taifa nchini.Kongamano hilo litafanyika kesho kuanzia saa nne asubuhi Uwanja wa Taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA WAWAKILISHI WA VYAMA VYA SIASA KUZUNGUMZIA...

 Katibu  wa Bunge ambaye pia ni msimamizi wa Uchaguzi wa Wawakilishi wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashililah  akizungumza na wawakilishi mbalimbali wa Vyama vya Siasa kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZOEZI LA UBOMOAJI WA MAJENGO YALIYOMO KATIKA HIFADHI YA RELI KUENDELEA NCHINI...

 Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) imesema zoezi la ubomoaji wa majengo yaliyomo katika hifadhi ya reli linaloendelea nchini limezingatia taratibu na sheria za uendeshaji wa reli na kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIFAHAMU TIMU ZILIZOINGIA NA KUTOLEWA KOMBE LA KLABU BINGWA AFRIKA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii Timu zilizofuzu hatua ya makundi klabu bingwa Africa ni kama ifuatavyo1)Zanaco-Zambia2)Mamelodi sundwon-SA3)Wydad Casablanca-Morroco4)USM Alger-Algeria5)Cotton...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHANA JENERALI MPYA WA UHAMIAJI AJITAMBULISHA KWA RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN

 Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akisalimiana na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Tanzania Dkt. Anna Peter Makakala alipofika Ikulu Mjini Unguja kujitambulisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE AUNDA KAMATI KWA AJILI YA KUCHUNGUZA TUKIO LA UVAMIZI WA KITUO...

Na Shamimu Nyaki-WHUSMWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye ameunda kamati ya watu watano itayoongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Dkt.Hassan Abbas kuchunguza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNADA WA HADHARA WA VIWANJA AMBAVYO WAMILIKI WAMESHINDWA KULIPA PANGO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MSTAAFU WA TEMEKE ABBAS MTEMVU AFUNGUA MKUTANO WA VICOBA NA BENKI YA...

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kuondoa Umasikini Tanzania (PFT), Mbunge mstaafu wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (kulia), akibadilishana mawazo na baadhi ya Maofisa wa Benki ya Kiislamu ya Amana,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AMEWATAKA WATANZANIA KULINDA MIUNDOMBINU YA BARABARA ZA JUU.

Na Daudi Manongi-MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli ametoa wito kwa Watanzania kuulinda mradi wa barabara za juu kwenye makutano ya barabara za Morogoro,Mandela na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtanzania Dkt Harun Nyagori Apatiwa Tuzo ya Heshima ya magonjwa ya moyo...

Daktari Bingwa Mshauri Mwandamizi wa Magonjwa ya Moyo Kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Morogoro na Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Mtakatifu Fransisco, Dkt Harun Nyagori, ametunukiwa  Tuzo ya Heshima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC DODOMA AKUTANA NA KAMATI NDOGO YA MKOA YA URATIBU UJENZI WA UWANJA WA...

 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Christina Mdeme akizungumza na Kamati ndogo ya Mkoa inayoratibu Ujenzi wa mradi wa Uwanja wa Michezo wa Kimataifa utakojengwa katika kata ya Nala Mjini Dodoma. Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ziara ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi nchini India

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema nia ya Uongozi wa Shirikisho la Viwanda Nchini India wa kuonyesha muelekeo wa kutaka kuwekeza miradi yao katika sekta ya Kilimo utaleta...

View Article

VOA SWAHILI: MATEJA WA DAWA ZA KULEVYA WAFUNGUKA

View Article

SIMU TV: HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

View Article
Browsing all 117151 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>