Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘ENTERTAINMENT EXTRAVAGANZA’ ON CHANNEL O’s TOP 10 MOST…

Channel O VJs Denrele and Jokate are keeping the fire blazing on the Original African channel’s ultimate countdown, the recently launched Channel O’s Top 10 Most… The show is all about who is at the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

View Article


President Obama Delivers Remarks at Independence Day Celebration

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ijumaa hii isumba lounge, Night of the Legends vunja jungu special.

Ijumaa hii isumba lounge, Night of the Legends vunja jungu special. Njoo tu-dance tu-enjoy na DJ JD, DJ Fast Eddy na DJ Y Kelvin. Jmos gentlemen watapata nonstop cd na 50 ladies wataofika kabla ya saa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIWANJA VINAUZWA JIJINI MWANZA

Viwanja vinauzwa, Malimbe,Sweya Jijini Mwanza umbali wa Nusu Kilomita kutoka SAUT University. Vipo ziwani (ziwa Victoria) ni low Density, viwanja hivyo ni namba 95 na 96 kama vinavyoonyeshwa katika...

View Article


VIJIMAMBO KURUSHA LIVE MIAKA 3 YA VIJIMAMBO NA TAMASHA LA UTAMADUNI WA...

10:00 am - 5:00 pm Vazi la Kitanzania7:00 pm - 3:00 am Vazi lolote lakini uwe umependezaBURUDANI ZOTE NI KATI YA 10:00 AM - 5:00 PMUSIKU NI CHAKULA NA MUZIKI WA DISKO TU.Chakula cha mchana Kuanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI FENELLA AKUTANA NA MKURUGENZI MKAZI WA UNESCO

 Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania Bibi Vibeke Jensen kulia alipotembelea ofisini kwa Waziri leo jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja Airtel sasa kujishindia Nyumba 3 za kisasa kupitia huduma ya YATOSHA

Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiwaonyesha waandishi wahabari (hawapo pichani)  nyumba watakayojishindia washindi wa AirtelYatosha Shinda Nyumba 3 iliyozinduliwa leo  katika ofisi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la filamu Grand Malt lazua mambo jijini mwanza.

 WASANII mbalimbali wanaojitokeza katika Tamasha la Wazi la Filamu la Grand Malt Tanzania, maarufu kama ‘Grand Malt Tanzania Open Film Festival’ linalofanyika katika Uwanja wa Nyamagana, jijini hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA ZA MICHEZO KUTOKA TFF LEO.

WARUNDI KUCHEZESHA MECHI YA STARS.Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Burundi kuchezesha mechi ya kwanza ya mchujo ya Fainali za Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SJMC,TASWA kuendesha mafunzo kwa waandishi habari za michezo

 SHULE Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) wataendesha mafunzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

tamasha la mafundisho ya afya ya uzazi yaendelea mkoani Iringa.

 Pichani ni Muuguzi wa UMATT,Bi.Mery Biseko  akionesha namna ya kutumia Kondom za kike kwa vijana mbalimbali  (hawpao pichani) waliojitokeza katika tamasha la mafundisho ya afya ya uzazi yanayoendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUDUMA NA BIDHAA ZITOLEWAZO NA TTCL ZAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA SABASABA

Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akimsikiliza Afisa Biashara wa Mkongo wa Taifa Bw. Thomas Lemunge wakati alipotembelea banda la TTCL katika Maonyesho ya 37 ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

President Kikwete has sent a congratulatory message to H.E. Barack Obama,...

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Barack Obama, President of the United States of America on the occasion of the...

View Article

Post Dialogue Message by Joint Dialogue Convener Dr Mihaela Smith

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI CHANGAMKIENI OFA YA LAPTOP KUTOKA VODACOM NA MODEM YENYE GB6

Meneja Mauzo ya ziada wa Vodacom Tanzania Liginiku Millinga (kulia) akionesha moja ya kompyuta mpakato (Laptop) wakati wa hafla ya uzinduzi kati ya kampuni ya Red Dot na Vodacom ambapo sasa wateja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU PINDA AONGOZA MAZISHI YA DIWANI CHONANGA IRINGA, AJITOLEA...

 Msaidizi  wa askofu  wa kanisa la  kiinjili  la  kilutheri Tanzania (KKKT) dayosisi ya  Iringa Blaston Gavile  akiendesha  ibada ya mazishi  ya diwani Chonanga  leo makaburi ya Mtwivila mjini Iringa....

View Article


TID EXCLUSIVE INTERVIEW WITH SPORAH SHOW

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA POOL MKOA WA PWANI YAFUNGULIWA

Mchezaji wa timu ya Flamingo,Jamali Ngoma akicheza pool wakati wa mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya Safari Lager National Pool Championship 2013 mkoa wa Pwani yaliyofanyika kwenye Baa ya Kontena...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umeona hii??

 Kamera ya Globu ya Jamii,mchana wa leo imeinasa taswira hii ya Mdau akiwa kaweka kishoka barabarani katika kijiji cha Mbwewe,Wilayani Handeni huku akiwa hana wasiwasi wowote kana kwamba kaweka kishoka...

View Article
Browsing all 116956 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>