Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117380

WATUMISHI WA SERIKALI, WANANCHI WADAIWA KUSHIRIKIANA KULIMA BANGI NYASA ,WATANO WAKAMATWA

$
0
0
Baadhi ya watumishi wa serikali wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wamekuwa wakishirikiana na wananchi katika kilimo halamu cha zao la bangi wilayani humu. Mpaka sasa wananchi watano wakiwemo watumishi wa serikali wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kujihusisha na kilimo cha bangi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117380

Trending Articles