Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117056

JWTZ kuanza kulipa Deni la umeme wanalodaiwa na TANESCO

$
0
0
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania  Jenerali Venance Mabeyo akizungumza na wanahabari kuhusu Jeshi hilo kuanza kulipa deni wanalodaiwa na Shirika la Umeme nchini TANESCO kuanzia kesho. Mkutano huo umefanyika katika Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi Ngome jijini Dar es Salaam  leo Machi 26, 2017.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117056

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>