Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAANZISHA AKAUNTI YA MALKIA KATIKA WIKI YA WANAWAKE DUNIANI

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Benki ya CRDB imedhamiria kuwainua wanawake kiuchumi kwa kuwawezesha kwa kufungua akaunti ya Malkia ambayo itakuwa ni yenye malengo yakinifu na manufaa kwa maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AHMADA SIMBA KUITWA KAMATI YA MASAA 72

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMWAMUZI wa mchezo baina ya Yanga na Ruvu Shooting Ahmada Simba anatarajiwa kuitwa kwenye kamati ya masaa 72 pindi pale atakapowasilisha barua yake ya utetezi kuhusiana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujenzi wa mnara wa kuongoza ndege na jengo kubwa la mizigo waendelea jijini...

Ujenzi wa jengo la kuongozea ndege la Kiwanja cha ndege cha Mwanza, ukiendelea, ambapo unatarajiwa kukamilika baadaye mwaka huu. Mnara huu umeelezwa utakuwa na kiwango cha juu cha mawasiliano kwa nchi...

View Article

WATUMISHI WA SERIKALI, WANANCHI WADAIWA KUSHIRIKIANA KULIMA BANGI NYASA...

Baadhi ya watumishi wa serikali wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wamekuwa wakishirikiana na wananchi katika kilimo halamu cha zao la bangi wilayani humu. Mpaka sasa wananchi watano wakiwemo watumishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Mahiga aongea na Mabalozi kuhusu kuhamia Dodoma

Mabalozi na wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wa hapa nchini wametakiwa kuyahimiza makampuni ya nchi yao kutumia fursa za uwekezaji zinazotokana na zoezi la Serikali la kuhamia Dodoma. Kauli hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPINA AMTAKA MKANDARASI WA UJENZI WA UKUTA WA MTO PANGANI KUMALIZA KWA WAKATI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Luhaga Mpina, amemtaka kandarasi anaeshughulika na ujenzi wa ukuta wa mto Pangani kampuni ya ( DEZO CIVIL CONSTRUCTION L.TD ) kukamilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WETU WAONE HAJA SASA YA KUTUMIA SANAA ZETU ZA FILAMU NA MUZIKI...

 Waziri wa Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo,Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa habari mapema leo jijini Dar,kuhusiana na ujio wa mmoja wa Wasanii mahiri katika tasnia ya Filamu nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA KAMATI MAALUM YA KUPITIA MPANGO KABAMBE WA...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe Kamati Maalum ya Kupitia Mpango Kabambe wa Mji Mkuu wa Dodoma, Ofisini kwake mjini Dodoma Machi 6, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri).

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUKWAA LA KIUCHUMI LA KIFALME NCHINI KUANZA KESHO JIJINI DAR

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiJukwaa la kiuchumi la kifalme lililokuwa na malengo ya kutoa elimu kwa wananchi namna ya kutafuta na kuhifadhi fedha kwa ajili ya kujiinua kiuchumi linatarajiwa kuanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais atengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha

RAIS Dk. John  Magufuli ametengua  uteuzi wa   Mtendaji  Mkuu wa Shirika  Elimu Kibaha  Dkt. Crspin  Mpemba  ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali za kiutendaji zinazomkabili.Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA TAYARI KUWAVAA KILUVYA KESHO KOMBE LA FA

Na Zainab Nyammka, Globu ya JamiiMsafara wa mabingwa wa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara  Yanga SC , umewasili salama jijini Dar es salaam ukitokea Morogoro walipokwenda kucheza na Mtibwa Sugar kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pombe za Viroba Zenye Thamani ya Shilingi Bilioni 2 Zakamatwa.

 Mwanasheria toka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw. Manchare Heche akionesha kwa waandishi wa habari moja ya pombe kali aina ya Nguvu zilizokamatwa wakati wa operesheni inayoendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTU MMOJA AUAWA AKIDHANIWA KUWA NI MWIZI WA PIKIPIKI JIJINI ARUSHA

Na.Vero Ignatus ,Arusha.Mtu moja ambaye jina lake hajijafahamika ameuawa na wananchi wenye hasira kali huko maeneo ya kwa Mrombo Jijini Arusha, akidhaniwa kuwa ni mwizi wa pikipiki baada ya mtu huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli na Balozi wa China nchini Dkt wakifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi ya Uwanja wa kisasa wa ndegevita wa Ngerengere mkoani Morogoro leo Machi 6,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jafo atoa agizo hilo jana alipokuwa akikagua mradi huo ambao ujenzi wake...

Akizungumza katika ukaguzi huo, Jafo alisema utekelezaji wake umesuasua hali inayosababisha wananchi wa eneo hilo waendelee kupata adha ya maji na kuiagiza Halmashauri ya Chamwino kuzuia fedha ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA WILDAF LA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Umma kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Justus Mulokozi akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika (WILDAF)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATUTAKUBALI TLS KUJIINGIZA KATIKA SIASA-MWAKYEMBE

Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria, Mhe. Dkt Harrisson Mwakyembe amesema Serikali haiwezi kuona Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kinajiingiza katika siasa na kama TLS wanataka hivyo, basi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI MPYA VETA YAAGIZWA KUANZA KUCHUKUA HATUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA...

Na: Frank Shija, MAELEZO.BODI ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VET –Board) imeagizwa kuanza mara moja kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo utekelezaji wake umekuwa ukisuasua kwa muda mrefu huku...

View Article

KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli ametengua rasmi nafasi ya Mtendaji Mkuu wa Shirika Elimu Kibaha Dkt. Crispin Mpemba ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali za...

View Article
Browsing all 117380 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>