Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117046 articles
Browse latest View live

Introducing Njenje Official Video by Nillan

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MWANDOSYA AENDELEA KUTANGAZA KIVUTIO CHA UTALII CHA MATEMA BEACH...

 Waziri mstaafu Profesa Mark Mwandosya akiwa ameamka alfajiri na mapema ili kufanya mazoezi na kuzunguka katika ziwa Nyasa hususan kwenye fukwe maarufu na mwanana za Matema wilayani Kyela mkoani Mbeya....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKABURI 22 YA WATU WENYE UALBINO YAFUKULIWA TANZANIA...TAS YAMUOMBA JPM...

Na Kareny Masasy- Malunde1 blogInaelezwa kuwa tangu kuibuka kwa mauaji ya watu wenye ualbino mwaka 2007 takribani makaburi 22 nchini  Tanzania yamefukuliwa na watu wasiojulikana.Chama hicho kimeiomba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE ARDHI MALIASILI NA MAZINGIRA YAKAGUA MRADI WA KUWEZESHA...

 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh Angelina Mabulla Akifafanua  namna Fomu ya Umiliki Ardhi inavyo tumika ili kupata taarifa za awali za Mwananchi anaye andaliwa Hati ya Kumiliki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIWA JIPE NA BWAWA LA NYUMBA YA MUNGU HATARINI KUTOWEKA

Na Lulu MussaMwanga - Kilimanjaro Imebainika kuwa Ziwa Jipe liko hatarini kutoweka endapo hatua za haraka hazitachukuliwa katika kulinusuru. Hayo yamesemwa  na Waziri mwenye dhamana ya usimamizi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUST IN: Maafisa sita wa Uhamiaji wapandishwa cheo kuwa Makamishna wa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli amewapandisha cheo Maafisa sita wa Uhamiaji kuwa Makamishna wa Uhamiaji kuanzia tarehe  28 mwezi Februari mwaka 2017, Wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWS ALERT: RAIS DKT. MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKALA YA SHERIA: MWANAMKE ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AFANYE NINI KISHERIA.

Na  Bashir  YakubKutelekezwa  ni  pamoja  na  kunyimwa  huduma  za  muhimu  ambazo  kama  mke  alistahili  kupata. Huduma  muhimu  ni  kama  chakula, mavazi  ,  makazi,  matibabu, hela  ya  kujikimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA JOB NDUGAI NA WAJUMBE WA KAMATI ZA BUNGE ZA BAJETI NA NISHATI NA MADINI...

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko akimpa muhtasari Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ambaye ameongoza wajumbe...

View Article


RAIS DKT MAGUFULI ATAKA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUKAGUA SEKTA YA...

6

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MUHONGO ASAINI LESENI ZA MADINI

Na Veronica Simba – DodomaWaziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesaini leseni za madini kutoka kwa wawekezaji mbalimbali waliowasilisha maombi na kutimiza taratibu zote zinazotakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiongozi Mkuu wa Madhebu ya Bohora Duniani akamilisha ahadi ya kuleta...

Madaktari bingwa wa upasuaji wa magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Saifee ya nchini India wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa moyo . Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAY WA MITEGO AACHIWA HURU

Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego, ambaye alikuwa amekamatwa na kushikiliwa na maafisa wa polisi nchini, kuhusiana na wimbo wake wenye jina la "Wapo",...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS KUSHUKA DIMBANI KESHO KUUMANA NA BURUNDI

Na Zainab Nyamka,Globu ya JamiiTimu ya Tanzania "Taifa Stars" inatarajiwa kushuka tena kesho Machi 28 katika mchezo wa pili wa kirafiki unaotarajiwa kuanza majira ya saa 10:00 jioni kumenyana na timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari wanaodaiwa kuiba mafuta ya ndege na wenzao wapandishwa kizimbani

 Askari wawili wanaodaiwa kuiba mafuta ya ndege ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na raia wengine wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo kujibu tuhuma za kula...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIC YAINGIA MAKUBALIANO YA MRADI EAST AFRICA AND INVESTIMENT HUB

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC) kimesaini makubaliano ya Mradi wa East Africa and Investiment Hub kwa ajili ya uchocheaji wa uwekezaji nchini.Akizungumza wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA KUU TANGA YAWEKA MIKAKATI KUONDOSHA MASHAURI KWA WAKATI

Na Lydia Churi- Mahakama, Tanga.Mahakama Kuu Kanda ya Tanga inakusudia kuwanunulia Mahakimu wake 67 kompyuta Mpakato (Laptops) ili kurahisisha kazi zao na kuondosha mashauri kwa wakati katika Mahakama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUUNGANO DAY SATURDAY APRIL 29TH, 2017 - SEATTLE, WA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAHABARI GEORGE BINAGI WA LAKE FM MWANZA AUAGA UKAPERA

Jana March 26,2017 ilikuwa siku muhimu kwa mwanahabari wa 102.5 Lake Fm Mwanza na mwanablogu wa BMG, George Binagi wa Tarime Mara pamoja na Miss Upendo Kisaka wa Moshi Kilimanjaro baada ya kuuaga...

View Article

ZAO LA KOROSHO LINDI NA MTWARA LAKUMBWA NA UGONJWA WA MNYAUKO

 Zao la korosho nchini lipo hatarini kuporomoka kufuatia kugundulika kwa ugonjwa mpya wa mnyauko wa mikorosho ambao umeua mikorosho zaidi ya elfu 40 hadi sasa katika mikoa ya LINDI na MTWARA. Fungua...

View Article
Browsing all 117046 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>