DC DODOMA AKUTANA NA KAMATI NDOGO YA MKOA YA URATIBU UJENZI WA UWANJA WA...
 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Christina Mdeme akizungumza na Kamati ndogo ya Mkoa inayoratibu Ujenzi wa mradi wa Uwanja wa Michezo wa Kimataifa utakojengwa katika kata ya Nala Mjini Dodoma. Mwenyekiti...
View ArticleMAJALIWA ASHIRIKI UZINDUZI WA JUKWAA LA UCHUMI LA AFRICA MJINI PORT LOUIS-...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Swaziland Mhe. Barnabas Sibusiso Dlamini katika uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Afrika kwenye hoteli ya Westin mjini Port Louis, Mauritius,...
View ArticleMICHUZI TV: Mabalozi wa Tanzania nchi za nje watembelea TIC
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Cliford Tandari akifafanua jambo katika Mkutano wake na Baadhi ya Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje, katika Ukumbi wa Mikutano...
View ArticleRAIS MHE. DKT. MAGUFULI PAMOJA NA RAIS WA BENKI YA DUNIA DKT. JIM YONG KIM...
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akivuta kitambaa pamoja na Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi katika Mradi wa ujenzi wa...
View ArticleVODACOM CLARIFIES MATTER VERSUS MOTO MATIKO MABANGA
Dar es Salaam, Tuesday March 21, 2017. In the matter of Moto Matiko Mabanga vs Vodacom Group Limited Vodacom Tanzania PLC  ("VCT"); Vodacom International Limited  ("VIL"), and Vodacom Congo s.p.r.l...
View ArticleWANAUME NDIO WANAONGOZA KATIKA NYANJA MBALIMBALI ZA UONGOZI NA UTAWALA
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiTakwimu zinaonyesha kuwa wanaume ndio wengi katika nyanja mbalimbali za kiutawala na uongozi kuliko wanawake hali ambayo inahitajika kuwepo kwa taarifa za wanawake...
View ArticleWAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI CHA ALTEO NCHINI MAURITIUS
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha sukari cha Kampuni ya Alteo ya Nchini Mauritius chenye uwezo wa kukamua tani 400 za miwa kwa saa na kuzalisha tani 170,000 za sukari kwa...
View ArticleSerikali yafuta Usajili wa Vibali vya Uzalishaji na Uingizaji wa Pombe za...
Na: LilianLundo – MAELEZOSerikali imefuta usajili wa vibali vya uzalishaji na Uingizaji wa aina 20 ya pombe kali za viroba zilizokuwa zimesajiliwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA).Waziri wa Afya...
View ArticleKesi ya Madai ya CUF kutajwa mwezi ujao.
Na Karama Kenyunko,blogu ya jamii.Wanachama nane wa chama cha CUF, akiwemo mbunge wa Jimbo la Kaliua Tabora, Magdalena Sakaya Leo wamewasilisha pingamizi la awali dhidi ya kesi ya madai iliyofunguliwa...
View ArticleTANZANIA YATILIANA SAINI NA MFUKO WA MAENDELEO KIUCHUMI WA KUWAIT
 Waziri wa Fedha na Mipango , Dk. Philip Mpango akisaini mkataba wa mkopo kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Chahua hadi Chaya kwa mkopo wa Dola Milioni 51 za kimarekani, katika shughuli iliyofanyika...
View ArticleRATIBA YA VPL YAPANGULIWA TENA
BODI ya ligi kuu ya Tanzania Bara (TPBL) imefanya mabadiliko ya ratiba ya ligi Kuu kama ifuatavyo Ratiba hiyo itahusiana na mechi za timu ya Yanga na Prison (MNO 224) utakaochezwa Mei 06, Yanga na...
View ArticleEVERTON YA UINGEREZA KUTUA NCHINI HIVI KARIBUNI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Bw. Luca Neghesti kutoka SportPesa Tanzania leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Bw. Neghesti...
View ArticleRAIS WA BENKI YA DUNIA AONDOKA NCHINI BAADA YA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU TATU
Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim, ameondoka nchini baada ya ziara ya kikazi ya siku tatu na kuagwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
View ArticleTANAPA YAWAPA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI NA UPIGAJI PICHA WAHIFADHI...
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika kuhakikisha kuwa linaboresha mawasiliano yake baina ya wananchi wanaoishi maeneo jirani na hifadhi wameamua kuwapa mafunzo maalum ya wiki moja...
View ArticleSTARS YAINGIA KAMBINI LEO, SAMATTA, FARID KUINGIA NCHINI USIKU WA LEO
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Mshambuliaji na Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mbwana Ally Samatta anatarajiwa kuwasili nchini leo kuanzia Saa 4:00 usiku kujiunga na kikosi...
View ArticleMohammed Dewji ashinda tuzo ya Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) Bora Afrika 2017
Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Mohammed Dewji ameshinda tuzo ya Afisa Mtendaji Mkuu Bora wa mwaka 2017 inayotolewa na Jukwaa la...
View ArticleUJUMBE MZITO KUTOKA CHINA WAWASILI DAR ES SALAAM, LEO
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akimkaribisha Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC), Guo Jinlong, alipowasili na ujumbe wake, kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa...
View Article