Naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge akitia saini katika kitabu cha wageni katika ofisi ya kata ya Mbokomu wakati akifanya ziara ya kukagua miradi ya maji katika wilaya ya Moshi vijijini.
Naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge akitembelea kukagua miradi ya maji ya Mbokomu wilaya ya Moshi vijijini.
Wakandarasi wa ujenzi wa matangi ya maji katika mradi wa Mbkomu wakibeba nagazi ambayo naibu waziri alitaka kupanda juu ya Tangi hilo kujione ujenzi ni wa kiwango kinachohitajika ama la.
Kisha naibu waziri wa Dk Mhenge akatembelea chanzo cha maji kilichoko mto Whona ambacho maji yake yanatumiwa na wakazi wa mji wa Himo.
Wakazi wa Himo wakichota maji kwa ajili ya matumizi ya Nyumbani na biashara.Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.