Mtaalam wa Masuala ya Saikolojia na Mahusiano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dkt. Chris Mauki (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakati alipokuwa akitoa elimu kwa wafanyakazi hao kuhusiana na jinsi ya kustahimili mazingira ya kazi, wakati wa Uzinduzi wa wiki ya wanawake duniani.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakimsikiliza Mtaalam wa Masuala ya Saikolojia na Mahusiano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dkt. Chris Mauki (hayupo pichani) alipokuwa akiwaelimisha kuhusiana na jinsi ya kuistahimili mazingira ya kazi, wakati wa Uzinduzi wa wiki ya wanawake duniani.