wimbo wa kwanza kutoka kwa Beka Flavor ambaye ni member wa Yamoto Band, ambaye amekuwa akisikika mara nyingi katika nyimbo za kundi lakini kwa sasa amefanya wimbo akiwa mwenyewe baada ya uongozi kuwaruhusu kufanya kazi za binafsi huku kundi likiendelea kama kawaida.