Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ziara ya mkandamizaji na Shilole VOA

Kutoka kushoto Mary Mgawe,Khadija Riyami,Shilole,Sunday Shomari,Mkuu wa idhaa Mwamoyo Hamza, Ilya,Massanja na Raymond Maro. Wakiwa na balozi wa Vijana Raymond Maro. "Shilolist" Shilole akiwa balozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ujenzi wa tanki la maji shule ya msingi Maulu wilayani Makete upo mbioni...

Ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji linalojengwa katika shule ya msingi Maulu kata ya Kipagalo wilayani Makete ukiendelea kwa kasi kubwa, kutokana na shule hiyo kukumbwa na uhaba wa maji hasa wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI AMKABIDHI MKUU WA MKOA WA DODOMA MIZINGA 85...

Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi (kushoto) katika hafla maalumu ya makabidhiano ya mizinga ya nyuki 85...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSTAHIKI MEYA JERRY SILAA AKUTANA NA MKURUGENZI WA MASOKO NA MAUZO WA...

Muonekano wa Banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 37 kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MAJI AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA BODI ZA MAJI ZA MABONDE JIJINI MBEYA

 Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (katikati) akiwa pamoja na baadhi ya wageni wa meza kuu wakati wa ufunguzi wa  Mkutano wa tano wa mwaka wa Bodi za Maji za Mabonde leo jijini Mbeya. Kulia kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNDI JIPYA LA MUZIKI LAJA JIJINI, KUJULIKANA KWA JINA LA NDEGE WATATU.

 Kutoka kushoto ni Paulyne Zongo, Khadija Mnoga (Kimobitel) na Joan Matovolwa. Wanamuziki hao watatu na wakongwe nchini ndio wanaounda kundi hilo litakalojulikana kwa jina laNDEGE 3. Kundi la Ndege 3...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NCHIMBI ABADILISHANA MAWAZO NA VIONGOZI WA DINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO.

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi (katikati) akizungumza jambo na na baadhi ya viongozi wa madhehebu ya dini Mkoa wa Dar es Salaam walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA KUKUTANA NA WANAHABARI KESHO

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, atakutana na Wanahabari kesho, Ijumaa, Julai 5, 2013, kuanzia saa 4:00 asubuhi, katika Ukumbi wa Mikutano wa Tume uliopo katika Ofisi za...

View Article


LEO MAGAZETINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngalawa,msaada mkubwa wa usafiri wa mizigo na abiria ndani ya ziwa victoria

 Sehemu ya Ziwa Victoria ikioneakana mapema leo kutoka eneo la Soko la Samaki Kirumba Mwaloni,ndani ya Manispaa ya Ilemela. Ngalawa ikiwa imesheheni mizigo ikitokea visiwani ikielekea kutia nanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAYOA YANG'AAAA AFRIKA MASHARIKI

Balozi mstaafu Charles Sanga (kulia), ambaye ni Mwenyekiti wa asasi ya vijana ya Tayoa akiwaongoza wafanyakazi wa asasi hiyo kufurahia tuzo tatu walizopata mjini Nairobi nchini Kenya wakati wa...

View Article

VIWANJA VILIVYOPIMWA VYA UKUBWA MBALIMBALI VINAUZWA.

VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAUZWA VYA UKUBWA MBALIMBALI.VIPO VIKAWE HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA,NI KARIBU ZAIDI KUPITIA BARABARA YA BAGAMOYO,SHUKA NJIA PANDA YA VIKAWE/BAO BABU SEKONDARI,NI KILOMETA 9...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ALIPOTEMBELEA MAONYESHO YA BIASHARA YA SABASABA

Rais Jakaya Kikwete (aliyenyoosha mkono) akitembelea  Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa  yanayoendelea katika viwanja  vya  Mwalimu  J. K Nyerere  jijini  Dares Salaam.kushoto kwake ni Waziri wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROMOSHENI YA LIPA KWA M PESA SABASABA YAIBUA WASHINDI WATANO

Afisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Bakari Maggid akiweka karatasi zenye majina ya washiriki wa Promosheni  ya lipa kwa M pesa na Ushinde ukiwa Sabasaba na kujishindia zawadi ya shilingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

soko la samaki kirumba mwaloni jijini Mwanza

 Sehemu ya Magunia ya Dagaa yakiwa yamepangwa vyema ndani ya soko hilo tayari kwa kusafirishwa sehemu mbalimbali kwa matumizi ya binadamu na mifugo. Dagaa 'wachafu' wakiwa wameanikwa chini kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARUSI FASHION SHOW JULY 6, 2013

The fourth edition of  the Tanzania first and premier wedding show preparation are all under way slated to be held this year on 6th July at Hyatt Kilimanjaro filled with the very best of wedding...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt Shein aagana na mabalozi wapya

 Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na mabalozi Wapya wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kwenda kufanya kazi Nchi za Nje,walipofika kumuaga Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

kampeni ya upasuaji wa mtoto wa jicho yafanyika kwa siku mbili mkoani iringa

ZAIDI ya watu 200 wamefanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho bila malipo yoyote katika mkoa wa Iringa wakati wa kampeni ya upasuaji wa macho iliyofanyika kwa siku mbili mkoani hapa.Wagonjwa hao wenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA ATUA IRINGA KUUNGANA NA WAKAZI WA NDULI KUOMBOLEZA MSIBA WA DIWANI...

 Mwenyekiti  wa CCM mkoa  wa Iringa Jesca Msambatavangu wa pili  kulia akitoa akiitambulisha familia ya marehemu diwani Idd Chonanga  aliyekuwa  diwani wa kata ya Nduli aliyefariki dunia  jana  Mtoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBUI WAZIRI WA FEDHA ASIFU HUDUMA ZA NSSF

Naibu Waziri wa Fedha, Janet Mbene akiweka sahihi katika kitabu cha wageni alipotembelea banda la NSSF. Kulia ni  Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Katavi, Anna Lupembe.Naibu Waziri wa Fedha akipata maelezo ya...

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>