Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117361 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Afrika Kusini yatakiwa kuitika wito wa Mahakama ya ICC hapo April 7

Mamlaka nchini Afrika Kusini wametakiwa kutokea mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ya ICC iliyoko mjini The Hague Uholanzi, Aprili 7 mwaka huu kuhusiana na kushindwa kwao kumkamata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sudan Kusini yatangaza ada mpya za kupata kibali cha kazi kwa wafanyakazi wa...

Licha ya kukabiliwa na vita pamoja na baa la njaa na kuhitaji msaada, Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuongeza ada ya kupata kibali cha kufanyia kazi nchini nchini humo, kutoka Fold 100 za Sudan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YA TANZANIA YAENDELEA NA MABORESHO

Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Juma(Mwenye shat ijeupe) akifuatilia Mada kuhusu Mpango Makakati wa Miaka Mitano wa Mahakama ya Tanzania pamoja na Maboresho ya Mahakama iliyokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YATOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA SARATANI YA OCEAN ROAD

 Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Taasisi ya Saratani Ocean road, Beatrice Erasto ,vifaa vya mgonjwa ikiwa ni moja ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RITA KUBORESHA MFUMO WA USAJILI WA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO...

Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umeandaa maboresho ya ujumla ya mfumo mzima wa usajili chini ya Mkakati wa Kitaifa wa Kuboresha Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu (National...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI MJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri mjini Dodoma leo tarehe 9/03/2017. Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Makamu wa Rais Samia...

View Article

MICHUZI TV: ZIFAHAMU FAIDA ZA UFUGAJI WA SUNGURA PART 1

View Article

BBC DIRA YA DUNIA ALHAMISI 09.03.2017

View Article


MICHUZI TV: WAGOMBEA URAIS CHAMA CHA MAWAKILI TANGANYIKA (TLS)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE BABA ANATAKIWA KUTOA SHILINGI NGAPI ZA MATUNZO YA MTOTO ?

Na Bashir YakubWazazi  wanapokuwa  wametengana  matunzo  ya mtoto  ni  jambo  jingine  linaloleta    faraka  kubwa. Nani  anawajibu  wa  kutoa  matunzo  ya mtoto,  na  matunzo  yenyewe  ni  kiasi  gani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TECC - Vijana watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ujasiriamali

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Ujasiriamali na Ushindani (TECC), Bw. Sosthenes Sambua (katikakati) akizungumzia awamu ya pili ya program ya VIA Jiandalie Ajira ambayo imetangaza fursa za mafunzo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA ENEO LENYE...

Mwenyekii wa Kamati ya Kudumu ya Ardhi ,Maliasii na Utalii,Atashasta Ndetiye (katikati) akiongozana na wajumbe wengine wa kamati hiyo kutizama vyanzo vya maji vilivyoko katika Pori Tengefu la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAHAMASISHA WAKULIMA

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Tumaini Magesa, akizungumza na viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Mazao (AMCOS), wakati wa uhamasishaji wakulima wilayani humo. Mpango huo umeanzishwa na NSSF kwa ushirikiano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC GONDWE ANG'ARISHA SIKU YA WANAWAKE HANDENI

Mkuu wa Wilaya akikata utepe kuashiria ufunguzi wa maonesho ya bidhaa za kinamama.Mkuu wa Wilaya akitazama moja ya bidhaa na kuunga mkono juhudi zinazofanywa na akina mama katika kutengeneza Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MACHI 10,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya NMB, Mastercard yawaingiza wakulima kidijitali

 BENKI ya NMB imesaini makubaliano na Kampuni ya Mastercard kufanya kazi kiushirikiano ili kuhakikisha inaiinua sekta ya kilimo nchini Tanzania kwa kuanzishwa kilimo mtandao 'eKilimo' kinaomuwezesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AHUDHURIA KAMATI TENDAJI YA KIBUNGE KUHUSU SHIRIKISHO LA...

Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akishiriki kikao cha 38 Kamati Tendaji Kuhusu Shirikisho la Biashara Duniani. Kikao hicho kimefanyika  Brussels - Ubeligiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKURUGENZI WA SHIRIKA MISAADA YA KIMAENDELEO LA UINGEREZA WAWATEMBELEA...

Mkurugenzi Mtendaji waShirika la Misaada ya Maendeleo la Uingereza DFID katika Benki ya Dunia Bw.David Kinder amepongeza hatua iliyofikiwa na serikali ya Tanzania kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Kanali Ndagala kuwachukulia hatua watakaoshindwa kumaliza miradi ya ujenzi...

Na Rhoda Ezekiel Kigoma, MKUU wa Wilaya ya Kakonko, Kanali Hosea Ndagala ameahidi kuwachukulia hatua wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, endapo watashindwa kukamilisha miradi hiyo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA AZINDUA KITABU CHA KIONGOZI MWANAMKE

 Waziri mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba akionesha kitabu juu mara baada ya kuzindua kitabu cha Mwanamke kiongozi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wadau...

View Article
Browsing all 117361 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>