Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live

PENDEZESHA NYUMBA YAKO NA MAGIC DECOR

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIVUTIO VYA UTALII VYA TANGU ENZI ZA MKOLONI VILIVYOPO SHULE YA SEKONDARI YA...

 Kamati ya Utalii ya Jiji la Mbeya,  Waandishi wa Habari pamoja na Mwalimu mwenyeji Mwl Emmanuel Michael wakiwa eneo lilipo Bwawa la Kuogelea lililojengwa na Enzi za Mkoloni katika shule ya Sekondari...

View Article


Introducing Malkia Wa Nguvu - Khadija Kopa+Ray C+Nandy+Mwasiti+Maua Sama

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Gambia awarejesha kazini Askari waliojaribu kumpindua mtangulizi wake

Rais wa Gambia Adama Barrow ameamuru kurejeshwa katika jeshi askari sita walikua na hatia ya kuandaa mapinduzi dhidi ya mtangulizi wake Yahya Jammeh, chanzo cha kijeshi kimearifu."Uongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUIOMBA MAHAKAMA IKUTAMBUE KAMA MZAZI WA MTOTO.

 Na Bashir Yakub1.KUNYIMWA  MTOTO.Wako  watu  ni  wazazi  na  wamezaa  lakini  wameyimwa  watoto.  Zipo  sababu  nyingi  zinazopelekea  hili. Matukio  ya  namna  hii  hayawatokei  sana  wanawake  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZANIA KUWAKILISHA AFRIKA MASHARIKI ENGLAND

Gwiji wa soka duniani kutoka klabu ya Liverpool nchini Uingereza, John Barnes (katikati) akiwasili pamoja na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered nchini, Sanjay Rughani (kushoto) na kupokelewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ahadi za Rais Dkt. Magufuli zatekelezwa katika ziara yake mikoa ya Kusini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki la Watakatifu Wote Jimbo la Mtwara Fr. Patrick Mwaya mara baada ya mahubiri katika Kanisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MACHI 6,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Austria yautaka Umoja wa Ulaya kuwapiga marufuku wanasiasa wa Uturuki kufanya...

Kansela wa Austria Christian Kern jana Jumapili Machi 05, 2017 alisema kuwa wanasiasa wa Uturuki wanapaswa kupigwa marufuku kufanya kampeni za kisiasa katika nchi zote za Umoja wa Ulaya.Kern ameliambia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AFANYA MZUNGUMZO NA KIONGOZI WA KIKOSI CHA MIPAKA WA...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akizungumza na Kiongozi wa Kikosi cha Mipaka kutoka nchini Uingereza, Richard Lloyd, wakati kiongozi huyo na ujumbe wake walipomtembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CDEA yawapiga msasa wabunifu wa mavazi na urembo wa Afrika Mashariki kwa...

Wabunifu wa mavazi na urembo kutoka nchi za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania na Uganda, wamepigwa msasa wa namna ya kuendesha na kukuza fani zao kwenye sekta za ubunifu na biashara mafunzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTAALAM WA SAIKOLOJIA NA MAHUSIANO WA CHUO KIKUU ATOA ELIMU KWA WAFANYAKAZI...

Mtaalam wa Masuala ya Saikolojia na Mahusiano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dkt. Chris Mauki (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakati alipokuwa akitoa elimu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WANAOSAFIRI NJE YA NCHI WATAKIWA KUPATA CHANJO YA HOMA YA MANJANO

Wananchi wanaosafiri nje ya nchi wametakiwa kupata chanjo ya homa ya manjano pale wanapohitaji kusafiri hususan siku kumi kabla ya kusafiri na kupatiwa vitabu vipya.Rai hiyo imetolewa na Katibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASTAAFU SASA KUHAKIKIWA MAJUMBANI NA HOSPITALINI

Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali Bw.Mohamed Mtonga ametoa wito kwa wastaafu wanaolipwa Pensheni na Wizara ya Fedha na Mipango ambao ni wagonjwa na hawawezi kufika katika viwanja vya Karimjee na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNDU LISSU AACHIWA HURU NA KUKAMATWA TENA LEO JIJINI DAR

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu baada upande wa Jamhuri kuomba kumuondolea kesi ya uchochezi.Hata hivyo mara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOSI WA ZAMANI WA MSD APANDISHWA KIZIMBANI LEO

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiAliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu  wa Bohari Kuu ya Madawa Tanzania (MSD), Cosmas Aron Mwaifani amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu tuhuma za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE NNAUYE AFUNGA FAINALI ZA KOMBE LA ULEGA CUP MKURANGA MKOANI PWANI

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiwasalimia wachezaji wa timu ya mpira ya Kisiju wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wavuvi wa Kijiji cha Nungwi Walalamikia Uvuvi Haramu Katika Bahari

Mwananchi Mvuvi wa Kijiji cha Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kuhusiana na uvuvi haramu unaofanywa na baadhi ya makampuni katika ukanda wao wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Africa’s Richest Man, Dangote, happy with Magufuli’s leadership style.

By Staff Reporter-Tanzania Information Services- MAELEZOAfrican’s wealthiest person, Alhaj Aliko Dangote said, on Sunday, that he was content with the leadership style of President Dr. John Pombe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWIGULU, WATENDAJI WAKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAJADILI...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto meza kuu) akizungumza na Watendaji Wakuu wa Wizara yake wakati wa Kikao cha Kujadili Utekelezaji wa Mpango na Bajeti wa Mwaka 2016/2017 na...

View Article
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>