Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117365 articles
Browse latest View live

JE, MAJI MAJI KESHO KUFURUKUTA MBELE YA MBEYA CITY NA KUBAKI LIGI KUU?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, wajua kuwa Mbolea ya YaraLiva NITRABOR huzuia mazao kuharibika kwa haraka?

 YaraLIVA NITRABOR ni mbolea maalumu yenye Calcium inayoyeyuka pamoja na boron kwa ajili ya uchevushaji wa maua, kurefusha muda wa mazao kutokuharibika  kwa haraka na huongeza ubora wa mazao ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki kukutana kesho Dar

Na Immaculate Makilika- MAELEZO WAKUU wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatarajia kufanya mazungumzo ya pamoja baina yao katika Mkutano wa kawaida wa 18 utakaofanyika kesho Mei 20 katika ukumbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC GAMBO AFUNGUA SEMINA YA BODI YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII, JIJINI ARUSHA LEO

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akizungumza wakati akifungua Semina ya Bodi ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, iliyoandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Nchini (TSSA),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika Jukwaa la...

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imejenga uwezo zaidi wa kukabiliana na vitendo vya rushwa katika azma yake ya kujenga uchumi imara utakaostawisha Taifa kwa kuongeza Mapato kupitia Sekta ya Utalii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MAKATIBU MAHUSUSI MJINI DODOMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewaagiza Makatibu Mahsusi nchini kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na waache tabia ya kutoa siri za ofisi zao kwani kufanya...

View Article

BBC DIRA YA DUNIA IJUMAA 19.05.2017

View Article

LIVE: Miss Ustawi wa Jamii, 2017 Kwenye Ukumbi wa King Solomon, Dar

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

View Article


MICHUZI TV: BENKI YA CRDB YATWAA TUZO MBILI ZA AFRIKA MASHARIKI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF KUPELEKA MPANGO WA HUDUMA YA MADAKTARI BINGWA MIKOA YA KIGOMA NA GEITA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA RODRICK MPOGOLO AMALIZA KWA KISHINDO ZIARA YA...

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo, akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Matiku Makori, katika Ukumbi wa CCM Manzese, wakati wa ziara yake ya kuimarisha Chama kwa kuzungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MAY 20,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU WA 22 WA WANAHISA WA BENKI YA CRDB WAFANYIKA LEO JIJINI ARUSHA

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 22 wa Wanahisa wa Benki ya CRDB, wakifatilia Mkutano huo wakati Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dk. Charles Kimei akitoa taarifa ya matokeo ya utendaji wa Benki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA WAKABIDHIWA KOMBE LAO MWANZA, MBAO YANUSURIKA KUSHUKA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii,Mwanza.Ligi Kuu Tanzania Bara imemalizika leo kwa timu ya Yanga kutawazwa ubingwa wa msimu wa 2016/17 ikiwa ni  mara 27 toka ligi kuanzishwa.Yanga waliokuwa ugenini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS KUZINDUA KAMPENI YA MIMI NA WEWE MJINI UNGUJA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewasili mjini Unguja – Zanzibar akitokea mkoani Dodoma ambapo hapo kesho anatarajiwa kuzindua ya kampeni maalum inayojulikana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PPF YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MOROGORO

Akielezea furaha hiyo wakati akipokea sehemu ya msaada huo wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 6 kwa hospitali ya mkoa wa Morogoro, Naibu Katibu Mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za...

View Article


YANGA WAKABIDHIWA MWALI WAO MWANZA, MSANII MBOTO ALONGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...

Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki umefikia tamati leo Ikulu Jijini Dar es Salaa. Mkatano huu ulikuwa na ujumbe na uwakilishi kutoka nchi zote sita zinazounda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTAMA WAIFAGILIA KAMPENI YA TGGA YA HEDHI SALAMA KWA WASICHANA

Na Richard Mwaikenda, Mtama.WALIMU na Wanafunzi Mkoa wa Lindi, wamefurahishwa na Kampeni ya Kitaifa ya Hedhi Salama kwa Wasichana iliyofanyika kwa uwazi katika Shule ya Sekondari Mtama.Kampeni hiyo...

View Article
Browsing all 117365 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>