Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii
Mkazi mmoja wa jijini Dar es Salaam anayefahamika kwa jina la Ahmad Khalifa amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu kwa kosa la kumtishia kumua Hawa Mshama.
Akisomewa mashtaka hayo katika Mahakama ya mwanzo Kinondoni mbele ya Hakimu Marko Mochiwa chini ya kifungu cha 89 -16 (2) mnamo tarehe 9/5/2017 eneo la Kinondoni Msisiri mshatikiwa alitoa lugha ya matusi kwa Bi Hawa Mshama .
Hata hivyo mshatikiwa alikana shitaka hilo na kuambiwa kuwa dhamana iko wazi na akishindwa ataenda mahabusu mpaka kesi hiyo itakapotajwa tena Mei 24.
Ahmad Khalifa akingizwa katika mahakama ya mwanzo Kinondoni