Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117365 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM YASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KISHINDO NA AKINAMAMA WA...

 Mkuu wa maduka ya rejareja  wa Vodacom Tanzania,Brigita Stephen (kushoto) akimkabidhi zawadi ya simu mjasiliamali Neema Nzuki aliyejiajiri na  kuwaingiza  wateja wapya wa Vodacom Tanzania wa manispaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skuli ya Kijini na Mbuyu Tendee Matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja,Wafaidika na...

Maafisa Afya na Mazingira kutoka (SUZA) Nahya Khamis Nassor Mwanafunzi wa mwaka wa Tatu wa Chuo cha SUZA anayetowa mafunzo ya Afya na mazingira kwa Wanafunzi wa Skuli ya Kijini Matemwe akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIWANGO VYA MICHANGO KWA WANACHAMA WA NHIF

View Article

Experience Korea in Tanzania: “Building Connections and Strengthening Ties...

View Article

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA YAKE MDOGO MHE JAKAYA KIKWETE

Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohudhuria mazishi ya Bibi. Nuru Halfan Kikwete ambaye ni mama mdogo wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne mheshimiwa...

View Article

Female pilots fly Emirates A380 for International Women's Day

View Article

BBC DIRA YA DUNIA JUMATANO 08.03.2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

introducing newest & hottest joint in Dar es salaam - BAR 21 @ Mbezi Beach...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUZI TV: MWANAMITINDO KHADIJA MWANAMBOKA AADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE...

Wakati Tanzania na Dunia nzima kwa ujumla zikiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, leo Machi 8, 2017, Mwanamitindo nguli hapa nchini na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Vitu Vya Khadija, Bi Khadija...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI ZA BUNGE KUANZA KUKUTANA MACHI 20 HADI TAREHE APRIL 2, 2017

Kamati za Kudumu za Bunge zitaanza kukutana Mjini Dodoma kutekeleza majukumu yake kuanzia Tarehe 20 Machi, 2017 hadi Tarehe 2 Aprili, 2017 kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Saba wa Bunge uliopangwa kuanza...

View Article

MICHUZI TV: MUIGIZAJI LULU ASEMA HAYA KATIKA SIKU YA WANAWAKE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Kenya yawataka madaktari wote wanaogoma kurejea kazini haraka,...

Madaktari nchini Kenya wamesema hawatarejea kazini licha ya agizo la Serikali kuwataka kurejea kazini haraka iwezekanavyo na kutangaza pia kuondoa nyongeza ya asilimia 50 waliyokubali kuilipa hapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA UKAGUZI WA USAFI MAENEO MBALIMBALI MJINI DODOMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene akiambatana na Afisa Masoko Manispaa ya Mji wa Dodoma, Stephen Maufi katika ziara fupi ya kutembelea na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WANAOFANYA KAZI MGODI WA BULYANHULU WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA...

Wanawake wanaofanya kazi katika Mgodi wa dhahabu wa Acacia Bulyanhulu uliopo katika halmashauri ya Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wameadhimisha siku ya wanawake duniani Machi 8,2017 kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Maganga apiga marufuku vitendo vya unyanyasaji kwa wanawake mkoani...

Na Rhoda Ezekieli KigomaMkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali mstaafu Emanuel Maganga amepiga marufuku vitendo vya baadhi ya wanaume Mkoani humo kuwadhurumu na kuwatishia kuwafukuza wake zao pindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT SHEIN AREJEA NCHINI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein (katikati) wakiagana na Mhe, Airlangga Hartarto ambae ni miongoni mwa Viongozi wakuu Nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SBL mdau muhimu wa maendeleo kiuchumi-Rc Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella leo ameipongeza Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kwa kuzalisha bidhaa zenya ubora wa hali juu jambo ambo limiweizesha kampuni hiyo kushinda tuzo mbalimbali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPINA AIPONGEZA MIRADI YA MUUNGANO PEMBA

NA Evelyn E. Mkokoi – PembaNaibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia masula ya Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina, ameipongeza Miradi ya tasisi za Muungano Kisiwani Pemba, kwa kile...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIKAKATI YA SERIKALI KATIKA KUMUINUA MWANAMKE KIUCHUMI

Jovina Bujulu – MAELEZO.Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ni hatua muhimu kwa wanawake kujipambanua na kufanya tathmini jinsi wanavyoshiriki katika ujenzi wa taifa kiuchumi, kijamii na...

View Article
Browsing all 117365 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>