Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117374

RC MAKALLA AMSAIDIA MWANAMKE ALIYEMWAGIWA TINDIKALI MKOANI MBEYA

$
0
0

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Gabriel Makalla amemkabidhi shilingi milioni moja Bi Fidea Lucas kwa ajili ya kumsaidia matibabu baada ya kumwagiwa tindikali na mtu asiyejulikana miaka miwili iliyopita.
Msaada huo ni utekelezaji wa ahadi yake Mkuu wa  Mkoa huyo aliyoitoa wiki kadhaa zilizopita kwenye kikao cha kusikiliza kero za wananchi, ambapo baada ya kuguswa aliahidi kumsaidia mama huyo hela ya matibabu
Aidha, Mhe.Makalla ameahidi kufuatilia madai yake yote ikiwemo kumsaidia kupata haki zake kwa mwajiri wake na msaada wa kisheria.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117374

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>