Msanii Vanessa Mdee akamatwa na Polisi Jijini Dar
Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limemshikilia Mwanamziki Vanessa Mdee maarufu kama Vee Money kwa tuhuma za kujihusisha na dawa za kulevya. Mwanasheria wake, Aman Tenga ametihibitisha kuwa mteja...
View ArticleDkt. Shein katika ufunguzi wa mkutano wa kwanza wa Nchi zinazopakana na...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Marais wa Nchi nyengine wakipiga ngoma kama ishara ya ufunguzi wa mkutano wa kwanza wa Nchi zinazopakana...
View ArticleMAKALA YA SHERIA: JE NI MTOTO WA UMRI GANI ANATAKIWA KUKAA NA MAMA?.
Na Bashir Yakub.Mara nyingi wazazi wanapotengana huwa tunashuhudia mabishano ya nani anatakiwa kukaa na mtoto. Ni mama au baba. Kwa suala hilihili wapo watu wako mahakamani na...
View ArticleTANZIA: BI. SITU MWASA WA ILALA AFARIKI DUNIA
Mwana Ilala na Dar-Es-Salaama mashuuri, maarufu Bi. SITU MWASA amefariki dunia siku ya jumanne Machi 7, 2017, marehemu Bi. Sita Mwasa Kipenzi na mtu wa watu aliyekuwa msatari wa mbele kila wakati...
View ArticleWAZIRI MWIGULU AFANYA MAZUNGUMZO NA KAMISHNA MKUU WA MAMLAKA YA KUZUIA NA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akizungumza na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini, Rogers Sianga, wakati Kamishna huyo alipomtembelea...
View ArticleWANAWAKE JIKITENI KATIKA UJASIRIAMALI, UTAWAKOMBOA
Na Jacquiline Mrisho - MAELEZO.Dunia ya sasa inapigania haki sawa kwa wanaume na wanawake ili waweze kushiriki kwa pamoja kwenye nyanja zote za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa ajili ya kuchangia...
View ArticleMKUTANO WA KUHITIMISHA MCHAKATO WA RASIMU YA SERA YA MILIKI BUNIFU WAFANYIKA...
Kikao cha siku tano cha wabobezi/wataalamu katika mambo ya miliki bunifu,kinaendelea kufanyika katika moja ya ukumbi wa mikutano katika Shirika la Utafiti na maendeleo ya Viwanda Tanzania...
View ArticleMAKALA: ZIARA YA RAIS DKT. MAGUFULI IMEONESHA MWELEKEO WA TANZANIA TUNAYOITAKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Na Hassan Silayo-MAELEZOKuanzia 02 Machi, 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alianza ziara ya kikazi...
View ArticleWAZIRI NAPE ATEMBELEA KITUO CHA REDIO 93.7 EFM JIJINI DAR LEO
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (wa pili kushoto) akiwa pamoja na uongozi wa kituo cha redio 93.7 Efm wakati alipotembelea kituo hicho asubuhi hii ikiwa ni sehemu ya ziara...
View ArticleUGONJWA WA AJABU WAWAKUMBA WANAFUNZI, WAZAZI WAWAKIMBIZA HOSPITALI KIGOMA
Na Magreth Magosso, Kigoma Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Munyika Kijiji cha Kajana tarafa ya Muyama wilayani Buhigwe mkoani kigoma wamekubwa na ugonjwa wa ajabu hali iliyowalazimu wazazi...
View ArticleJoint UN Women and UNESCO Message for International Women's Day - 08 March 2017
Joint Message from UN Women Representative, Maria Karadenizli and UNESCO Head of Office and Representative for the United Republic of Tanzania, Ms Zulmira Rodrigues on International Women’s Day...
View ArticleTOTAL, INTEGRATED WAWAKUMBUKA WANAWAKE JIJINI DAR
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania kwa kushirikiana na Kampuni ya Integrated Communications kwa pamoja wametoa msaada wa taa zinazotumia mwanga wa jua (sola) kwa wakina Mama wajasiliamali wa eneo la...
View ArticleREA Awamu ya Tatu yazinduliwa rasmi kitaifa mkoani Tanga
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa usambazaji wa umeme vijijini unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Awamu ya Tatu, kwa...
View ArticleRC MAKALLA AMSAIDIA MWANAMKE ALIYEMWAGIWA TINDIKALI MKOANI MBEYA
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Gabriel Makalla amemkabidhi shilingi milioni moja Bi Fidea Lucas kwa ajili ya kumsaidia matibabu baada ya kumwagiwa tindikali na mtu asiyejulikana miaka miwili...
View ArticleAirtel yazindua mnara mpya wa mawasiliano kata ya Mponde Tanga, Mawasiliano...
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imewafaidisha zaidi ya wakazi elfu kumi na nne waishio katika vijiji vya Lushoto na Bumbuli kwa kuwapatia mawasiliano ya uhakika kupitia ushirika wao na mfuko wa...
View ArticleAfrican Court marks International Women's Day in Arusha in style
Hon. Lady Justice Ntyam Ondo Mengue plants a tree at the African Court premises in Arusha to mark the International Women’s Day today. Hon. Lady Justice Ntyam Ondo Mengue and President of the African...
View Article