Familia ya Mzee Ndalu inasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa Erick Meshack Ndalu kilichotokea nyumbani kwao Tabata tarehe 24/7/2013 saa 5 usiku, habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa marehemu popote pale walipo.
Mazishi yanategemea kufanyika kesho siku ya Jumamosi tarehe 27/7/2013 katika makaburi ya kinondoni saa 10 jioni.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Amen