Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117112 articles
Browse latest View live

SERIKALI YATOLEA UFAFANUZI SUALA LA VYETI FEKI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONYESHO YA SITA YA MADINI YA VITO YAANZA RASMI LEO JIJIJI ARUSHA

Na Woinde shizza, ArushaMaonesho ya sita ya madini na vito maarufua kama Arusha Gem fair yameanza rasmi jijini Arusha leo huku ikielezwa kwamba Wananchi wengi wanaoishi karibu na migodi inayochimbwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS MAY 4,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshindi wa mashindano ya 'Bball Kings' kujinyakulia kitita cha shilingi...

Kituo cha East Africa Television (EATV) na East Africa Radio kwa udhamini wa Kinywaji cha Sprite, kiimeandaa mashindano ya mpira wa kikapu yanayojulikana kama ‘Bball Kings’.Akizungumza na Waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAS TANGA ATAKA WAANDISHI WA HABARI KUPEWA USHIRIKIANO

KATIBU Tawala Mkoa Tanga Mhandisi Zena Said ameziagiza taasisi za Serikali na mashirika ya umma kutoa ushirikiano kwa waandishi wa habari pindi wanapohitaji taarifa kutoka kwenye taasisi hizo kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKALA YA SHERIA: MKE ANARUHUSIWA KUUZA MALI YA MUMEWE BILA RIDHAA YA MUME...

Na  Bashir  Yakub.Matunzo  ya  mke  kutoka  kwa  mme  ni  jambo  la  lazima.  Kwa  maana  kuwa  ni  lazima  mme  kutoa  mahitaji  kwa  mke  wake  .Hakuna  uhiari  katika  hili. Ni  lazima  na  neno...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama yawaachia huru wabunge watatu wa Ukawa na Makada wao

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wabunge watatu wa Ukawa na Makada wao baada ya kuonekana hawana kesi ya kujibu. Wabunge hao na wenzao walikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC NDIKILO AWATAKA WAKULIMA WA MATUNDA KULIMA KISASA ILI KUPATA SOKO NDANI NA...

Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo WAKULIMA wa matunda wametakiwa kulima kwa kutumia mbegu bora na kilimo cha kisasa ili kupata soko kwenye viwanda vinavyosindika zao hilo, ndani na nje ya nchi. Aidha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EFM RADIO YATUA KANDA YA ZIWA

KATIKA kuhakikisha watanzania wengi wanapata matangazo yake, Kituo cha Utangazaji cha Efm kimetanua matangazo yake kwa kuongeza masafa ya 91.3 fm Mkoani Mwanza huku Uongozi ukibainisha kuwa, matarajio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: HUSSEIN MACHOZI AACHIA VIDEO NA WIMBO MPYA ‘NIPE SIKUACHI’

Baada ya kukaa kimya kwa miezi kibao bila kuachia wimbo, Hussein Machozi ameachia wimbo mpya uitwao, Nipe Sikuachi. Wimbo huo umetayarishwa na mshindi wa tuzo ya mtayarishaji bora wa Bongo Flava katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA PALESTINA DR.RIYAD MALIKI,AKARIBISHA KURA YA...

Ramallah, Mei 2, 2017 (Wafa) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina Dr. Riyad Maliki,Jumanne ya wiki hii amekaribisha matokeo ya kura ya Bodi ya Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGOMBEA URAIS NCHINI UFARANSA WAPIGANA VIJEMBE KATIKA MDAHALO

Mdahalo wa televisheni wa baada ya duru ya kwanza na kabla ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais nchini Ufaransa ulifanyika Jumatano, Mei 3, mjini Paris. Wagombea urais wawili Emmanuel Macron na Marine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA KUMBUKUMBU YA HABIBU MNDEME MAARUFU KAMA HABIBU CUP YAMALIZIKA...

Mgeni rasmi katika mashindano ya kumbukumbu ya Habibu Mndeme ,Thabiti Mndeme akimkabidhi kikombe cha umalkia wa mchezo wa netiboli wa timu ya Green Bird Collage .Mgeni rasmi katika mchezo wa fainali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TADB, SUA INK AGREEMENT ON RESEARCH AND DEVELOPMENT COOPERATION

TADB’s Acting Managing Director, Mr. Francis Assenga (centre) chairs an agreement meeting on research and development cooperation when SUA’s Principal of College of Agriculture, Prof. Susan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT:RAIS DKT MAGUFULI AMTEUA PROF.EGID BEAUTUS MUBOFU KUWA MKURUGENZI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakandarasi 3,000 nchini wafutiwa usajili kwa kukiuka sheria.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameagiza kuwa miradi yote yenye thamani isiyozidi bilioni 10 wapewe Wakandarasi wa ndani hasa kwa miradi inayotekelezwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA AWAMU YA TANO YAPONGEZWA KWA KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA

Spika Mstaafu wa Bunge na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mama Anna Makinda akiwasili katika ukumbi wa Ledger Hotel Jijini Dar es Salaam kufungua Kongamano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUBORESHA BARABARA ZA MAJIJI: WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ina mkakati wa kufanya yote nchini yawe na barabara za viwango vya kimataifa na zinazopitika kwa urahisi.“Tumeanza kujenga barabara za kisasa katika jiji la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DASANI MARATHON KUFANYIKA MEI 14,2017 JIJINI DAR

 Kampuni ya Coco- Cola Kwanza kupitia Maji ya Dasani imedhamini mashindano ya riadha marathon ‘Dasani Marathon’ itakayofanyika Mei 14 jijini Dar es Salaam.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAVUNDE:VIJANA MILIONI 4 KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiNaibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amesema Vijana zaidi ya Milioni Nne nchini watafikiwa na programu ya mafunzo kwa Vitendo ili...

View Article
Browsing all 117112 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>