Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117208 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AFUNGUA MAFUNZO KWA WAKUU WA WILAYA NA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA...

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Mafunzo ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Serikali za Mitaa katika  ukumbi wa Hazina mjini Dodoma leo.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif akutana na Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kulia akikiongoza Kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar akiwa Mwenyekiti  Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Kushoto  ni...

View Article


MAELEZO TV: SERIKALI IMETENGA SHILINGI BILIONI 30 KUKAMILISHA MALIPO YA FIDIA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUFINDI YAENDELEA KUTEKELEZA SERA YA KUWA NA ZAHANATI KILA KIJIJI.

Na Afisa Habari MufindiHalmashauri ya Wilaya ya Maufindi imeendelea kutekeleza sera ya serikali ya kuhakikisha kila Kijiji kinakuwa na Zahanati kwa kuzindua na kuweka mawe ya msingi kwenye  zahanati za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUBORESHA KIWANGO CHA VYOO BORA KUFIKIA 2025

 Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto  Ummy Mwalimu akizungumza mbele ya wabunge na wadau mbalimbali wa afya na mazingira hwapo pichani wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC SHINYANGA APONGEZA WANANCHI KUJENGA KITUO CHA POLISI ISELAMAGAZI

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akikagua jengo la kituo cha Polisi kata ya Iselamagazi ambalo limejengwa kwa nguvu za wananchi wakishirikiana na mbunge wao wa Solwa Ahmed Salimu.Ukaguzi wa...

View Article

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Habari zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI KILOLO MKOANI IRINGA WATAKIWA KUUZA MAZAO YAO KWA VIPIMO SAHIHI

 Mkuu  wa  wilaya  ya  Kilolo  mkoani  Iringa  Asia  Abdalah  akiwataka  wananchi wa  kijiji  cha Irindi na Magana  kata ya  Mahenge  kuachana na uuzaji mazao kwa  vipimo batiliMkuu  wa  wilaya  ya...

View Article


MAELEZO TV: JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI

View Article


TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA TAREHE 09.05.2017.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI FATMA AWASILISHA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO NCHINI QATAR

Mhe. Fatma Mohammed Rajab, Balozi  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Qatar akiwa katika mazungumzo na Mhe. Sultan bin Saad Al Muraikhi, Waziri wa Nchi, Mambo ya Nje wa Qatar. Mazungumzo hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZUNGUMZO YA BAINA YA MAWAZIRI WA TANZANIA ZANZIBAR NA DJIBOUTI

 Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakizungumza na Mawaziri wa Serikali ya Djibouti (hawapo pichani) walipokutana katika kujadili mambo mbali mbali  masuala ya ushirikiano wa kiuchumi baina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakilishi na Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Wakabidhi Vifaa Kwa Shughuli...

Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akizungumza nas Wananchi wa Shehia tatu za Bungi, Ubago na Tunguu wakati wa kukabidhi vifaa kwa ajili ya shehia hizo tatu kwa matumizi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Eckobank Tanzania yawahakikishia wateja wake kuendelea na shughuli zake...

 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, Raphael Benedict amefanya mkutano na waandishi wa habari leo katika ofisi za makao makuu ya benki hiyo, na kueleza kwamba hawana dhamira ya kusitisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATANO MAY 10,2017

              Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article


WAZIRI MWAKYEMBE AKIONGELEA UHURU WA HABARI NCHINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUTOKA KWA WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUMA ENERGY YAGAWA FULANA MAALUM KWA BODABODA ZINAZOAKISI MWANGA WIKI YA...

 Mratibu  wa Masuala ya Usalama wa Afya, Mazingira na  Udhibiti wa Ubora kutoka Kampuni ya Puma Energy, Rehema Madoffe akimvisha Abubakar Selemani mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SYLEVESTER MABUMBA,AWASILISHA NAKALA YA HATI ZAKE ZA UWAKILISHI KWA...

Mhe. Sylvester Mabumba Balaozi wa Tanzania ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Visiwa vya Komoro jana tarehe 09 Mei aliwasilisha nakala za hati zake za uwakilishi kwa Mhe. Mohambed Baccar Dossar, Waziri wa...

View Article

MNADA WA HADHARA: UBALOZI WA MAREKANI, SWEDEN, UNICEF & ELZABETH GLASER...

 UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Marekani,  Sweden, UNICEF na Elzabeth Glaser Pediatric Aids Foundation  watauza kwa mnada wa hadhara  AVR,Magari , Generator na Fanicha...

View Article
Browsing all 117208 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>