Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 118155 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MSAAFU ERNEST MWAIPOPO AFARIKI KATIKA AJALI MKOANI MOROGORO, KUZIKWA...

Na John Nditi, MorogoroJAJI Mstaafu Ernest Mwaipopo (63) amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Aprili 3, mwaka huu eneo la Kijiji cha Mkata , Kata ya Doma, Wilayani Mvomero katika barabara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YAWAPA SEMINA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR

Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam, Salie Mlay (kulia), akizungumza wakati mkutano na wanachama wa NMB Business Club, Kanda ya Temeke, uliofanyika leo, Mbagala, Dar es Salaam. Kutoka kushoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Media Day sasa kufanyika Leaders Klabu badala ya TCC Chang'ombe

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kinasikitika kuwajulisha wadau wake kuwa bonanza la wanahabari lililopangwa kufanyika kesho viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa Mhe. Jaji mstaafu, Ernest Mwipopo waagwa rasmi Leo Katika viwanja...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu Jaji Mstaafu, Justice Ernest Mwipopo, aliyefariki kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKULETWA KUTOSHELEZA UMEME ARUSHA NA KILIMANJARO

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama (Katikati) akipata maelezo ya Kituo cha Kuzalisha umeme cha Kikuletwa kilichopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kutoka kwa Mtaalamu wa Chuo cha Ufundi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOGERS FC YAKABIDHIWA JEZI NA SAPPHIRE COURT HOTEL YA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi wa Hoteli ya Sapphire Court ya Jijini Dar es Salaam, Abdulfatah Salim (kulia) akimkabidhi sehemu ya vifaa vya michezo, Nahodha wa timu ya wamiliki wa Magazeti 'Tando' Blogers Fc, Muhidin...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA PADRI MUSHI MAHAKAMANI

Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) akiongozwa na Askari polisi kuingia katika Mahakama Kuu ya Zanzibar...

View Article

Dozens crushed in India building collapse - Central & South Asia - Al Jazeera...

Dozens crushed in India building collapse - Central & South Asia - Al Jazeera English

View Article


Taarifa kutoka Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wapewa somo kuhusu maswala ya kupambana na Rushwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Capt (Mstaafu) George Mkuchika akifungua semina ya siku moja kwa waheshimiwa wabunge wanachama wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Rushwa Tanzania (APNAC) iliyfanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA WADAU NA TANAPA KATIKA KANDA YA MOROGORO

Naibu Waziri wa Maji, Dk Binilith Mahenge, ( kushoto) akifuatilia mada moja wapo zilizowasilishwa na wataalamu wa Shirika la Tanapa ,( hawapo pichani) jana wakati wa mkutano wa wadau wa uhifadhi Kanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIKUTANO MIKUU YA MITAA- MABARAZA YA KATIBA, WILAYA YA TEMEKE

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Shimo la Udongo Kata ya Kurasini Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam, Issa Chigona akizungumza na wananchi wa Mtaa huo kabla ya kufanyika kwa mkutano Mkuu Maalum wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE ATINGA MOSHI JIONI HII,KUUNGURUMA KESHO

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Iddi Mohammed baada ya kuwasilili jioni hii kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo mjini Moshi. Kesho Nape...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu zaidi ya 40 wamekufa baada ya jengo la ghorofa nane kuporomoka India

Jengo moja la ghorofa nane linalosemekana lilikuwa likijengwa kinyume cha sheria limeporomoka na kuua watu 47 na kujeruhi wengine 70 jijini Mumbai, India siku ya Alhamisi jioni. Waokoaji wakiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI SAMIA SULUHU AENDELEA NA ZIARA YAKE ZANZIBAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo kwa Mhadhiri Mwandamizi wa Taasisi ya Sayansi ya Bahari Dkt Narriman Jiddawi juu ya Utunzaji wa Samaki Aquarium...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti ya idadi ya watu na makazi yazinduliwa rasmi leo

Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Taifa sensa ya watu na makazi Waziri Mkuu Pizengo Pinda akijadiliana jambo pamoja na Kamishna wa Sensa ya watu na Makazi Tanzania Bara Hajat Amina Mrisho wakati wakiangalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya ardhi, maliasili na mazingira yaamuru ghorofa lingine pembeni ya...

 Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli. akiongea leo wakati kamati hiyo ilipotembelea eneo lilikoporomoka ghorofa mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es salaam leo, akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

introducing libeneke jipya la reuben mchome wa ITV na RAdio One

Habari Wadau,Napenda kuwafahamisha juu ya Blog mpya ya Habari za michezo na burudani kwa ujumla wake. Humu utapata updates za mambo mbalimbali kitaifa ikiwa ni habari kutoka karibu mikoa yote ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZNAT Celebrating 10 Years Of Bridal Services this coming may

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

hifadhi ya taifa ya serengeti yakaribisha utalii wa ndani

Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ni eneo kubwa la savana na misitu Kaskazini mwa Tanzania ikitapakaa  katika mikoa ya Mara na Arusha.  Eneo lake ni kilomita za mraba 14,763  na kijiografia inaendelea...

View Article
Browsing all 118155 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>