Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Taasisi ya Saratani Ocean road, Beatrice Erasto ,vifaa vya mgonjwa ikiwa ni moja ya vitu vilivyotolewa msaada vyenye thamani ya Milioni 10 kwa taasisi hiyo jana Dar es Salaam
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia)akimkabidhi Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Taasisi ya Saratani Ocean road, Beatrice Erasto kabati la kuhifadhia vifaa vya mgonjwa ikiwa ni moja ya vitu vilivyotolewa msaada vyenye thamani ya Milioni10 kwa taasisi hiyo jana Dar es Salaam.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia)akizungumza kabla ya kukabidhi msaada kwa taasisi ya Saratani ya Ocean Road.
Baadhi ya watumishi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road wakifatlia kitendo hicho cha utoaji wa Msaada kutoka benki ya CRDB
Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Taasisi ya Saratani Ocean road, Beatrice Erasto akizungumza kabla ya kupokea msaada wa vifaa vya hospitali kutoka benki ya CRDB
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia)akimkabidhi Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Taasisi ya Saratani Ocean road, Beatrice Erasto kabati la kuhifadhia vifaa vya mgonjwa ikiwa ni moja ya vitu vilivyotolewa msaada vyenye thamani ya Milioni10 kwa taasisi hiyo jana Dar es Salaam.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia)akizungumza kabla ya kukabidhi msaada kwa taasisi ya Saratani ya Ocean Road.
Baadhi ya watumishi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road wakifatlia kitendo hicho cha utoaji wa Msaada kutoka benki ya CRDB
Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Taasisi ya Saratani Ocean road, Beatrice Erasto akizungumza kabla ya kupokea msaada wa vifaa vya hospitali kutoka benki ya CRDB