Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117162

WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MHE. MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGUA KITUO CHA AFYA NUNGWI

$
0
0
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akisalimiana na Dk,Ameesh Mehta mara baada ya kuwasili katika Ufunguzi wa Hospitali ya Dk,MEHTA(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit kombo akikunjuwa kitambaa ikiwa ni ishara ya Uwekaji wa jiwe la msingi la Hospitali ya Dk,Mehta(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit kombo akikata utepe ikiwa ishara ya Ufunguzi wa  Hospitali ya Dk,Mehta(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit kombo akipata maelezo kuhusiana na dawa kutoka kwa Dokta Mkuu Ameesh Mehta katika Ufunguzi wa  Hospitali ya Dk,Mehta(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. 
Dokta Mkuu wa Hospitali ya Dk,MEHTA,Ameesh Mehta akitoa hotuba katika Ufunguzi wa Hospitali hio Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.​

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117162

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>