Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117044 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI YATEMBELEA WALENGWA WA TASAF...

NA ESTOM SANGA-TASAFWajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wametembelea kijiji cha Mlanda wilaya ya Iringa Vijijini mkoani Iringa kukagua shughuli zinazotekelezwa na Mfuko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGOMA YANUFAIKA NA TAASISI YA MKAPA

Mkoa wa Kigoma umenufaika na nyumba mpya 30 za watumishi wa Afya pamoja na vitendea kazi (baiskeli 200, mabegi 225, mabuti 25 na makoti ya mvua 25) kwa ajili ya wahudumu wa Afya ngazi ya jamii vikiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUTENGENEZA MWONGOZO WA KUWARUDISHA SHULE WALIOPATA MIMBA

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO.Serikali imejipanga kutengeneza mwongozo wa kuwarudisha shuleni wanafunzi waliopata mimba wakiwa masomoni ili kuhakikisha wanapata elimu hadi kufikia ngazi za juu.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI VINGUNGUTI AJUMUIKA KUSAMBAZA KIFUSI MTAA WA MTAKUJA

 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti , Omary Kumbilamoto akishiriki kusambaza kifusi katika barabara ya Mtakuja mara baada ya eneo hilo kuwa korofi kutokana na kuwepo kwa mashimo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA MIKOA WAJENGEWA WELEDI KUTOKOMEZA UKATILI DHIDI...

Na erasto ching’oro- Msemaji: Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na WatotoWizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo imefungua kikao cha siku mbili cha Maafisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA PROF PALAMAGAMBA KABUDI AWASILI OFISINI MJINI DODOMA

Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi amewasili katika Ofisi za Makao makuu ya Wizara zilizoko ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma na kulakiwa na watumishi wa Wizara walioko makao makuu ya...

View Article

Tanzania Day - Dallas, Texas

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHIMBAJI WADOGO WAMUOMBA RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI KUACHIA MCHANGA...

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWachimbaji wadogo wa madini wamemuomba Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwaachia mchanga wa madini uliozuiwa bandarini ,kutokana na kuwepo kwa mchanga katika bandari kavu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni za ujenzi kutoka China zaaswa kushirikana

KAMPUNI za ujenzi nchini zimeshauriwa kuungana na kushirikiana na kampuni za ujenzi kutoka China ili kujifunza namna wanavyofanya kazi kwa ufanisi.Akizungumza ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

makamishna wapya wa uhamiaji waapishwa leo mjini dodoma

 Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dr. Anna Peter Makakala ,akimvisha cheo kipya Kamishna wa Uhamiaji Utawala na Fedha,  Edward Peter Chogero  katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof.Palamagamba Kabudi awasili ofisini kwake...

 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof.Palamagamba Kabudi akipokea shada la maua kutoka kwa mtumishi Joyce Mtuma mara baada ya kuwasili Wizarani mjini Dodoma.   Waziri wa Katiba na Sheria Mhe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS YAITANDIKA BURUNDI BAO 2-1 TAIFA LEO

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars' imefanikiwa kutoka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Burundi kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika...

View Article

HUDUMA ZITOLEWAZO NA MAABARA ZA WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA (GST)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YASHAURIWA KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI WAKE WA NGAZI ZOTE

 Na Lydia ChuriMahakama, TangaMahakama ya Tanzania imeshauriwa kuwa na Mpango endelevu wa kuwajengea uwezo watumishi wake wa ngazi zote ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi.Jaji Mfawidhi wa Mahakama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE. NAPE MOSES NNAUYE AKABIDHI RASMI OFISI KWA WAZIRI MWAKYEMBE

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Nape Moses Nnauye wakitia saini hati za makabidhiano rasmi ya Ofisi yaliyofanyika katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR AONGEA NA WALIMU WAKUU WA SKULI ZA SEKONDARI UNGUJA LEO

 Baadhi ya Walimu wa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa Mkutano na Walimu wa Skuli za Sekondari za Mikoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

uzinduzi wa Kitaifa wa Tovuti za Mikoa na Halmashauri

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa( OR-TAMISEMI) , Mhe. George Simbachawene akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kitaifa wa Tovuti za Mikoa na Halmashauri uliofanyika...

View Article


DIRA YA DUNIA YA BBC SWAHILI MACHI 28, 2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Neema Wambura Amshukuru Rais Magufuli, Awapongeza Madaktari na Wauguzi

Na John Stephen, MNHMgonjwa Neema Wambura ambaye alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) amemshukuru Rais John Pombe Magufuli baada ya afya yake kuimarika na kuruhusiwa leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENDO KASI LAPARAMIA TAA ZA BARABARANI LEO

 Basi la mwendo kasi asubuhi ya leo, limeacha njia na kugonga taa za magari barabarani katika eneo la Fire, Kariakoo. chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika.

View Article
Browsing all 117044 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>