Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117395

VIVUTIO VYA UTALII VYA TANGU ENZI ZA MKOLONI VILIVYOPO SHULE YA SEKONDARI YA IYUNGA JIJINI MBEYA

$
0
0
 Kamati ya Utalii ya Jiji la Mbeya,  Waandishi wa Habari pamoja na Mwalimu mwenyeji Mwl Emmanuel Michael wakiwa eneo lilipo Bwawa la Kuogelea lililojengwa na Enzi za Mkoloni katika shule ya Sekondari ya Iyunga jijini humo.
 Birika la kale lililokuwa likitumika na Utawala wa Kijerumani kwa ajili ya kuhifadhia maji na vitu vingine vinavyofanana na hivyo ambalo uongozi wa Shule ya Sekondari Iyunga wamelitunza vizuri hadi hivi sasa
 Kiti hiki ni moja ya vivutio shuleni hapo kilitengenezwa zaidi ya miaka 90 iliyopita enzi za Utawala wa Kikoloni wa Kijerumani
 Ukuta huu ulijengwa na Wajerumani pembezoni mwa Mto Nzovwe kwa ajili ya Ulinzi na Usalama kwani chini ya Ukuta huu kuna Handaki kubwa linalounganisha maeneo ya ndani ya shule na nje ya eneo hilo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117395

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>