Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117162 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA ZFA WAWAPONGEZA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CAF

Waziri wa michezo wa Zanzibar, Rashid Ali Juma (pili kulia) akiwa na viongozi wa ZFA mara baada ya Zanzibar kutangazwa kuwa mwanachama wa 55 wa CAF.Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiChama cha mpira wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA VODACOM TANZANIA PLC

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya miundombinu wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu,alipokuwa akiwafafanulia jambo wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NCHEMBA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA MAGEREZA NCHINI LEO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba(wa pili kulia) akiwa katika meza kuu na Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(wa pili kushoto) kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Maafisa...

View Article

NBS NEWS LETTER

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA ROBO FAINALI EUROPA LEAGUE HII HAPA

Droo ya robo fainali ya ligi ndogo ya Ulaya (Europa League) imepangwa leo mchana.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA MAENDELEO YA JAMII YATEMBELEA AZAM MEDIA

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (aliyesimama) akiwaeleza jambo wajumbe wa kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii wakati  Kamati  hiyo  ilipotembelea Azam Media jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKONDA AZINDUA MRADI WA MAJI YA DAWASCO KATA YA BOKO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akizungumza na wanachi wa Kata ya Boko NHC wakati wa makabidhiano ya mradi wa maji katika Kata hiyo  leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya...

View Article

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AHANI MSIBA WA SIR GEORGE KAHAMA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI:NASHUKURU KWA KUHOJIWA NA MAMLAKA YA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA,...

Mbunge wa jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete ameeleza kufurahishwa kwake baada ya kuhojiwa na Mamlaka ya kuzuia na Kupambana na Dawa za kulevya nchini.Mbunge huyo amezungumza hayo  jijini Dar es...

View Article


New Comedy Skit by ZULFIQAR MANZI: "African Uber Drivers"

In Tanzania, there are these cab drivers called, "Dala Dala". They are the most bootleg and unsafe cab drivers I've ever seen in my life. I started to ponder and think to myself...how would a Dala Dala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI BOYS WAPANGWA KUNDI B KOMBE LA MATAIFA AFRIKA GABON

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiTimu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17 Serengeti Boys imepangwa  Kundi B katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17,...

View Article

Introducing: Serious by IMMO Ft KAY Lyrical Video Directed by EZ

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA MAWASILIANO SERIKALINI KUPIMWA KIUTENDAJI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GRACA MACHEL AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA WANAWAKE AFRIKA

Mke wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Graca Machel amesema mapinduzi yanayotakiwa kufanyika hapa nchini kwa sasa ni ya kuwainua wanawake kiuchumi, kiafya na kijamii.Mama Machel, ambaye ni mke wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA LUPEMBE AIPA MKONO WA BARAKA AZAM KWENYE MECHI YA MARUDIANO J'PIL

BALOZI wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Richard Lupembe, ameweka wazi kuwa Azam FC ni moja ya timu zinazowatia moyo  Watanzania wanoishi nje ya nchi, huku akiipa mkono wa ushindi kuelekea mchezo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan amekutana na Waziri Mkuu Msumbiji...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Waziri Mkuu wa Msumbiji Mhe. Carlos Agostinho do Rosario walipokutana na kufanya mazungumzo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA VODACOM TANZANIA PLC

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Miundombinu Mhe.Prof Norman Sigalla (katikati)akisisitiza jambo kwa Uongozi wa Vodacom Tanzania PLC wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA BALOZI WA IRAN

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Iran Nchini, Mhe. Mousa Farhang kabla ya mazungumzo yao, kwenye Makazi yake, Oysterbay jijini Dar es salaam, Machi 17, 2017. (Picha na Ofisi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim kuzuru Tanzania wiki ijayo

Rais wa Benki ya Dunia, Dkt. Jim Yong Kim (pichani), atafanya ziara ya kikazi nchini kuanzia tarehe 19 hadi 21 Machi 2017. Akiwa nchini, Dkt. Kim atafanya mazungumzo na Mhe. John Pombe Joseph Magufuli,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS AAGIZA WAFUGAJI WALIOWASHAMBULIA WANANCHI KWA VIBOKO WAKAMATWE

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani Alhaji Majid Mwanga kuwasaka, kuwakamata na kuwafikisha katika vyombo vya...

View Article
Browsing all 117162 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>