Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117289 articles
Browse latest View live

KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EFM REDIO YAMTUNZA MAMA

Katika kuazimisha siku ya mama duniani Efm redio kupitia kipindi chake cha uhondo wametoa zawadi kwa  wakina mama wa wasikilizaji wao katika tafrija fupi iliopewa jina la “Begi la mama”. Tafrija hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WA UHAMBILA WAASWA KUACHA KUHARIBU VYANZO VYA MAJI NA MALIASILI ZAO

Na Fredy Mgunda, Iringa.Wananchi wa kijiji cha uhambila wilayani Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kutunza na kuvilinda vyanzo vya maji na maliasili zilizopo katika kijiji hicho.Akizungumza wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT:RAIS DKT MAGUFULI ARIDHIA MAOMBI YA KUACHA KAZI KWA VIONGOZI HAWA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE MAY 16,2017

KUSOMA MAGAZETI YA LEO BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wa Pemba wahimizwa kuchangamkia fursa za kiuchumi katika Soko la EAC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga amewataka wakazi wa Pemba na Tanzania kwa ujumla kuchangamkia ipasavyo fursa za Soko la Pamoja la Jumuiya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YAJUE MATUMIS SAWIA YA MBOLEA AINA YA YARAMILA WINNER

Mbolea ya YaraMila Winner Ni mbolea ya NPK ya kupandia inayowekwa kwenye udongo wa mazao ya mboga mboga na matunda Matumizi 1. Kupandia – Weka kisoda kimoja hadi viwili kimoja kwa mmea kuzunguka shina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INTRODUCING: Beka Flavour - Libebe

wimbo wa kwanza kutoka kwa Beka Flavor ambaye ni member wa Yamoto Band, ambaye amekuwa akisikika mara nyingi katika nyimbo za kundi lakini kwa sasa amefanya wimbo akiwa mwenyewe baada ya uongozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

THREE CHILD SURVIVORS FROM TANZANIA BUS CRASH ARRIVE IN U.S.

SAMARITAN'S PURSE HAS RESPONDED TO THE EAST AFRICAN NATION'S TRAGEDY BY TRANSPORTING THE HURTING CHILDREN TO THE U.S. FOR URGENTLY NEEDED MEDICAL CARE.Samaritan’s Purse has brought three severely...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI NCHINI ZAKUMBUSHWA WITO WA KUNUNUA DAWA ZA KUUA VILUWILUWI VYA...

Na Benedict Liwenga-WHUSM.Halmashauri nchini zimetakiwa kuitikia wito wa kununua dawa za kuua viluwiluwi vya mbu wa malaria zilizoanza kuzalishwa hapa nchini ili kukabiliana na ugonjwa wa malaria.Kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yatoa fedha 100% kwa ajili ya manunuzi ya dawa nchini

Na. Immaculate Makilika- MAELEZOSerikali imetoa asilimia miamoja ya fedha za bajeti ya dawa kwa mwaka 2016/2017 kwa ajili ya manunuzi ya dawa ikiwa ni moja ya mikakati ya kuboresha sekta ya afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB tawi la USA RIVER laibuka kinara wa jumla kampeni ya tumia...

Meneja wa Benki ya CRDB tawi la USA RIVER, Bi Jennifer Tondi akipokea mfano wa hundi kutoka kwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bi. Esther  Kitoka baada ya tawi lake kuibuka mshindi wa jumla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA SHERIA ZETU ZILIVYO HAITAWEZEKANA TUNDU LISSU KUMSHITAKI MAKONDA.

 Na   Bashir    Yakub. SHERIA  ZILIZOPITIWA :1. Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Jinai, Sura ya 20.2. Sheria  ya Huduma za Mashtaka  kwa Taifa, Na. 27/2008.3. Kanuni  za  Adhabu, Sura  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kura zinazoharibika zinatokana na ukosefu wa elimu ya mpiga kura

Hussein Makame, NEC-aliyekuwa Dodoma Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa kura zilizoharibika zinazopatikana kwenye chaguzi zinasababishwa na wapiga kura wengi kukosa elimu ya mpiga kura.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA NA CHINA ZATILIANA SAINI MKATABA WA KUUZA BIDHAA ZA MUHOGO

Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhe.Prof Makame Mbarawa (Wa tatu kushoto waliosimama) akishuhudia Utiaji saini mkataba wa kuuza China bidhaa za muhogo kutoka Tanzania Mkataba huo umesainiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT:MALIMA NA DEREVA WAKE WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU KWA TUHUMA ZA...

Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Aliyekuwa Naibu Waziri wa fedha na mbunge wa Mkuranga, Adam Kigoma Malima amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kumshambulia askari polisi.Malima anashtakiwa pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR DK,ALI MOHAMMED SHEIN AFANYA ZIARA YA KUWAFARIJI WAATHIRIKA...

 Baadhi ya nyumba zilizoathirika kutokana na Upepo mkubwa uliotokezea hapo jana katika shehia ya Kinuni,Mwanakwerekwe na Pangawe zikionekana kuezekwa na wenyewe. Jumla ya nyumba 123 ziliathirika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA UGENI KUTOKA JHPIEGO

Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizungumza jambo pale alipotembelewa na ugeni kutoka Shirika la kimataifa lisilo la kiserikali linalotekeleza Miradi Mbali mbali ya Afya hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IMEKUSANYA BILIONI 63 KUPITIA MTAMBO WA KUHAKIKI NA KUSIMAMIA HUDUMA...

Na Daudi Manongi-MAELEZO, DODOMA.Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) imekusanya shilingi bilioni 63,015,450,230 kwa kipindi cha Octoba 2013 mpaka Februari 2017 tangu kuanzishwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

APANDISHWA KIZIMBANI KWA KUTISHIA KUUA

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMkazi mmoja wa jijini Dar es Salaam anayefahamika kwa jina la Ahmad Khalifa amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu kwa kosa la kumtishia kumua Hawa...

View Article
Browsing all 117289 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>