Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117112 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI WALIOSHINDA TUZO ZA HABARI ZA TANAPA WAENDELEA NA ZIARA YA...

Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mheshimiwa Radhia Msuya akizungumza na wanahabari walioshinda Tuzo za Habari za TANAPA waliomtembelea ofisini kwake jijini Pretoria. Wanahabari walioshinda Tuzo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Kikwete awataka waislamu kutumia kipindi cha mfungo wa Ramadhani kusali...

Na Anna Nkinda – Maelezo, LindiWaislamu nchini wametakiwa kutumia kipindi cha mfungo wa Ramadhani kuomba na kutubu dhambi zao pia kuwasaidia watu wasiojiweza ili wapate thawabu kutoka kwa Mwenyezi...

View Article


Nafasi za kazi hizo wadau toka SUMATRA

View Article

Nafasi ya kazi (for Web Designers).!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC Bra Survey team in Uganda

The EAC Brand 2013 survey team embarked on a week-long mission to Uganda on how citizens perceive the regional integration activities, programme and how much they understand of the Community. The...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAZI WA IRINGA ACHUKUA KITITA CHAKE KUPITIA PROMOSHENI YA CHEKA PLUS YA VODACOM

Meneja wa Vodashop Mlimani City jijini Dar es Salaam Bi.Rosemary Maro(kulia)akimuelekeza jinsi ya kutoa Pesa,Anatori E.Chogolo-mkazi wa Iringa,(katikati)ambae ni mshindi kati ya washindi 5...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROGRAMU YA FUTARI LEICESTER UK

Ndugu zetu katika iman, kwanza twamshukuru Allah kwa kutuwezesha kukamilisha hatua za awali za mkakati wa kununua jengo letu wenyewe. Shukrani nyingi pia zikufikieni kwa michango yenu ya kila aina....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS YAPANGA KUSHAMBULIA MWANZO MWISHO DHIDI YA UGANDA

Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen aksisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari wa Tanzania, mjini Kampala jana kuhusu mechi ya leo ya kufuzu kucheza michuano ya CHAN dhidi ya Uganda Cranes...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI KISIMA CHA SH. MILIONI 28 KIJIJI CHA ISNURA, MBARALI, MKOANI MBEYA

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu kulia na Meneja kampuni ya bia (TBL) Nicolaus Kanyamala wakizindua kisima cha kijiji cha IsnuraMkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu akiwashukuru TBL kwa kusaidia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI POLISI NA UHAMIAJI YAFUNGWA RASMI LEO

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MH, Dr. EMMANUEL NCHIMBI AKIKAGUA GWARIDE LA WAHITIMU WA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI POLISI WAKATI WA SHEREHE ZA KUFUNGA MAFUNZO HAYO JANA KATIKA CHUO CHA POLISI MOSHI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA MSIBA

Familia ya Mzee Ndalu inasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa Erick Meshack Ndalu kilichotokea nyumbani kwao Tabata tarehe 24/7/2013 saa 5 usiku, habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CASTLE na FC Barcelona wasaini mkataba wa kihistoria

wawakilishi wa SABMiller kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wakiwa nje ya ofisi za timu ya FC Barcelona huko Catalonia Hispania leo hii.Makamu wa Rais wa FC Barcelona,Bw. Javier Faus akimkabidhi jezi...

View Article

JK awaonya wanaotaka kuichezea Tanzania

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA JESHI LA MAGEREZA JUU YA MAAFISA WAKE WANNE WALIOKAMATWA NA NYARA ZA...

Jeshi la Magereza Tanzania Bara linapenda kuufahamisha Umma kwamba mnamo tarehe 23 Julai, 2013 Maafisa wanne ambao ni Mrakibu Msaidizi wa Magereza Joseph Kimaro, Sajenti Ketto Ramadhani, Koplo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa CPA Barani Afrika wamchagua Spika Makinda kuwa Rais wa Afrika na...

Spika wa Bunge wa Bunge la Tanzania,Mhe Anne Makinda akihutubia kushukuru wajumbe Mkutano wa CPA Barani Afrika kwa kumchagua kuwa Rais wa CPA Afrika. Mhe Spika Anne Makinda akipongezwa na Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBITUARY

Saidi Ally Masimango: the unsung hero It was the morning of Monday July 22, 2013 when I received a brief but chilling email from a close relative. The relative wrote and I quote verbatim:"Msiba! Saidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APOKEA MAANDAMANO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi cheti, mmoja kati ya wachangiaji bora wa kuendeleza Jumuiya ya Mtandao wa wakulima wa Tanzania (MVUWATA)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAG AHUDHURIA KIKAO CHA 67 CHA BODI YA UKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA (UNBoA)

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Ludovick S. L. Utouh (Kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Ban Ki-Moon baada ya Mkutano wa 67 wa Bodi ya Ukaguzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUSOMA TEXTILE MILLS (T) Ltd EMERGED ‘SOLID WASTE MANAGEMENT WINNER 2013’

The cleaner Production Centre of Tanzania (CPCT) dealing with Resource Efficiency and Cleaner Production (RECP) has conducted training on RECP to all manufacturing industries in Tanzania.The training...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu waziri wa maji afanya ziara katika miradi ya maji Moshi vijijini

Naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge akitia saini katika kitabu cha wageni katika ofisi ya kata ya Mbokomu wakati akifanya ziara ya kukagua miradi ya maji katika wilaya ya Moshi vijijini. Naibu...

View Article
Browsing all 117112 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>