Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza mbele ya wabunge na wadau mbalimbali wa afya na mazingira hwapo pichani wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ya utunzaji wa mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” iliyofanyika leo mjini Dodoma.
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa kampeni ya ya utunzaji wa mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” uliofanyika mjini leo mjini Dodoma.
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu katikati akiwa amebeba nembo inayoashiria uzinduzi wa kampeni ya kutunza mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” uliofanyika mjini Dodoma , wengine ni wadau mbalimbali wa mazingira pamoja na baadhi ya wabunge.
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kushoto akiteta jambo na Naibu waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bw. Suleiman Jaffo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ya utunzaji wa mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” uliofanyika mjini leo mjini Dodoma.
Picha na Ally Daud-WAMJW DODOMA.