Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Rottary aikosoa serikali adhabu ya viboko mashuleni

Adhabu za viboko kwa watoto imeelezwa kuwa inachangia kwa kiasi kikubwa woga na kuwafanya washindwe kuwa wadadisi hali ambayo ina athari kubwa kwao kitaaluma.Rais wa Rottary Club Mzizima, Ambroce...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Kamala akutana na Wajumbe wa Bodi ya Dinka Foundation ya Uholanzi

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai ya rangi ya taifa) akiwa na Wajumbe wa Bodi ya Dinka Foundation ya Uholanzi. Asiye na tai ni Mhe. Leo Bellekom Mwenyekiti wa...

View Article


mapitio ya magazeti leo

View Article

majeruhi wawili wa mlipuko wa bomu arusha wapelekwa kenya kwa matibabu zaidi

Mahmoud Ahmad, ArushaSerikali imewapeleka nchini Kenya Vijana wawili waathirika wa mlipuko wa mabomu juzi Arusha kwenda kupatiwa matibabu zaidi kwenye hospital ya Agakhan ya jijini Nairobi.Mkuu wa mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

Waziri waNchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohd kulia akibadilishana mawazo na Waziri wa Afya Juma Duni Haji nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi mbweni nje ya mji wa Zanzibar....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE ABOUD JUMBE ATIMIZA MIAKA 93 YA KUZALIWA KWAKE

NA RAYA HAMAD - MAELEZO ZANZIBARImeelezwa kuwa moja kati ya neema alizopewa mwanaadamu ni umri mrefu hivyo ni wajibu wa kila mmoja wetu kuutumia vyema uhai wake kwa kutenda mema na kushukuru kila siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MECHI DHIDI YA IVORY COAST YAINGIZA MIL 500/-

Mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia, Kundi C, Kanda ya Afrika kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Ivory Coast (The Elephants) iliyochezwa jana (Juni 16 mwaka huu) imeingiza sh. 502,131,000 kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom Yawatembelea wake Wateja Mbagala

Mkazi wa Mbagala Bi.Halima Ibrahim(kushoto)akimweleza ofisa wa Vodacom Tanzania, Pasco Magesa (katikati) jinsi anavyonufaika na Promosheni ya Cheka Nao. Vifurushi vya Cheka Nao vinawawezesha wateja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA YA MEYA, WENYEVITI WA WILAYA YAFANYIKA JIJINI ARUSHA

 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Mwanga Ekzaudi ambaye ndio alikuwa mgeni rasmi katika Semina hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi Bw....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajasiliamali wa Safari Wezeshwa wakabidhiwa vifaa vyao

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam,Edward Otieno(kulia) akimkabidhi mjasilamali,Pinie Mwasha mashine ya maabara (Outclave sterilizer) wakati wa zoezi la kukabidhi vifaa vya ruzuku kwa wajasiliamali...

View Article

miondoko ya kumeremeta kwenye mnus

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YAZINDUA CHAP CHAP AKAUNTI KWA AJILI YA WATANZANIA WASIO NA AKAUNTI

Benki ya NMB imeendelea kuwa kinara katika kubuni na kuboresha huduma mbali mbali za kibenki, ili kuwawezesha wateja wake kupata unafuu na urahisi wa upatikanaji wa huduma za kibenki nchini Tanzania....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA UTUMISHI WA UMMA BARANI AFRIKA 2013, YAFUNGULIWA RASMI...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Utumishi wa Umma Barani Afrika Mh. Celina O. Kombani (MB), akihutubia katika sherehe za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA TANZANIA WATANGAZA UTALII WA TANZANIA KWENYE USIKU WA SAN DIEGO ZOO

Kwa mara ya kwanza Tanzania imeshiriki kwenye usiku wa San Diego Zoo, Jimboni California kwa kutangaza utalii wa wanyama Tanzania na vitutio vyake tarehe 15 Juni 2013.Tanzania iliwakilishwa na Balozi...

View Article

IDD AZAN, HALIMA MDEE WAJIANDAA KUWAKABILI WOLPER NA JB

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Idd Azan ambaye ni Mbunge wa Kinondoni, wameanza kujichua kwa ajili ya mapambano yao ya ndondi katika Tamasha la Matumaini 2013 litakalofanyika Julai 7 katika Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uholanzi Kuendelea Kusomesha Watanzania - Balozi Kamala

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi ya taifa) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu ya Uholanzi (NUFFIC) Bwana Freddy Weima aliye kushoto kwa...

View Article

KIJIWE CHA UGHAIBUNI

kIJWE 26 from Luke Joe on Vimeo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (TSCP), umeshamiri kwa kiwango kikubwa

Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (TSCP), ambao upo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) ambao ulizinduliwa rasmi 2010, umedhihirisha jinsi ulivyoshamiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Kabara katika Kikao cha 102 cha "ILO" Geneva -2013

Waziri wa Kazi na Ajira,Mhe. Gaudentia Mugosi Kabaka,  akihutubia Kikao cha 102 cha Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) kinachoendelea kufanyika, Geneva Uswisi. Kikao hiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA TUDD NDANI YA DAR LIVE

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>