Mwanasheria wa WLAC , Wigayi Kisandu akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Kinondoni hananasifu juu ya umuhimu wa mtoto wa kike katika kukuza uchumi wa Tanzania na familia kwa kuweza kutambua haki zake na majukumu yake
Kaimu Mwalimu mkuu wa shule ya Sekondari Hananasifu Fatuma Niyopa akizungumza wakati wa mkutano huo ambao umewezesha wanafunzi wa kike kujitambua juu ya haki za mwanamke
Wanafunzi wa Shule ya sekondari Hananasifu wakiwa katika kikao hicho na tasisi ya Msaada wa Kisheria kwa Wanawake WLAC