Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117162

MBUNGE WA JIMBO LA TANGA AENDELEA KUTATUA KERO ZA WANANCHI JIMBONI KWAKE,AKABIDHI BAISKELI KWA MLEMAVU

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF),Alhaj Mussa Mbaruku akiendeseha baiskeli hiyo kabla ya kumkabidhi mkazi wa Makorora Mbwana Hamisi leo kwa ajili ya matumizi yake kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Makorora Ally Kivurande 

Mbunge wa Jimbo la Tanga(CUF), Alhaj Mussa Mbaruku akizungumza na wananchi wa Makorora Jijini Tanga leo wakati wa Hafla ya Makabidhiano hayo
Mbunge wa Jimbo la Tanga(CUF),Alhaj Mussa Mbaruku kushoto akimkabidhi Baiskeli Mlemavu wa miguu Mbwana Hamisi Mkazi wa Makorora Jijini Tanga ili iweza kumsaidia kutembea kwenye shughuli zake ambapo baiskeli hiyo ina thamani ya zaidi ya milioni moja.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Makorora Ally Kivurande aliyevaa kanzu akimshukuru Mbunge huyo aliyesimama kulia akisalimia na mama mzazi wa Mlemavu huyo Mariam John.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117162

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>