Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117361 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS MACHI 9,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA WANAWAME TAWI LA GST DODOMA WAADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MWANAMKE...

Wajumbe wa Chama cha Wanawake tawi la GST-Makao Makuu DODOMA wakiwa katika picha ya pamoja katika viwanja vya Hospital ya Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma baada ya kushirika katika kazi ya kufanya usafi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA...

Maafisa na Askari (Wanawake) wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji pamoja na Mkurugenzi wa People With Drugs Dependence Relief Foundation (Pedderef) bi. Nuru Salehe wa kwanza mbele (kulia) wakiwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taasisi ya Ekama Development yaadhimisha siku ya wanawake wilayani Temeke

KATIKA kusherehekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani, TAASISI ya Ekama Development , ilishirikisha wanawake wa wajasiriamali wadogo Wilayani Temeke, katika tamasha lililokuwa na nia ya kuchambua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YATOA SIKU 14 KWA WADAIWA BILI ZA UMEME KULIPA, VINGINEVYO HUDUMA YA...

NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidSHIRIKA la Umeme Tanzania, (TANESCO), limetoa siku 14 kwa Wateja wake wote linalowadai kulipa madeni yao, vinginevyo litasitisha utoaji wa huduma ya nishati kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MUHONGO AITAKA KAMPUNI YA PR NG MINERALS KUANZA UZALISHAJI MADINI ADIMU

Na Veronica Simba - Dodoma Serikali imeitaka Kampuni ya PR NG Minerals Limited ya Australia, inayofanya utafiti wa madini adimu (rare earth elements), eneo la Ngualla mkoani Songwe, kukamilisha utafiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA PASAKA KUFANYIKA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR

Mkurugenzi wa Msama Promotions,Alex Msama akizungumza mbele ya waandishi wa habari mapema leo mchana jijini Dar kuhusiana na maendeleo ya maandalizi ya tamasha la pasaka linatlotajia kuanza hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel Money yaisaidia WFP kutuma Pesa kwa Wakimbizi katika kambi ya...

Airtel Tanzania imeanzisha njia  mpya  na rahisi ya Near – Field Communication (NFC) ambayo ni mfumo wa malipo utakaoisaida Shirika la chakula Duniani  (WFP)  kuhamisha fedha kwa wakimbizi wapatao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB to digitize Tanzania’s agri sector with the Mastercard eKilimo mobile...

National Microfinance Bank Pic (NMB) has signed a strategic partnership agreement with Mastercard to ensure the digitization of the agricultural sector in Tanzania with the rollout of eKilimo, amobile...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROBO FAINALI ASFC SIMBA na MADINI SASA KUCHEZA MACHI 19, 2017

Mechi mbili za kwanza hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Azam (Azam Sports Federation Cup 2016/2017), zitachezwa Machi 18 na 19, mwaka huu kwenye viwanja viwili tofauti. Mechi hizo ni kati ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAMUZI AHMADA SIMBA AONDOLEWA KWENYE ORODHA LIGI KUU YA VODACOM

Mwamuzi Ahmada Simba akimuonesha kadi nyekundu mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting.Kamati ya Bodi ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi za Tanzania (Kamati ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA WA AZAKI ZA VIJANA WAKUTANA KUJADILI VIPAUMBELE VYAO KATIKA BAJETI YA...

  Mbunge wa viti maalum wa Pwani, Hawa Mchafu Chakoma (CCM) akizungumza kwenye kongamano la vijana kuhusu mchakato wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 uliofanyika leo jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGOMA, TAMBWE WAREJEA MAZOEZINI TAYARI KUWAVAA ZANACO

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKOCHA Msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi amesema kuwa timu inaendelea na mazoezi na wachezaji wote wapo katika hali nzuri na wale waliokuwa majeruhi wamejiunga na wenzao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUGALO YAJIVUNIA MAFANIKIO YA MCHEZAJI WAKE UGANDA

Mshindi wa Divisheni A Nett Mashindano ya Enntebe Ladies Open 2017 kutoka Klabu ya Lugalo Vicky Elias akiwa katika harakati ya Mchezo huo katika Michuano iliyofanyika Uganda Hivi Karibuni.Na Luteni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU KUHUSU MFUMO WA TREIMS YATOLEWA NJOMBE

Wizara ya Nishati na Madini kupitia Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) imeendesha mafunzo kuhusu mfumo mpya wa uhifadhi data na utoaji taarifa kwa ajili ya nishati jadidifu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WLAC YATOA ELIMU JUU YA HAKI ZA MTOTO KWA WANAFUNZI WA HANANASIFU SEKONDARI

 Mwanasheria wa WLAC , Wigayi Kisandu akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Kinondoni hananasifu juu ya umuhimu wa mtoto wa kike katika kukuza uchumi wa Tanzania na familia kwa kuweza kutambua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARY MWANJELWA AONGOZA MAHADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE MKOANI MBEYA

  Mbunge wa Viti Maalum Mbeya, Mary Mwanjelwa akinyoosha mikono juu pamoja na wageni wengine wa meza kuu katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake mjini Mbeya. Mbunge wa Viti Maalum Mbeya, Mary Mwanjelwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO CHA MIPANGO- DODOMA CHAHIMIZA MATUMIZI YA TAFITI KUKABILIANA NA ATHARI...

Na Benny Mwaipaja,WFMWadau wanaofanya tafiti mbalimbali za Maendeleo ya uchumi nchini hasa maeneo ya vijijini kuhusu Mabadiliko ya Tabia nchi wametakiwa kuwasilisha matokeo ya tafiti hizo Serikalini na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utumiaji Holela dawa za maumivu waweza kusababisha magonjwa ya Figo

Watanzania wametakiwa kuepuka utumiaji holela wa dawa za maumivu ili kuepuka uwezekano wa kupata magonjwa ya Figo.Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Daktari Bingwa wa magonjwa ya Figo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA...

Maafisa na Askari (Wanawake) wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji pamoja na Mkurugenzi wa People With Drugs Dependence Relief Foundation (Pedderef)bi. Nuru Salehe wa kwanza mbele (kulia) wakiwa katika picha...

View Article
Browsing all 117361 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>