Wajumbe wa Chama cha Wanawake tawi la GST-Makao Makuu DODOMA wakiwa katika picha ya pamoja katika viwanja vya Hospital ya Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma baada ya kushirika katika kazi ya kufanya usafi ndani ya Hospital hiyo,siku ya Wanawake Duniani ambayo kilele chake kiliadhimishwa tarehe 08/03/2017, Mkoani Dodoma sherehe hizi kimkoa zilifanyika Wilaya ya Kongwa.
↧