Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya miundombinu wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu,alipokuwa akiwafafanulia jambo wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kamapuni hiyo.
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge,Mhe Anna Lupembe (katikati)akifurahia jambo na Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu(kushoto)na Mkuu wa kitengo cha Uendeshaji wa Mtandao Andrew Lupembe, wakati mwanakamati huyo na wenzake walipofanya ziara ya kikazi makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kamapuni hiyo.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha Undeshaji wa Mtandao wa Vodacom Tanzania PLC, Andrew Lupembe,alipokuwa akiwafafanulia jambo wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi makao makuu ya kampuni hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kamapuni hiyo.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Miundombinu Mhe.Prof Norman Sigalla (katikati)akisisitiza jambo kwa Uongozi wa Vodacom Tanzania PLC wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kamapuni hiyo,kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani na Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Alec Mulongo.
Kaimu Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC,Alec Mulongo akimsomea waraka wa matarajio (Prospectus) Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya miundombinu, Mhe.Prof Norman Sigalla wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kamapuni hiyo.