Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117050 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI 'WABESHI" WAMUOMBA RAIS MAGULI MAENEO YA KUCHIMBA...

Wachimbaji wa mchanga unaodhaniwa kuwa na madini ya almasi ‘Wabeshi’ wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wameiomba serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na rais John Pombe Magufuli iwatengee eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBWANA SAMATTA AIONGOZA TAIFA STARS KUPATA USHINDI WA BAO 2-0 DHIDI YA...

 Timu ya Tanzania "Taifa Stars" imefanikiwa kutoka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Timu ya Botswana katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika leo Jijini Dar es salaam.Mchezo huo uliochezwa leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GLOBAL TV MUBASHARA

View Article

INTRODUCING "KULA KUKU KULA MAYAI" by KARDINAL JENTO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AICC yashauriwa kuwekeza Dodoma

Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeushauri uongozi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kuelekeza nguvu ya uwekezji katika mji wa Dodoma ili kuziba kukidhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MACHI 26,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ kuanza kulipa Deni la umeme wanalodaiwa na TANESCO

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania  Jenerali Venance Mabeyo akizungumza na wanahabari kuhusu Jeshi hilo kuanza kulipa deni wanalodaiwa na Shirika la Umeme nchini TANESCO kuanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YARIDHISHWA NA...

Kamati ya kudumu ya bunge Utawala na Serikali za Mitaa imetembelea mkoani Njombe na kukagua baadhi ya miradi inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF,TAMISEMI, Mfuko wa Rais wa Kujitegemea...

View Article


MAAJABU: MLEMAVU WA MACHO PEKEE DUNIANI 'ANAYEONA' KWA SAUTI

View Article


MSANII JAPHY ROSS KABLA NA BAADA YA MAZOEZI YA SAUTI KWA MWALIMU JOETT

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHI SASA KUJIANDIKISHA KUSHIRIKI KONGAMANO HILI KABAMBE!

Kuna ukomo wa nafasi. Jiandikishe sasa kupitia ukurasa huu, kwa kuchagua hapo chini kulia ' Going' au hata ' Maybe' kama huna hakika... Bofya https://www.facebook.com/events/250673922060000/ Au kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif atembelea Kampuni ya Kimataifa ya Uhandisi wa miundombinu ya...

 Mkurugenzi Miradi wa Kamuni ya Kimataifa ya Uhandisi wa Miundombinu ya Ujenzi ya Garware ya Nchini India  Bwana Deepak Menghnani kati kati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif...

View Article

INTRODUCING NEW SONG "BILA SABABU BY PAPA" produced by fraga @ uprise music...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngoma Africa Band Yamtakia kila la Heri balozi Philip Marmo, Yamkaribisha...

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani imemtakia kila la heri balozi wa Tanzania nchini ujerumani anayemaliza muda wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA WATU WENYE UALBINO CHATOA ELIMU MASUALA YA UALBINO KANISA KUU LA...

Afisa Mahusiano na habari kutoka chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) Josephat Torner akitoa elimu kuhusu masuala ya ualbino katika kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI MKOA WA SHINYANGA YAFANYIKA KWENYE...

Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Msalala Simon Berege akimwongoza Mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkurlu aliyekuwa mgeni rasmi wakati wa maadhimisho ya siku ya Kifua kikuu duniani mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT:Rais Magufuli atengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati...

View Article


Uteuzi wa Makatibu wa CCM Mikoa

1 Arusha - Elias Mpanda2 Dar - Saad Kusilawe3 Dodoma - Jamila Yusuf4 Geita - Adam Ngalawa5 Iringa - Christopher Magala6. Kagera- Rahel Degeleke7. Katavi- Kajoro Vyahoroka8. Kigoma- Naomi Kapambala9....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASAUNI AHITIMISHA ZIARA YAKE MIKOA YA KUSINI KWA KUTEMBELEA GEREZA LA KILIMO...

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Mhe. Seleman Mzee, wakati alipokuwa anawasili wilayani humo, Mkoa wa Mtwara kwa ajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi awataka wafanyakazi kuzingatia utawala bora

Na Hussein Makame, NECMwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji (R) Semistocles Kaijage amewataka watumishi wa tume hiyo wazingatie maadili na kanuni za utawala bora ili kutekeleza kwa...

View Article
Browsing all 117050 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>