Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117045 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA AFUNGUA DUKA LA NGUO ZA KITANZANIA MJINI GOLDSBORO NORTH CAROLINA...

Mtanzania Lilian Danieli mwenye kampuni yake ya NASHONA amefungua duka la nguo za Kitanzania Goldsboro jimbo la North Carolina nchini Marekani. Uzinduzi wa duka hilo ambalo lipo Center Street katikati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zanzibar Dkt Shein akutana na Madaktari Bingwa wa Upasuaji Kichwa na...

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Elimu inayohusiana na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu,Uti wa Mgomgo na Vichwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARAB YA RASMI YA KUMPONGEZA DK.SHEIN KWA KUTIMIZA MWAKA MMOJA WA URAIS

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma (Mabodi),Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Mhe,Borafya Silima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWIGULU AHIMIZA UADILIFU POLISI

Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba amewataka maofisa na askari Polisi kote nchini kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu ili kujenga taswira nzuri kwa...

View Article

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IN LOVING MEMORY

Dr Henry C. M Nyamubi Born 12 Feb 1958Died  28 March 2014Seconds become hours, hours into days,days into weeks, week's into months, months into years... It is now two years since you were called by our...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Gondwe apokea vifaa vya Michezo toka Zizzou Fashion

 Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe akipokea sehemu ya vifaa vya michezo kutoka kwa Mdau Mkubwa wa Michezo nchini, Athuman Tippo maarufu kama Zizzou, kwa ajili ya kuhamasisha Michezo kwa vijana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB yafadhili mkutano wa Maofisa waandamizi Jeshi la Polisi Dodoma

. Mgeni Rasmi wa Mkutano Mkuu wa Jeshi la Polisi unaoendelea mkoani Dodoma, Waziri wa Mambo ya Ndani Nchini, Mh. Mwigulu Nchemba (katikati) pamoja na Kaimu Afisa Mkuu wa Wateja Wadogo na wa Kati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA APOKEA TAARIFA YA TUME YA FARU JOHN

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea taarifa rasmi ya uchunguzi wa kifo cha Faru John kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, Prof. Samwel Manyele ambaye alikuwa akiongoza tume maalum iliyoundwa na Waziri...

View Article


BBC DIRA YA DUNIA JUMATATU 27,03.2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHOPPIES SUPERMARKET YATINGISHA DAR ES SALAAM KWA BIDHAA ZA BEI POA!

Bonge la supermarket jipya lipo katika jengo la kituo kikuu cha daladala  cha Makumbusho jijini Dar es salaam ambako utapata  BIDHAA KIBAO kwa bei  poa kabisaaa kama vile Mikate, keki,  biscuit...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Nakala ya Vitabu vya  Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: RAIS DKT MAGUFULI AAGIZA WIMBO WA "WAPO" WA MSANII NEY WA MITEGO...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza kuachiwa huru kwa Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Emmanuel Elibariki maarufu kama Ney wa Mitego (pichani) na wimbo wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA YAKABIDHI TUZO KWA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KATIKA MITIHANI YA...

 Mkurugenzi wa Masoko wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), Vivian Shaluwa akizungumza na wadau waliofika katika hafla ya ugawaji vyeti kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya vizuri katika mtihani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafunzo Ya Ufungaji Migodi Yatolewa kwa Kamati Ya Kitaifa Ya Ufungaji Migodi.

Na Zuena Msuya DSM,Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, anayeshughulikia Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo amefungua mafunzo ya ufungaji wa migodi yanayotolewa kwa wataalam wa mbalimbali...

View Article


MICHUZI TV:WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA MGODI WA BUZWAGI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJASIRIAMALI WAASWA KUZINGATIA VIPIMO SAHIHI ILI KUENDANA NA UCHUMI WA VIWANDA

Na Bakari Madjeshi, Globu ya JamiiWakala wa Vipimo nchini imewaasa Wajasiriamali kuzingatia Vipimo sahihi katika upimaji wa bidhaa ili kuendana na Uchumi wa Viwanda na kufikia soko la Kimataifa kwa...

View Article


MAELEZO YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAR TIMES YAZINDUA KAPU LA PASAKA

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiKampuni ya kuuza Ving’amuzi ya StarTimes Tanzania inatoa pakacha la pasaka  kwa wateja wake ambapo kampuni hiyo imetangaza kuwa kuanzia tarehe 16 Machi 2017  wateja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA ASFC YAPANGWA - YANGA KUMENYANA NA PRISONS APRILI 22, 2017

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiShirikisho la Mpira wa Miguu Nchini limetoa ratiba ya michezo miwili ya Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Sports Federations Cup (ASFC) kwa timu za Yanga na Azam...

View Article
Browsing all 117045 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>