Ndugu zetu katika iman, kwanza twamshukuru Allah kwa kutuwezesha kukamilisha hatua za awali za mkakati wa kununua jengo letu wenyewe. Shukrani nyingi pia zikufikieni kwa michango yenu ya kila aina.
Inshaallah taratibu zetu za Ramdhan zinaendelea na mwaka huu zinafanyikia kituoni kwetu hapo 170a Belgrave Gate, Leicester LE1 3XL.
Alasiri inasaliwa saa moja jioni (7.00pm) na darsa zinaanza moja na robo jioni (7.15pm) kisha futari inaanza mara baadal Maghrib Tafadhali waweza kuchangia kwa kuwasiliana na Ustadh Farid 07792174408.
Siku: kila JMOSI na JPILI.
Tafadhali sambaza taarifa Jzkl Lah khayr
AN NOOR COMMUNITY CENTRE LEICESTER.