Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA NA MKURUGENZI WA IFAD WA KANDA YA...

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo-IFAD wa Kanda ya Mashariki na Kusini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGEREZA VOLLEYBALL WANAWAKE WATWAA UBINGWA MUUNGANO CUP

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiTimu ya mpira wa wavu (Volleyball) ya wanawake ya Magereza imetwaa ubingwa wa mchezo huo  katika mashindano ya Muungano yaliyofikia tamati  jana katika  uwanja wa Taifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi wa Manispaa ya Musoma Mjini Wadaiwa Mil. 271 za Kodi ya Ardhi

Na Husna Saidi- MAELEZOTakribani shilingi milioni 271 zinadaiwa kwa wakazi wa Manispaa ya Musoma Mjini, Mkoani Mara ikiwa ni kodi ya Pango la Ardhi. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA UONGOZI WA SHIVYAWATA - DODOMA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Bi. Ummy Nderinanga wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEACHER’S JUNCTION YATOA ZAWADI KWA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KATIKA...

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.TEACHER’S Junction imetoa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri mtihani wa ujirani mwema kwa shule 19 binafsi.Akizungumza katika hafla hiyo Mwalimu Mstaafu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA KCB TANZANIA YADHAMINI MKUTANO WA WATANZANIA WANAOISHI NJE YA NCHI

Benki ya KCB Tanzania yadhamini mkutano wa Watanzania wanaoishi nchini Marekani. Mkutano huo utafanyika tarehe 5 – 7 Mei 2017 katika hoteli ya Wyndham Dallas Suites - Park Centrale, Dallas, Texas. Na...

View Article

MICHUZI TV: KAMANDA SIRRO ALIZUNGUMZIA SWALA LA CHAMA CHA CUF

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA KCB TANZANIA YADHAMINI MKUTANO WA WATANZANIA WANAOISHI NJE YA NCHI

Benki ya KCB Tanzania yadhamini mkutano wa Watanzania wanaoishi nchini Marekani. Mkutano huo utafanyika tarehe 5 – 7 Mei 2017 katika hoteli ya Wyndham Dallas Suites - Park Centrale, Dallas, Texas. Na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAFI OFISI ZA CUF WAPIGWA ’ STOP’,

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imezuia wanachama wa CUF kufanya usafi katika makao makuu ya chama hicho yaliyopo Buguruni kutokana na kuwepo kwa viashiria vya uvunjifu wa amani kutokana mvutano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWAKYEMBE AKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI WA UNICEF PAMOJA NA BALOZI WA KOREA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb), leo tarehe 28 Aprili, 2017 amekutana na Bi. Maniza, Mwakilishi Mkazi wa UNICEF nchini. Bi. Maniza aliongozana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI KWA WATUMISHI...

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa Watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 29,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAWATAKA WAAJIRI KUJISAJILI KWENYE MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama ametoa wito kwa waajiri wote nchini kujisajili kwenye Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SSRA YASHIRIKI MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, na Watu wenye Ulemavu Mh. Jenista Mhagama, akipata maelezo kutoka kwa Kaimu meneja wa Rasilimali watu na Utawala wa Mamlaka ya Usimamizi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI MKOANI TABORA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo mafupi leo kutoka kwa mmoja wa wataalamu wa mradi huo, kuhusiana na mradi wa maji unaojengwa katika kijiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRAN YAONESHA NIA KUWEKEZA NCHINI

Na Veronica Simba – Dodoma Balozi mpya wa Iran hapa nchini, Mousa Farhang amemtembelea Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwa ajili ya kujitambulisha na kuzungumzia uwezekano wa nchi...

View Article

RAIS DKT MAGUFULI AONYA HALMASHAURI ZINAZOENDELEA KUTOZA USHURU WACHUUZI WADOGO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPINA AWATAKA WAKAZI WA MOROGORO KUTUNZA VYANZO VYA MAJI NA MAZINGIRA

Naibu Waziri ofisi ya Makamu wa Raisi muungano na Mazingira Mheshimiwa Luhaga Mpina, amewataka wakazi wa Mkoa wa Morogoro kutunza Vyanzo vya maji na Mazingira kwani kwa kufanya hivyo watakuwa wameokoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU SPIKA TULIA ACKSON AZINDUA MAFUNZO YA SANAA TASUBA

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii TAASISI ya Tulia Trust inayomilikiwa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Ackson imewafadhili wanafunzi 27 kwa ajili ya kupata mafunzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHARIBIFU WA VYANZO VYA MAJI VYAINGIZA HASARA TANGA UWASA YA MILIONI 13 KWA...

Uwasa)inapoteza kiasi cha shilingi milioni 13 kila siku kutokana na kuongezeka kwa za shughuli za kibinaadamu zinazofanywa katika vyanzo vya maji vilivyopo katika Mto zigi na Muzii Wilayani Muheza....

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live