Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Asha Rose Migiro azindua Jumuiya ya Watanzania Waishio Wales, Uingereza

Tarehe 29 APRILI, 2017 Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dkt. Asha Rose Migiro aliwatembelea Diaspora waishio Nchini Wales. Katika mkutano wake na Diaspora hao, Balozi alishiriki uzinduzi rasmi wa...

View Article


Taarifa kuhusu uzinduzi wa bodi ya kima cha chini cha Mshahara katika Sekta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DHANA YA ULIPAJI WA KODI YA PANGO LA ARDHI

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa tahadhari kwa wadaiwa wa kodi ya pango la Ardhi kwa kutoa elimu ya kuhusu dhana ya Kodi hiyo. Hivi karibuni Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...

View Article

HARAMBEE YA KUCHANGIA VIJANA WETU WA SERENGETI BOYS

View Article

Salaam Salaam introducing New song from Ujamaa Hiphop Darasa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JARIDA LA WIZARA YA ARDHI , NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

TOLEO Na. 8 LA JARIDA LA WIZARA YA ARDHI , NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZIWizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa jarida lake la mwaka (Toleo Na. 8). Jarida hili haliuzwi. Kuna nakala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngoma Africa band watua kwa Wayahudi kutumbuiza sherehe za uhuru wa israel

Habari nyeti zimevuja sasa hivi kuwa Ngoma Africa band aka FFU UGHAIBUNI  bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya yenye makao kule nchini Ujerumani inatua nchini Israel kutumbuiza katika onyesho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YATANGULIA FAINALI YA FA

Mshambuliaji wa Simba, Mohamed Ibrahim ‘Mo’ (kushoto), akishangilia na beki wa timu hiyo, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ baada ya kufunga bao pekee katika mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Azam FC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daladala, bajaji zisizokuwa na 'dustbin' kutozwa faini - DC wa Ilala Mhe....

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika kufanya kwa vitendo kampeni ya usafi ya kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Sophia  Mjema akiwa kaongozana na Katibu Tawala wa...

View Article


RAIS DKT. MAGUFULI ARIDHIA OMBI LA UDOM KUSAMEHEWA KODI YA ARDHI

View Article

RAIS DKT. MAGUFULI AAGIZA HATI ZA ARDHI DODOMA ZIWE NA UMILIKI WA MIAKA 99

View Article

RAIS DKT. MAGUFULI AAGIZA UWANJA WA MICHEZO WA KISASA DODOMA UJENGWE KARIBU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI APATA MAPOKEZI MAKUBWA MKOANI KILIMANJARO LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiongea na wananchi Karanga Wilaya ya Moshi mjini waliofunga barabara kumsimamisha wakati akitokea uwanja wa ndege wa Kimataifa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI APRIL 30,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA PWANI MHANDISI NDIKIRI AISHUKURU TANESCO KWA MSAADA WA VIFAA...

NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidMKUU wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikiro, ameishukuru TANESCO kwa msaada wake wa vifaa vya kufanyia usafi kwa ajili ya Kituo cha Afya Mkoani Mjini Kibaha.Mhandisi...

View Article


ORODHA YA MAJINA YA WATUMISHI WA UMMA WANAODAIWA KUWA NA VYETI FEKI

Public Service Taasisi by Anonymous Akiok2sr on Scribd

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMUIYA YA WATANZANIA WANAOSOMA BEIJING WAADHIMISHA MIAKA 53 YA MUUNGANO

Mwenyekiti wa Jumuiya ya watanzania wanaosoma Beijing Nchini Husein Mtoro ( katikati) aliyemwakilisha Balozi,aliambatana na Viongozi wote Wakuu akiwemo Makam Mwenyekiti Khamis Ngwali,Katibu Mkuu Ndugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA BUKOMBE AWATAKA WANANCHI KUVUNJA MAKUNDI YA VYAMA NA KUWA WAMOJA

Wananchi wa jimbo la Bukombe Mkoani Geita,wametakiwa kuachana na siasa ambazo zinaweza kusababisha kutokuwa wamoja katika kuleta maendeleo.Hayo yamesemwa na Mbunge wa Jimbo la hilo Dotto Biteko wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPIL MJINI MOSHI

Rais Dkt John Pombe Magufuli amejiunga na waumini kwenye ibada ya Jumapili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi Mjini asubuhi hii. Rais Magufuli yuko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA POTOFU ZINAZOMHUSISHA BALOZI WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA DKT...

Ubalozi wa Tanzania London umepokea Habari inayozagaa kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa instagram ikiwa na nukuu ifuatayo:''Binafsi bado sijaona umuhimu na mafanikio ya Muungano wa Tanganyika na...

View Article
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>