Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117044 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Makonda ahojiwa na Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amefika mbele ya kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge kufuatia wito wa Kamati hiyo kumtaka afike mbele ya kamati kujibu tuhuma zinazomkabili za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWAKYEMBE APOKELEWA OFISINI KWAKE DODOMA

 Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Elisante ole Gabriel akiteta jambo na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe na wakati waziri huyo alipowasili Ofisini kwake Mjini Dodoma....

View Article


Introducing Wakazi's Tanganyika #Video

View Article

MICHUZI TV: TAIFA STARS ILIVYOIRARUA BURUNDI YA MAVUGO BAO 2 - 1 UWANJA WA TAIFA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Bunge nchini Uganda yajifunza NHIF

KAMATI ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge ya Bunge la Jamhuri ya Uganda imetembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo mafao yanayotolewa na Mfuko kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUHUMIWA WA MAKONTEINA BANDARINI WAPANDISHWA KIZIMBAN

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.Wafanyabiashara watatu akiwemo raia wa Zambia mmoja  wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za uhujumi uchumi ikiwemo kusafirisha bidhaa kwa  kifichoWashtakiwa hao ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RITA YAKANUSHA MADAI YA CHAMA CHA WANANCHI (CUF) KUWA WAMESAJILI BODI MPYA YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEMESA YAKABIDHIWA BOTI NNE ZA KISASA BAADA YA UJENZI WAKE KUKAMILIKA

Na Theresia Mwami – TEMESA Mwanza.Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Dkt. Mussa Iddi Mgwatu, leo amepokea boti nne zilizokuwa zikijengwa na kampuni ya Songoro Marine Boatyard ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA YAJIPANGA KUONDOSHA MLUNDIKANO WA MASHAURI

Na Mary Gwera, Mahakama. MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mwanza imejipanga kuondoa Mashauri yote yenye umri zaidi ya miaka miwili yaliopo katika Kanda hiyo ili kuendana na azma ya Mahakama ya Tanzania ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPANGO AFUNGUA WARSHA YA MAENDELEO YA VIWANDA ILIYOANDALIWA NA REPOA

 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango akizungumza wakati wa uzinduzi wa Warsha ya umuhimu wa taasisi katika Maendeeo ya Viwanda nchini kwa watafiti iliyoandaliwa na taasisi ya REPOA Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA WA KITANZNAIA ANAYEISHI UJERUMANI AJA NCHINI KUTOA MAFUNZO YA KUCHEZA

Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.Watanzania wenye vipaji wametakiwa kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza na wamewataka wajitokeze kwa wingi katika mafunzo ya kucheza yatakayoendeshwa na Mtanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABALOZI WA NORWAY, SWEDEN WAPONGEZA MIRADI YA REA

 Waahidi kuendelea kusaidia sekta ya nishati nchiniNa Veronica Simba – SingidaBalozi wa Norway nchini Tanzania, Hamme-Hanie Kaarstad na Balozi Katarina Rangnitly anayewakilisha Sweden hapa nchini,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Leo ni Kumbukumbu ya Kifo cha TX Moshi William wa Msondo Ngoma.

Na Hassan MatimbwaMarehemu TX Moshi alifariki tarehe 29 Machi mwaka 2006 siku ya JUMATANO majira ya saa 3 asubuhi na kuzikwa siku hiyo hiyo makaburi ya Keko machungwa.Tarehe na siku ya kifo chake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA WADHAMINI YA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) YAFANYA KIKAO...

 Katibu wa Bodi ya Wadhamini  ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Prof. Mohamed Janabi akisoma taarifa ya Taasisi katika kikao cha kwanza cha Bodi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAPITISHA MAJINA 12 KUOMBA RIDHAA YA KUWA WAJUMBE WA BUNGE LA AFRIKA...

View Article


KAULI YA MWENYEKITI KAMATI YA MAADILI MHE. GEORGE MKUCHIKA BAADA YA KUMHOJI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM MHE. RAIS DKT. MAGUFULI AENDESHA KIKAO...

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais  Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akijiandaa kuendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM leo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI BOYS WAJIFUA TAYARI KUWAVAA BURUNDI LEO UWANJA WA KAITABA, BUKOBA

Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya vijana wenye umri wa miaka 17 maarufu kwa jina la Serengeti Boys Leo Jamatano wamefanya mazoezi kujiweka tayari na mchezo wao wa kesho na Timu ya U17 ya...

View Article

AIRTEL TRACE MUSIC STAR TANZANIA SEASON 2 CONTENSTANTS TRAINING

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS WA KLABU YA SIMBA, GEOFREY NYANGE KABURU AZINDUA TAWI LA SIMBA...

Picha na habari na Faustine RuttaMakamu wa Rais wa Klabu ya Simba, Ndg. Geofrey Nyange Kaburu(wa pili) kutoka kushoto akiwa na  Viongozi wa Tawi la Kichwabuta lililozinduliwa jana kwa shangwe na...

View Article
Browsing all 117044 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>