Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117164 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEDHA YA UBORESHAJI WA MIJI ZINATAKIWA KUSIMAMIWA KWA UMAKINI –JAFFO

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiNaibu Waziri Ofisi ya Rais –Tamisemi Suleiman Jaffo amesema kuwa fedha zinazotolewa na Benki ya Dunia kwa ajili ya mradi wa uboreshaji wa miji zinatakiwa kusimamiwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA DKT. JUMA MALEWA AONGOZA KIKAO KAZI CHA SHIRIKA...

Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akiongoza Kikao kazi cha Shirika la Uzalishaji mali la Magereza ambapo katika Kikao hicho cha siku mbili Wakuu wa miradi watapata fursa ya kuelezea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YAKEMEA UBAKAJI WA MTOTO MKOANI IRINGA

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inakemea vikali tukio la kubakwa kwa binti wa miaka saba (jina limehifadhiwa) mkazi wa kata ay Kitanzini, mwanafuzi wa darasa la awali shule...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashindano Ya Taifa Ya Kuogelea Kufanyika Aprili 7 na 8 Jijini Dar es Salaam

Mashindano ya kutafuta bingwa wa Taifa wa mchezo wa kuogelea yamepangwa kufanyika Aprili 7 na 8 kwenye bwawa la kuogelea la shule ya Heaven of Peace Academy (Hopac) iliyopo Kunduchi Mtongani.Mashindano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YAGONGA MWAMBA TRA, OFISI ZAENDELEA KUFUNGWA

TFF YAGONGA MWAMBA TRA, OFISI ZAENDELEA KUFUNGWANa Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFF limeendelea kuwa katika sintofahamu baada ya ofisi zake kufungwa na Mamlaka ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC PAUL MAKONDA ATIMIZA MWAKA MMOJA SASA,AZUNGUMZA NA KULA NA WAATHIRIKA WA...

Mkuu wa Mkoa Paul Makonda akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali,wakiwemo Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa jiji la Dar,viongozi wa Dini mbalimbali,Wasaniii na vijana kutoka vituo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE AZIFAGILIA KURUGENZI YA MAWASILIANO IKULU NA IDARA YA HABARI...

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Nape Nnauye (pichani) amezipongeza Kurugenzi za Mawasiliano ya Rais, Ikulu,  na Idara ya Habari MAELEZO kwa ubunifu na weledi wanaouonesha katika kuelezezea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU YA CHAMWINO,...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha kikao cha Baraza la Mawaziri katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma leo Machi 15, 2017Rais wa Jamhuri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUZI TV: MISS TANZANIA 2014 NARGIS MOHAMED NA NAFUE NYANGE WAFUNGUA DARASA...

 Miss Tanzania 2014, Nargis Mohamed na Nafue Nyange wameamua kufungua shule ya urembo watakayokuwa wakitoa elimu kwa njia ya mtandao. Akizungumza jijini Dar es Salaam Nargis alisema kuwa wameamua...

View Article


MICHUZI TV: NAIBU MEYA TEMEKE AAGIZA SOKO LA STERIO KUPEWA MZABUNI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA MADAKTARI WA AFYA YA KINYWA NA MENO KUFANYIA MATIBABU WATOTO 53

Daktariwa Kinywa na Meno Hospitali ya Sinza Dar es Salaam, Idd Khery akimfanyia matibabu ya Kinywa na Meno mwanafunzi wa Darasa la 3 Shule ya Msingi Jumuishi Buhangija, Rajabu Yahaya katika Hospitali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA TANZANIA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA...

 Bw. Alvaro Rodriguez ambaye ni Mwakilishi Mkazi wa Mashirika matatu ya Umoja wa Maifa nchini Tanzania (IOM, UNICEF na UNDP) akiongea na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu mara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  leo imevitembelea vituo vya utangazaji vya CLOUDS MEDIA GROUP, ikiwa katika ziara ya kawaida ya kuvitembelea vituo vya utangazaji nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Rugimbana: Vyuo vitoe ushirikiano wa kutosha kwa HESLB

Mkuu wa Mkoa (RC) wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana amezikumbusha taasisi za elimu ya juu nchini kuhakikisha zinaongeza uwezo wa madawati ya mikopo yaliyopo katika taasisi zao ili yaweze kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATENDAJI WA SERIKALI WAAGIZWA KUWALINDA WAWEKEZAJI WAZAWA

Serikali imewataka viongozi wa kisiasa pamoja na watendaji wa serikali kutotumia madaraka yao vibaya kuwanyanyasa na kuwasumbua wawekezaji wazawa waliowekeza ndani ya nchi. Aidha viongozi hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PLUIJM MBIONI KUKABIDHIWA MIKOBA YA KUINOA SINGIDA UNITED

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMholanzi Hans Van De Pluijm yuko mbioni kujiunga na timu ya Singinda United ambayo imepanda ligi kuu msimu ujao ikiwa ni katika kukiboresha kikosi hicho.Timu hiyo kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITUO CHA EATV NA TAASISI YA HAWA YAWASHUKURU WATANZANIA KWA KUFANIKISHA...

Kituo namba moja kwa vijana East Africa Television (EATV) Limited kikishirikiana na Taasisi ya Haki za Wanawake (HAWA foundation) kinapenda kutoa shukrani za dhati, kwa umma wa watanzania  kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jesca Honole maarufu kama ‘Jesca BM.’achomoza tamasha la pasaka

KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka chini ya mwenyekiti wake Alex Msama, limeanza kutaja waimbaji wa nyimbo za injili watakaoshambulia ‘tamasha la mwaka huu.Mwimbaji wa kwanza kutajwa na Kamati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

makonda afungua wiki ya maji dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiongea na baadhi ya Viongozi na Watendaji wa Mashirika ya DAWASA na DAWASCO pamoja na Waandishishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani...

View Article
Browsing all 117164 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>